Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Adui wa maendeleo ni Mtanzania mwenyewe

KATIKA taratibu zake za kukabiliana na uhalifu, Jeshi la Polisi huwa lina utaratibu wa kumkamata mlinzi wa eneo ambalo limevunjwa na wizi umetokea. Mlinzi huyu hutumiwa kama mtuhumiwa wa awali...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Profesa Shivji: Migogoro ya ardhi ni adui wa maendeleo ya wananchi

Kwa muda mrefu, Serikali imekuwa ikianzisha mipango, sera, miradi na mikakati mbalimbali yenye lengo kuinua uchumi nchini.

 

11 years ago

GPL

Adui 5 wa Maximo watajwa

Kocha wa Yanga, Marcio Maximo kutoka Brazil. Na Ezekiel Kitula
ADUI watano ambao watampa shida kubwa Kocha wa Yanga, Marcio Maximo kutoka Brazil, wametajwa na wengine wamo ndani ya Yanga na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). Wachambuzi watatu maarufu wa soka nchini, Edibily Lunyamila, Bakari Malima na Saleh Ally, wameeleza kuwa, adui hao kwa Maximo ni viwanja vibovu, waamuzi wabovu, hujuma, uzalendo mikoani na presha ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Madini adui yanayoathiri afya

Unaweza kufikiri ni hadithi, lakini ukweli ni kwamba watoto wengi wanaozaliwa kijijini Mtakuja Wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, wengi wao wamepinda miguu, kuharibika ubongo na wengine kupata meno yenye rangi ya kahawia.

 

10 years ago

Mwananchi

Makocha: Adui mwombee njaa

Dar es Salaam. Baada ya Yanga kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, vita sasa imebaki kwa timu mbili zinazowania nafasi ya pili na nyingine 11 zinazosaka mbinu ya kukwepa janga la kushuka daraja msimu huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Kamara ageuka ‘adui’ Yanga

Dar es Salaam. Badaa ya kutoswa na Yanga, kiungo wa Sierra Leone, Lansana Kamara ameibukia kwa wapinzani wao katika mchezo wa leo, SC Villa ya Uganda.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa: TBC adui wa mageuzi

SIKU moja baada ya Shirika la Taifa la Utangazaji (TBC) kukata matangazo ya moja kwa moja wakati Bunge la Katiba likiendelea mjini Dodoma, wanasiasa na wananchi wa kada mbalimbali wamelaani...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

10 years ago

Bongo Movies

Mahaba Niue, Adui Kuwa ‘Baby’!!

Ilianza kama utani lakini siku zilivyosonga ndivyo uhusiano wao ulivyowekwa wazi, hao ni watu wawili waliowahi kuwa maadui wakubwa miaka kadhaa nyuma.

Hapo nawazungumzia staa wa filamu Shamsa Ford na msanii wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ ambao kwa sasa wamezama kwenye mahaba niue.

Awali, wahusika wote walitumia nguvu kubwa kukanusha juu ya uhusiano wao lakini inatajwa kuwa mahaba yao ndiyo gumzo kuliko ya wengine wote katika Bongo Muvi na yanashika nafasi ya pili katika...

 

10 years ago

GPL

Adui wa Yanga kuchezesha mechi ya watani

Mwamuzi  Israel Mujuni Nkongo. Khadija Mngwai na Wilbert Molandi
MECHI kubwa katika Ligi Kuu ya Bara kati ya timu kongwe pinzani nchini, Simba na Yanga, inatarajiwa kupigwa Oktoba 18, mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa, gumzo ni kubwa lakini tayari Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limemtaja mwamuzi atakayesimama katikati siku hiyo. Mechi hiyo ya Ligi Kuu Bara inasubiriwa kwa hamu na habari ni kuwa, mwamuzi wa siku hiyo ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani