Katibu Wazazi apewa likizo ya lazima
Katibu wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM Moshi Mjini, Zakaria Laizer amepewa likizo ya lazima ya siku 30, akituhumiwa kumuunga mkono mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili11 Dec
Adebayo apewa likizo binafsi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cGEsfZahF3tnWWS9CV3Zfcz53FWeiPrvI3TCR8o-iXfg8sQ64ezYRFvzxDbHOV8Gqi0r-I5wNDPC93RDvDdIEf1UnOTbG65s/Love.jpg)
NI LAZIMA WAZAZI WAINGILIE MAAMUZI YA WAPENDANAO?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-5YwiIyenR9Aud6Z0GW0-caUcncYY442A2GZIF9a83Wk1MB514u9D-WVGoBYmUir7MbsGXx1n5AjCezCGj91YYh9wKvaHFSg/Love.jpg?width=650)
LOVE STORY NI LAZIMA WAZAZI WAINGILIE MAAMUZI YA WAPENDANAO?
9 years ago
StarTV31 Dec
 Katibu tawala Kigoma apewa siku 2 kukamilisha uchunguzi  Tuhuma Za Ubadhirifu
Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa ametoa siku mbili kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma Mhandisi John Ndunguru kukamilisha uchunguzi wake na kumpatia taarifa ya maandishi juu ya tuhuma za ubadhirifu wa fedha za umma unaohusisha uuzwaji wa jengo la KIGODECO na viwanja 12 vya Manispaa ya Kigoma/Ujiji ambao unadaiwa kukiuka taratibu.
Waziri Mkuu Majaliwa Ametoa agizo hilo mjini Kigoma wakati akizungumza na viongozi na watendaji mbalimbali wa mkoa huo alipokuwa akifanya majumuisho ya...
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WA CHADEMA DR WILBROAD SLAA APEWA UCHIFU WA MKOA WA DAR ES SALAAM NA WAZEE WA KANDA YA PWANI
Wazee wa Kimila Ali Mahita Mwinyikambi (kulia) na Athumani Rajab Uloleulole kwa niaba ya Wazee wa Pwani wakimtazama Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Willibroad Slaa baada ya kumvisha nguo za kimila na kumkabidhi silaha za jadi ikiwa ni ishara ya kumtawaza kuwa Chifu wa Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani na kumpatia jina la Chifu Mwinyikambi
10 years ago
Habarileo05 Nov
Katibu Wazazi mbaroni kwa fedha za Saccos
JESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia Katibu wa Jumuiya ya Wazazi wilayani ya Handeni mkoani Tanga, Ali Balo kwa tuhuma za upotevu wa zaidi ya Sh milioni 7 za chama cha akiba na mikopo (SACCOS) cha jumuiya hiyo wilayani Siha mkoani hapa.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-hQLGpUFVlqA/XrQRRtIqMdI/AAAAAAACKMY/Q2LCfHHfPSMaITj1SFVUDBMmFwccFJ9XACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200507_163135.jpg)
KATIBU WA JUMUIYA YA WAZAZI MKOA WA KILIMANAJRO LUGANO MWAFONGO, AFARIKI DUNIA, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-hQLGpUFVlqA/XrQRRtIqMdI/AAAAAAACKMY/Q2LCfHHfPSMaITj1SFVUDBMmFwccFJ9XACLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200507_163135.jpg)
9 years ago
GPLUCHAGUZI WAMPA LIKIZO JB
11 years ago
Tanzania Daima25 Jan
Maandalizi ya likizo ya uzazi
MOJA kati ya mambo yanayomsaidia mzazi, hasa mwanamke ambaye ameajiriwa, ni likizo ya uzazi anayopatiwa pale anapojifungua. Yapo masharti mengi yanayoendana na likizo ya uzazi, lakini kwa mujibu wa sheria...