Bunge laingilia kati suala la UDA
Wakati mjadala kuhusu umiliki wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) ukiendelea kuwa tata, Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imemwita Msajili wa Hazina na mwendeshaji wa shirika hilo ili kujadili suala hilo na kumaliza mgogoro wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo22 Apr
Jeshi laingilia kati vurugu Afrika Kusini
KATIKA kuhakikisha vurugu dhidi ya raia wa kigeni zinakomeshwa nchini hapa, Serikali imetangaza kuwa, jeshi sasa litatumika kudhibiti ghasia zilizosababisha vifo vya watu saba, huku zaidi ya 5,000 wakitajwa kuyaacha makazi yao na kwenda kuishi katika kambi maalumu ili kuokoa maisha yao.
10 years ago
Mwananchi01 Mar
MOYO UNADUNDA: Wanaume waingilie kati suala la ukeketaji na kujichubua
10 years ago
Mwananchi01 Nov
Lipumba aibukia ofisi za CUF, ataka JK aingilie kati suala za ZEC
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Oluoch: Bunge lianze na suala la muundo wa Muungano
11 years ago
Mwananchi03 Mar
Chadema wataka JK aingilie kati Bunge la Katiba
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Kipipa Millers: Kinara kati ya kampuni 100 za kati nchini
5 years ago
BBCSwahili18 Jun
Uhusiano kati ya Korea Kusini na Kaskazini: Nini chanzo cha Uhasama uliopo kati ya mataifa haya
11 years ago
Michuzi05 Apr
KINANA AINGILIA KATI MGOGORO SUGU WA ARDHI KATI YA WANANCHI NA MWENKEZAJI WILAYANI SUMBAWANGA MKOANI RUKWA
10 years ago
Mtanzania18 May
Raza aibukia suala la Escrow
Na Patricia Kimelemeta
MJUMBE wa Baraza la Wawakilishi na Mbunge wa Uzini, Zanzibar, Mohamed Raza, amesema ataishauri Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar (SUKI), kuwaandikia barua wahisani ili kuwaeleza namna sakata la Tegeta Escrow lisivyowahusu Wazanzibari.
Alisema amefikia uamuzi huo ili kushawishi wahisani waendelee kutoa misaada yao kama kawaida.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Raza alisema sakata hilo limewaathiri wananchi wa Zanzibar kutokana na...