Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MOYO UNADUNDA: Wanaume waingilie kati suala la ukeketaji na kujichubua

>Tunakaribia tarehe ya kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani. Najua tutakuwa na kauli mbiu itakayotolewa kwa ajili ya adhimisho hilo. Sijui kaulimbiu hiyo itakuwa na maneno gani; lakini nina uhakika yatazungumziwa mambo ambayo bado yanaleta maumivu kwa wanawake katika jamii zetu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Bunge laingilia kati suala la UDA

Wakati mjadala kuhusu umiliki wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) ukiendelea kuwa tata, Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imemwita Msajili wa Hazina na mwendeshaji wa shirika hilo ili kujadili suala hilo na kumaliza mgogoro wake.

 

9 years ago

Mwananchi

Lipumba aibukia ofisi za CUF, ataka JK aingilie kati suala za ZEC

Mwenyekiti wa zamani wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amemwomba Rais Jakaya Kikwete kuiamuru Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar  (ZEC ) kumtangaza mshindi wa uchaguzi wa uliofanyika Zanzibar ili kuipusha nchi kuingia katika machafuko.

 

10 years ago

GPL

NI LAZIMA WAZAZI WAINGILIE MAAMUZI YA WAPENDANAO?

NAMSHUKURU Mungu muweza wa yote kutukutanisha tena siku ya leo katika uwanja wetu wa mahaba. Najua Valentine’s Day imepita, naamini kabisa marafiki mliitumia vyema siku hiyo kuoneshana upendo wa kutosha. Bila shaka mtakuwa mmejadili na kupanga mikakati mbalimbali ya penzi lenu na kujua mnaelekea wapi. Penzi ambalo halina malengo ya baadaye halina maana.Usikubali kuishi katika penzi ambalo halina muelekeo. Fanya maamuzi,...

 

10 years ago

GPL

LOVE STORY NI LAZIMA WAZAZI WAINGILIE MAAMUZI YA WAPENDANAO?

Erick Evarist +255 768 811595 BILA shaka msomaji wa safu hii uko vizuri na unaendelea na majukumu yako ya kila siku. Namshukuru Mungu kunikutanisha na wewe leo hii na kuweza kuzungumza masuala mbalimbali yahusuyo maisha yetu ya uhusiano.
Tunaendelea na sehemu ya pili ya makala haya ambayo ndiyo hitimisho la mada hii:

Kwa kuwa wazazi ndiyo wa kwanza kuliona jua, wameona vitu vingi, wamejifunza mengi, wanapaswa kukupa...

 

5 years ago

CCM Blog

TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE KUWAHUDUMIA WAGONJWA WA MOYO WALIOPATWA NA CORONA


Na Mwandishi maalum – Dar es Salaam24/04/2020 Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) itawahudumia wagonjwa  wenye matatizo ya moyo yanayohitaji matibabu ya kibingwa walioko katika kituo  cha  watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam.Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Prof. Janabi alipotembelea kituo hicho kwa ajili ya kuona ni namna gani wataalamu wa Taasisi yake wataweza kutoa huduma kwa ...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ray Akanusha Kujichubua

Staa wa Bongo Movies, Vicent Kigosi ‘Ray’ amekanusha madai kuwa anajichubua.

Ray ameiambia Bongo5 kuwa anasikitishwa na watu wanaodai kuwa anajichubua bila kujua kuwa mtu akiwa na maisha mazuri anaweza kubadilika.

“Kwanza sijichubui, tatizo unajua baadhi ya watanzania wengi, hawaelewi mimi sijichubui, ila maisha yamebadilika,” amesema.

“Unajua unapokuwa na maisha magumu ya kwanza, unaposhindwa kujikimu, kujinunulia nguo, yaani kufanya unachokitaka kwa muda unaoutaka, unakuwa mweusi kwa...

 

9 years ago

Michuzi

MADAKTARI BINGWA WA MOYO TOKA INDIA, WANATARIJIWA KUPAMBANA NA UGONJWA WA MOYO WA KUZALIWA KWA WATOTO



Na Mwandishi Wetu ,KUTOKEA  kwa ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa (CHD) kunatazamwa kwa usawa kwa duniani kote, pamoja na kutofautiana kati ya mikoa na nchi kutokana na maumbile, mazingira na mabadiliko ya kiepijenetiki.
 Takriban watoto 8 kati 1000 wanaozaliwa wakiwa hai wanazaliwa na CHD duniani kote. Takwimu hii kwa ujumla inaaminika zaidi. Hata hivyo, kutokana na ukosefu wa takwimu sahihi katika bara la Afrika, watoto walioathirika na CHD barani Afrika inaweza kuwa wengi sana.
Watoto wenye...

 

9 years ago

Vijimambo

Madaktari Bingwa wa Moyo toka India , Wanatarijiwa kupambana na ugonjwa wa Moyo wa kuzaliwa kwa Watoto



Na Mwandishi Wetu ,Kutokea kwa ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa (CHD) kunatazamwa kwa usawa kwa duniani kote, pamoja na kutofautiana kati ya mikoa na nchi kutokana na maumbile, mazingira na mabadiliko ya kiepijenetiki. Takriban watoto 8 kati 1000 wanaozaliwa wakiwa hai wanazaliwa na CHD duniani kote. Takwimu hii kwa ujumla inaaminika zaidi. Hata hivyo, kutokana na ukosefu wa takwimu sahihi katika bara la Afrika, watoto walioathirika na CHD barani Afrika inaweza kuwa wengi sana.Watoto ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani