Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ADEN RAGE APATA AJALI DODOMA

MBUNGE wa Tabora mjini (CCM), Ismail Aden Rage (pichani) na wenzake wanne wamenusurika kifo baada ya kupata ajali na gari lao walilokuwa wakisafiria kutoka Tabaora kwenda Dodoma eneo la Chigongwe mkoani Dodoma leo. Ajali hiyo imetokea baada ya dereva wa gari walilokuwemo kujaribu kulikwepa lori lililokuwa mbele yao na…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

RAGE APATA AJALI AKIWA NJIANI KUELEKEA DODOMA


Mbunge wa Tabora Mjini (CCM) Ismail Aden Rage, ambaye pia ni mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, akiwa amelazwa kwenye hospitali ya Rufaa, Dodoma, Jumatatu Agosti 4, 2014. Rage alipata ajali eneo la Chigongwe, nje kidogo ya Manispaa ya Dodoma, wakati akielekea mjini humo tayari kushiriki vikao vya Bunge Maalum vinavyoanza Jumanne Agosti 5, 2014Mbunge wa Sikonge mkoani Tabora kupitia CCM, ambaye pia ni Mujumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Said Nkumba, akimjulia hali Rage, hospitalini mjini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rage apata ajali ya gari

MWENYEKITI wa Simba aliyemaliza muda wake, Ismail Aden Rage, jana amenusurika kifo baada ya kupata ajali ya agari eneo Chigongwe, nje kidogo ya Manispaa ya Dodoma, wakati akiingia mjini humo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Aden Rage aibuka ‘mafichoni’

WAKATI ikiwa si shwari ndani ya klabu ya Simba, hatimaye Mwenyekiti wake, Ismail Aden Rage ‘Tutu Vengere’ jana aliibuka jijini Dar es Salaam na kujinasibu kuwa yeye ni ‘mwanaume wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFF yazidi kumlea Aden Rage

KAMATI ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), imezidi kusisitiza kuwa bado Mwenyekiti wa Simba huku ikimtaka kuitisha mkutano mkuu kwa mujibu wa Katiba ya...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu;Ismail Aden Rage

Fedha za maendeleo ya jimbo Sh40 milioni kila mwezi sawa na Sh480 milioni kwa mwaka zimefanya shughuli gani hadi sasa?

 

11 years ago

Mwananchi

Bahati Bukuku apata ajali mkoani Dodoma

Mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini, Bahati Bukuku (40) amenusurika kifo baada ya gari alilokuwa akisafiria kugongwa na gari aina ya Fuso wilayani Kongwa.

 

10 years ago

Vijimambo

Kura za Maoni CCM: Mawaziri Watano Waanguka.......Yumo Chikawe,Sillima,Mahanga na Makalla ,Aden Rage Pia Kaanguka!!


Matokeo ya awali ya kura za maoni kwa wagombea udiwani na ubunge kupitia chama tawala, yameanza kuanikwa, huku yakionesha kuwa baadhi ya mawaziri, wabunge na watendaji katika chama na serikali wameangushwa.
Kwa mujibu wa matokeo ambayo mtandao huu umeyapata, kwa upande wa mawaziri walioshindwa ni pamoja na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe.Hayo yamethibitishwa na Katibu wa CCM mkoa wa Lindi, Adelina Gefi aliyesema kura za Chikawe katika jimbo lake la Nachingwea alikokuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani