Afrika Mashariki kupeleka vijana Senegal
Nasry Daudi Aziz wa Tanzania amechaguliwa kujiunga na kituo cha kukuza vipaji cha Aspire Football Dream kilichopo Dakar, Senegal.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziVijana wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakutana Arusha kujadili Sera ya Vijana wa EAC
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UUK_Ajjuasw/VH7X9X31GPI/AAAAAAAG06o/jPrs4NgIiEo/s72-c/MMGM1318.jpg)
Makamu Mwenyekiti wa UVCCM achaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana Afrika Kanda ya Afrika Mashariki
![](http://4.bp.blogspot.com/-UUK_Ajjuasw/VH7X9X31GPI/AAAAAAAG06o/jPrs4NgIiEo/s1600/MMGM1318.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bBWv9yQNvSI/VH7X7f0UB4I/AAAAAAAG06g/XLbe4qUejRc/s1600/MMGM1313.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--PHe5LdsWVc/VTpv_cXMssI/AAAAAAAHS_c/vN4axDnjy4c/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-24%2Bat%2B7.30.30%2BPM.png)
MASPIKA WA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA JIJINI DAR KUJADILI MASUALA MBALIMBALI YANAYOHUSU NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
Maspika wa Bunge wa Afrika Mashariki wamekutana jijini Dar es Salaam ili kujadili masuala mbalimbali yanayozihusu nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki likiwemo suala la Ugaidi pamoja na vurugu zinazotokea ,maendeleo hususan Barani Afrika.
Katika Mkutano huo wenye jina la ‘Jukwaa la Maspika wa Mabunge ya Afrika Mashariki’ulihuduliwa na Maspika wa nchi za Tanzania,Kenya,Uganda, Rwanda pamoja na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki(EALA),Mhe.Daniel Kidega....
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DSFgOkFPlNk/VFems3MrnBI/AAAAAAAGvVQ/KzOksZRda2M/s72-c/unnamed.jpg)
Mkuu wa wilaya Arumeru Mhe Nyirembe Munasa afungua Tamasha la Vijana katika nchi za Afrika Mashariki leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-DSFgOkFPlNk/VFems3MrnBI/AAAAAAAGvVQ/KzOksZRda2M/s1600/unnamed.jpg)
MS -TCDC mkoani Arusha
![](http://4.bp.blogspot.com/-V3IluF8BzzU/VFemrf6TLpI/AAAAAAAGvVA/BfYJ3zSiEy8/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5H-1_szjzKo/VFemrYEaNWI/AAAAAAAGvU8/Wt9hsRwB6Qs/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
9 years ago
BBCSwahili17 Nov
Marekani sasa kupeleka kuku Afrika Kusini
11 years ago
Habarileo08 Aug
'Muda wa kupeleka dawa za ebola Afrika bado'
RAIS Barack Obama wa Marekani amesema ni mapema sana kupeleka dawa ya majaribio ya ugonjwa wa ebola Magharibi mwa Afrika, ingawa Liberia imetangaza hali ya hatari nchini humo kutokana na kusambaa kwa ugonjwa huo ambao hauoneshi dalili za kupungua.
10 years ago
Bongo523 Apr
Director Godfather wa Afrika Kusini kufanya ziara ya siku 7 Afrika Mashariki na crew yake
10 years ago
BBCSwahili24 Jan
Senegal yatoka sare na Afrika Kusini
10 years ago
Dewji Blog24 Mar
Vijana kutanua wigo wa kibiashara Afrika na China kupitia mkutano wa jukwaa la viongozi vijana
Balozi wa China nchini Tanzania Mheshimiwa Dr.Lu Youqing akiongea na kushoto ni Naibu waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Mhe. Stephen Masele walipokutana kwenye ukumbi wa ubalozi huo kuzungumzia mkutano wa kimataifa wa viongozi vijana wa Afrika na China unatorajiwa kufanyika kuanzia Machi 27 na kumalizika Machi 31 katika Ukumbi wa Hoteli ya Ngurdoto, mkoani Arusha.
Balozi wa China hapa nchini Mheshimiwa Dr.Lu Youqing akijibu swali aliloulizwa na mwandishi wa habari (Hayupo...