Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NI LAZIMA WAZAZI WAINGILIE MAAMUZI YA WAPENDANAO?

NAMSHUKURU Mungu muweza wa yote kutukutanisha tena siku ya leo katika uwanja wetu wa mahaba. Najua Valentine’s Day imepita, naamini kabisa marafiki mliitumia vyema siku hiyo kuoneshana upendo wa kutosha. Bila shaka mtakuwa mmejadili na kupanga mikakati mbalimbali ya penzi lenu na kujua mnaelekea wapi. Penzi ambalo halina malengo ya baadaye halina maana.Usikubali kuishi katika penzi ambalo halina muelekeo. Fanya maamuzi,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

LOVE STORY NI LAZIMA WAZAZI WAINGILIE MAAMUZI YA WAPENDANAO?

Erick Evarist +255 768 811595 BILA shaka msomaji wa safu hii uko vizuri na unaendelea na majukumu yako ya kila siku. Namshukuru Mungu kunikutanisha na wewe leo hii na kuweza kuzungumza masuala mbalimbali yahusuyo maisha yetu ya uhusiano.
Tunaendelea na sehemu ya pili ya makala haya ambayo ndiyo hitimisho la mada hii:

Kwa kuwa wazazi ndiyo wa kwanza kuliona jua, wameona vitu vingi, wamejifunza mengi, wanapaswa kukupa...

 

9 years ago

Mwananchi

Katibu Wazazi apewa likizo ya lazima

Katibu wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM Moshi Mjini, Zakaria Laizer amepewa likizo ya lazima ya siku 30, akituhumiwa kumuunga mkono mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.

 

10 years ago

Mwananchi

MOYO UNADUNDA: Wanaume waingilie kati suala la ukeketaji na kujichubua

>Tunakaribia tarehe ya kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani. Najua tutakuwa na kauli mbiu itakayotolewa kwa ajili ya adhimisho hilo. Sijui kaulimbiu hiyo itakuwa na maneno gani; lakini nina uhakika yatazungumziwa mambo ambayo bado yanaleta maumivu kwa wanawake katika jamii zetu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Punda wapendanao wazua kihoja

Punda wawili waliozua mjadala kutokana na mienendo yao ya kujamiiana sana wameunganishwa tena nchini Poland.

 

10 years ago

Mwananchi

Umeshajua utoke vipi siku ya wapendanao?

Ni siku chache zimebaki kabla ya kuadhimisha siku ya wapendao, katika siku hii rangi nyekundu huonekana kupamba katika maeneo mbalimbali.

 

10 years ago

GPL

MITANDAO YA KIJAMII INAVYOWAUMIZA MIOYO WAPENDANAO

NiJumatatu nyingine ninapokukaribisha mpenzi msomaji wa kona hii nzuri, mahali tunapoelekezana mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi. Leo napenda tujadiliane kuhusu mada hii kama inavyojieleza hapo juu.Sayansi na teknolojia vinaifanya dunia iende kasi sana, mfumo wa maisha unabadilika haraka kuliko wakati mwingine wowote, dunia sasa inaunganishwa na kuwa kama kijiji kutokana na matumizi ya intaneti na mitandao ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Siku ya Wapendanao; mambo muhimu ya kuyafahamu

>Nchini Italia wakati huo kulikuwa na kiongozi aliyeitwa Mfalme Claudius II; aliamini kuwa askari anapooa hawi mkakamavu na pia muda mwingi anawaza kuhusu familia yake zaidi ya kitu kingine chochote. Hivyo alipiga marufuku ndoa kwa askari.

 

5 years ago

Michuzi

TECNO ilivyosherehekea Siku ya Wapendanao na wateja wake

Katika kusherehekea siku ya Wapendanao, kampuni ya simu za mkononi TECNO ilisherehekea siku hii maarufu ya Valentine na wateja wake wa   simu za TECNO SPARK4, CAMON 12 na CAMON12 AIR, pamoja na fans wake kutoka kurasa zake za mitandaoni kwa kuwapeleka sehemu mbalimbali maalum kwaajili ya kuvinjari mwishoni mwa wiki.Tukio hili maalum liliandaliwa kwaajili ya kuwakutanisha watu wawili wa jinsia tofauti pasipo kufahamiana yaani blind date. Kabla ya kupelekwa katika hoteli ambayo iliandaliwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani