AFLEWO KUFANYA MKESHA KWA AJILI YA KUIOMBEA TANZANIA NA AFRIKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-hEHpSgJEDGY/U5mjLQfrjpI/AAAAAAAA7-M/eZZZegJgW64/s72-c/IMG_1445.jpg)
Mchungaji Abel Orgenes (wa kwanza kulia) wa Kanisa la International Evangelism akiongea machache na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akitangaza mkesha utakaofanywa na Huduma ya AFLEWO ambao utakuwa wa kusifu na kuabudu na maombi kwa ajili ya Afrika na Tanzania. Anayefuatia ni Mchungaji Fred Okello wa Kanisa la Upper Room Ministries Tz, Mchungaji Deo Lubala wa Kanisa la Word Alive pamoja na mwenyeji wao Mchugaji Paul Safari wa Kanisa la Dar es Salaam Pentekoste.
Mchungaji Deo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziDkt. Magufuli kuwa Mgeni Rasmi Mkesha wa kuiombea amani Tanzania.
10 years ago
MichuziTANZANIA FELLOWSHIP CHURCHES KUFANYA MKESHA MKUBWA WA KITAIFA KULIOMBEA TAIFA.
Uongozi wa Tanzania Fellowship Churches unatarajia kufanya mkesha mkubwa kitaifa wa kuliombea Taifa,Desemba 31 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mkesha huo una lengo la kuliweka Taifa mbele ya usalama wa Mungu pamoja na kupatikana amani na utulivu kwa Taifa zima kwa ujumla.
Akithibitisha kuwepo kwa mkesha huo kitaifa,Mwenyekiti wa mkesha huo kitaifa,Mchungaji Geodfrey Mallasy amesema mkesha huo una lengo ...
10 years ago
Mwananchi23 Nov
Jimy Iyke: Niko tayari kufanya chochote kwa ajili ya watoto
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BGk4h7ibQAI/U1-5iHWQnYI/AAAAAAAFeA0/yxKrISM1ZYk/s72-c/PIX1.jpg)
Wanamichezo 45 waagwa rasmi kwa ajili ya kwenda nje kufanya maandalizi ya mashindano ya Jumuiya ya Madola
![](http://3.bp.blogspot.com/-BGk4h7ibQAI/U1-5iHWQnYI/AAAAAAAFeA0/yxKrISM1ZYk/s1600/PIX1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-juWxgzWqjC0/U1-5h23Fj0I/AAAAAAAFeAs/UQbP99ROMic/s1600/PIX2.jpg)
9 years ago
MichuziTIMU YA TAIFA YA PARALYMPIC YAKABIDHIWA VIFAA KWA AJILI MICHEZO YA AFRIKA
11 years ago
GPLHAFRA FUPI YA SHIRIKISHO LA NGUMI ZA RIDHAA TANZANIA KWA AJILI YA KUHAMASISHA MCHEZO WA NGUMI KWA VIJANA TANZANIA
9 years ago
Mtanzania16 Oct
Wabunifu wa mavazi waungana kuiombea amani Tanzania
NA CHRISTOPHER MSEKENA
WABUNIFU wa mavazi nchini, Mustafa Hassanali, Kiki Zimba na Martin Kadinda wameungana kwa ajili ya kufanya onyesho la mavazi la kuiombea amani nchi ‘Fashion For Peace’ kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.
Onyesho hilo litafanyika Jumamosi kwenye Ukumbi wa King Solomon, Dar es Salaam kuanzia saa mbili usiku.
“Hekima, Umoja na Amani ndio ngao zetu, ni muhimu kwetu vijana kuhakikisha tunadumisha na kulinda amani yetu tuliyoirithi kutoka kwa mababu zetu,”...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tUPS2pJ-yYA/VacKlGNYjtI/AAAAAAAASNg/3n8qzK9mv3U/s72-c/E86A6155%2B%25281280x853%2529.jpg)
TIMU YA WATU 39 KUTOKA AFRIKA KUSINI WAPNDA MLIMA KILIMANJARO KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA KUSAIDIA KUNUNUA TAULO MAALUMU KWA WASICHANA WALIOPO MASHULENI PINDI WAWAPO KATIKA HEDHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-tUPS2pJ-yYA/VacKlGNYjtI/AAAAAAAASNg/3n8qzK9mv3U/s640/E86A6155%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_SQu7c010ss/VacKv6BcWRI/AAAAAAAASOI/XjXfbY2I6bA/s640/E86A6182%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4G3w7bUcYnY/VacKzudlBMI/AAAAAAAASOY/eyi3ovNTFmg/s640/E86A6203%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RyQ18hEd_XU/VacKBC0LT7I/AAAAAAAASMA/IWhEgOCpm2U/s640/E86A6047%2B%25281280x853%2529.jpg)