Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afrika yaomboleza Mzee Ojwang

Risala za rambirambi zamiminika kuomboleza kifo cha muigizaji nyota wa vipindi vya kuchekesha 'Mzee Ojwang'

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MZEE OJWANG AFARIKI DUNIA

MWIGIZAJI nguli raia wa Kenya, Benson Wanjau 'Mzee Ojwang' amefariki dunia jana jioni akiwa Hospitali ya Taifa ya Kenyatta, alipokuwa amelazwa akisumbuliwa na ugonjwa wa homa ya mapafu (Pneumonia). Mzee Ojwang atakumbukwa katika Vipindi vya Televisheni kama Vitimbi, Vioja Mahakami, Vituko na Kinyonga. Amefariki akiwa na umri wa miaka 78.

 

10 years ago

BBC

Kenyans mourn comedian 'Mzee Ojwang'

Kenyans mourn comedy star Benson Wanjau, known by his TV character's name "Mzee Ojwang", who died too poor to pay his medical bills.

 

10 years ago

TheCitizen

Vitimbi star Mzee Ojwang dies at 78

Departed comedian Benson Wanjau, popularly known as ‘Mzee Ojwang Hatari’ of the Vitimbi television series, kept begging to meet President Uhuru Kenyatta during his last days.

 

10 years ago

Mwananchi

Mama Kayai: Mzee Ojwang alipuuzwa

Nairobi, Kenya. Siku mbili baada ya gwiji wa kuvunja mbavu kutoka Kenya, Benson Wanjau `Ojwang’ kuaga dunia katika Hospitali ya Taifa ya Kenyatta, mchekeshaji mwingine aliyekuwa akifanya kazi kwa ukaribu kabisa na Mzee huyo (kama mkewe), Mary Khavere `Mama Kayai’, amesema ingewezekana kabisa kuokoa maisha ya mzee huyo lakini alipuuzwa na hakuna aliyekuwa akisikia kilio chake cha muda mrefu.

 

10 years ago

Bongo5

Photos: Mzee Ojwang has finally been laid to rest

Mr. Benson Wanjau famously known as Mzee Ojwang’ has finally been laid to rest at the Lang’ata Cemetry in Nairobi, Kenya on Wednesday 29th July, 2015. His body was first taken to the Kenya National Theatre where he spent most of his time, and later moved to the Nyayo National stadium where the funeral service […]

 

10 years ago

Michuzi

CCM ZANZIBAR YAOMBOLEZA KIFO CHA MWASISI WA ASP MAREHEMU MAKAME MZEE SULEIMAN

Chama Cha Mapinduzi na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wamepokea kwa mshituko, huzuni na masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha aliyewakuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa CCM Zanzibar marehemu Makame Mzee Suleiman, kilichotokea usiku wa tarehe  16 Januari, 2015, nyumbani kwake Amani, Unguja.
Marehemu Makame Mzee Suleiman, alizaliwa tarehe 14 Aprili, 1926, katika Kijiji cha Mitakawani, Wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini, Unguja.
Alipata Elimu ya Msingi katika Skuli ya  Uzini mwaka 1936. Aidha,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mzee Madiba na alama ya batiki Afrika

MTU huweza kujipambanua katika jamii kwa njia mbalimbali, iwe kwa tabia ya asili kama ukali, upole au upendo, pia kwa upande mwingine, mwenyewe unaweza kujipambanua kwa aina ya mavazi, staili...

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AWASILI AFRIKA KUSINI KUHUDHURIA MAZIKO YA MZEE NELSON MADELA‏


 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa katika uwanja wa ndege wa Waterkloof Airforce Base ulioko Kusini mwa jiji la Pretoria alikowasili usiku wa kuamkia leo tayari kuhudhuria mazishi ya Rais Mstaafu wa Afrika Kusini Mzee Nelson R. Mandela.
Rais Kikwete akisalimiana na Mwambata wa Kijeshi katika Ubalozi wa Tanzania Afrika kusini katika uwanja wa… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani