ADEN RAGE APATA AJALI DODOMA
![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W1DmvPv04sC5ekPrjykvvCkKZfUamLSa4Oe9w6WSgr*04IKD*vrAIGqvE1mWrZ*1qkILo2ZBNCQIV3YTYY6U8yJ/breakingnews.gif)
MBUNGE wa Tabora mjini (CCM), Ismail Aden Rage (pichani) na wenzake wanne wamenusurika kifo baada ya kupata ajali na gari lao walilokuwa wakisafiria kutoka Tabaora kwenda Dodoma eneo la Chigongwe mkoani Dodoma leo. Ajali hiyo imetokea baada ya dereva wa gari walilokuwemo kujaribu kulikwepa lori lililokuwa mbele yao na…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cB9hPD0i_zk/U9-iyIiTjOI/AAAAAAAAJdg/SoihWY6l6zc/s72-c/RAGE++ajali1.jpg)
RAGE APATA AJALI AKIWA NJIANI KUELEKEA DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-cB9hPD0i_zk/U9-iyIiTjOI/AAAAAAAAJdg/SoihWY6l6zc/s1600/RAGE++ajali1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zA7N8UKIZYw/U9-izhBETeI/AAAAAAAAJdo/7XnsLhIwOO8/s640/MBUNGE+RAGE+AKIWA+WODINI.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Rage apata ajali ya gari
MWENYEKITI wa Simba aliyemaliza muda wake, Ismail Aden Rage, jana amenusurika kifo baada ya kupata ajali ya agari eneo Chigongwe, nje kidogo ya Manispaa ya Dodoma, wakati akiingia mjini humo...
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Aden Rage aibuka ‘mafichoni’
WAKATI ikiwa si shwari ndani ya klabu ya Simba, hatimaye Mwenyekiti wake, Ismail Aden Rage ‘Tutu Vengere’ jana aliibuka jijini Dar es Salaam na kujinasibu kuwa yeye ni ‘mwanaume wa...
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
TFF yazidi kumlea Aden Rage
KAMATI ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), imezidi kusisitiza kuwa bado Mwenyekiti wa Simba huku ikimtaka kuitisha mkutano mkuu kwa mujibu wa Katiba ya...
11 years ago
Michuzi12 Jun
10 years ago
Mwananchi10 Dec
Maswali kumi kwa Mbunge wangu;Ismail Aden Rage
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Bahati Bukuku apata ajali mkoani Dodoma
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-rfRW4K4twlY/Vb7xaEl_wEI/AAAAAAAAiao/h0RTNQO9pBo/s72-c/1.png)
Kura za Maoni CCM: Mawaziri Watano Waanguka.......Yumo Chikawe,Sillima,Mahanga na Makalla ,Aden Rage Pia Kaanguka!!
![](http://2.bp.blogspot.com/-rfRW4K4twlY/Vb7xaEl_wEI/AAAAAAAAiao/h0RTNQO9pBo/s640/1.png)
Matokeo ya awali ya kura za maoni kwa wagombea udiwani na ubunge kupitia chama tawala, yameanza kuanikwa, huku yakionesha kuwa baadhi ya mawaziri, wabunge na watendaji katika chama na serikali wameangushwa.
Kwa mujibu wa matokeo ambayo mtandao huu umeyapata, kwa upande wa mawaziri walioshindwa ni pamoja na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe.Hayo yamethibitishwa na Katibu wa CCM mkoa wa Lindi, Adelina Gefi aliyesema kura za Chikawe katika jimbo lake la Nachingwea alikokuwa...