Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Adebayo apewa likizo binafsi

Emmanuel Adebayor 30 Mshambuliaji wa klabu ya Tottenham amepewa ruksa ya kurudi nchini kwao Togo kwa sababu binafsi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Katibu Wazazi apewa likizo ya lazima

Katibu wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM Moshi Mjini, Zakaria Laizer amepewa likizo ya lazima ya siku 30, akituhumiwa kumuunga mkono mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maandalizi ya likizo ya uzazi

MOJA kati ya mambo yanayomsaidia mzazi, hasa mwanamke ambaye ameajiriwa, ni likizo ya uzazi anayopatiwa pale anapojifungua. Yapo masharti mengi yanayoendana na likizo ya uzazi, lakini kwa mujibu wa sheria...

 

9 years ago

GPL

UCHAGUZI WAMPA LIKIZO JB

Mkongwe wa sinema Bongo, Jacob Stephen ‘JB’. Imelda Mtema LIKIZO! Mkongwe wa sinema Bongo, Jacob Stephen ‘JB’ amefunguka kuwa amelazimika kujipa likizo ya lazima kwa kutofanya shughuli za sanaa hadi pale uchaguzi utakapopita. Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, JB alisema ameamua kusimama kazi zake za sanaa kwani kwa sasa kila mtu anawaza mambo ya uchaguzi na hakuna chochote anachoweza kufanya kikapokelewa bila...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Magufuli awanyima likizo makandarasi

WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amewataka wahandisi wote nchini kutokwenda likizo kwa ajili ya Sikukuu ya Pasaka hadi miundombinu iliyoharibiwa na mvua itakapokamilika kukarabatiwa. Dk. Magufuli alitoa kauli hiyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Likizo ya malipo ni haki ya mwajiriwa

Makala hii inamsaidia mwajiri na mwajiriwa kujua jinsi ya kupeana na kuomba likizo kwa mujibu wa sheria ya ajira na mahusiano kazini na. 6 ya mwaka 2004. Sheria hii inatoa muongozo jinsi ya kupeana likizo na aina ya likizo ambazo muajiriwa anapaswa kupewa.

 

10 years ago

Mwananchi

Maabara zazuia likizo za watendaji

Mkuu wa Wilaya ya Rufiji, Nurdin Babu amezuia likizo za watendaji wote wa halmashauri hiyo mpaka ujenzi wa vyumba vya maabara katika shule 11 za sekondari wilayani hapa utakapokamilika.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho asema hataenda likizo

Jose Mourinho hataenda likizoni baada yake kufutwa na Chelsea Alhamisi, wakala wake amesema kupitia taarifa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

RC asitisha likizo za wakuu wa wilaya

MKUU wa Mkoa wa Kagera, Kanali Mstaafu Fabian Massawe, amesitisha likizo zote kwa Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri hadi ujenzi wa majengo ya maabara utakapokamilika. Mbali na kusitisha...

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha wa Azam aenda likizo

Kocha mpya wa Azam, FC Joseph Omog ameondoka nchini mwishoni wa wiki kuelekea Cameroon na kumwachia majukumu msaidizi wake Kali Ongala.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani