Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAGUFULI NI ADUI HATARI WA ZANZIBAR

404 - Haionekani

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YA ZANZIBAR YATOA TARIFA JUU YA UGONJWA HATARI WA EBOLA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohammed Aboud Mohamed akizungumza na wanahabari Ofisini kwake Vuga kuhusu Ugonjwa wa Ebola na mikakati ambayo SMZ inaendelea kuichukuwa ili kukabiliana na ugonjwa huo hatari, hadi sasa hakuna mgonjwa alieyegundulikana na ugonjwa huo Zanzibar. NA/JAMILA ABDALLA –MAELEZO ZANZIBAR.
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar  imeanza kuchukua hatua mbali mbali za kukabiliana na Ugonjwa hatari wa Ebola ambao unazidi kusambaa katika nchi mbali mbali Barani...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanaotaka kuvunjwa kwa SUK Zanzibar, wachukue hadhari kabla ya hatari

Ni miaka minne sasa tangu kuundwa kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa visiwani Zanzibar (SUK), ambayo kwa kiasi kikubwa imerejesha siasa za kistaarabu, ushindani wa sera za vyama, amani na utulivu.

 

11 years ago

Michuzi

BARABARA KIJICHI - MBAGALA KUU NI HATARI ZAIDI YA HATARI!

Barabara ya Kijichi – Mbagala Kuu, ndani ya jiji la Dar es Salaam kama ilivyokutwa jana na Mdau Nathan Mpangala. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Butiama, Bw. Haji Mgaya, alisema, dhahma hiyo ni ya muda mrefu na Manispaa ya Temeke ina taarifa hiyo kwa kupindi chote hivyo,lakini mpaka leo iko kimya tu.  Hapa dereva ‘akilala’ tu, kilio kitongoji kizima zikifuatiwa na salamu za rambirambi nyiiingi toka kwa viongozi. Inawezekana Manispaa ya Temeke haina picha halisi ya hatari...

 

11 years ago

GPL

Adui 5 wa Maximo watajwa

Kocha wa Yanga, Marcio Maximo kutoka Brazil. Na Ezekiel Kitula
ADUI watano ambao watampa shida kubwa Kocha wa Yanga, Marcio Maximo kutoka Brazil, wametajwa na wengine wamo ndani ya Yanga na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). Wachambuzi watatu maarufu wa soka nchini, Edibily Lunyamila, Bakari Malima na Saleh Ally, wameeleza kuwa, adui hao kwa Maximo ni viwanja vibovu, waamuzi wabovu, hujuma, uzalendo mikoani na presha ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Adui wa maendeleo ni Mtanzania mwenyewe

KATIKA taratibu zake za kukabiliana na uhalifu, Jeshi la Polisi huwa lina utaratibu wa kumkamata mlinzi wa eneo ambalo limevunjwa na wizi umetokea. Mlinzi huyu hutumiwa kama mtuhumiwa wa awali...

 

10 years ago

Mwananchi

Makocha: Adui mwombee njaa

Dar es Salaam. Baada ya Yanga kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, vita sasa imebaki kwa timu mbili zinazowania nafasi ya pili na nyingine 11 zinazosaka mbinu ya kukwepa janga la kushuka daraja msimu huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Kamara ageuka ‘adui’ Yanga

Dar es Salaam. Badaa ya kutoswa na Yanga, kiungo wa Sierra Leone, Lansana Kamara ameibukia kwa wapinzani wao katika mchezo wa leo, SC Villa ya Uganda.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa: TBC adui wa mageuzi

SIKU moja baada ya Shirika la Taifa la Utangazaji (TBC) kukata matangazo ya moja kwa moja wakati Bunge la Katiba likiendelea mjini Dodoma, wanasiasa na wananchi wa kada mbalimbali wamelaani...

 

11 years ago

Mwananchi

Madini adui yanayoathiri afya

Unaweza kufikiri ni hadithi, lakini ukweli ni kwamba watoto wengi wanaozaliwa kijijini Mtakuja Wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, wengi wao wamepinda miguu, kuharibika ubongo na wengine kupata meno yenye rangi ya kahawia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani