AG ahofia madhehebu ya dini kuigawa nchi
VIONGOZI wa madhehebu mbalimbali ya dini nchini, wamesisitiziwa kutoyatumia vibaya majukwaa yao ya kiimani kwa kazi za kisiasa, ikielezwa kuwa, kufanya hivyo wanaweza kujikuta wakiingiza nchi katika machafuko yasiyotarajiwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Madhehebu ya dini yasadie malezi bora kwa watoto
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_CvIDHKHEL8/VThcJM_SynI/AAAAAAAHSsk/k4kSYWa_yrU/s72-c/unnamed%2B(85).jpg)
BAN KI MOON AWAGEUKIA VIONGOZI WA MADHEHEBU YA DINI DUNIANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-_CvIDHKHEL8/VThcJM_SynI/AAAAAAAHSsk/k4kSYWa_yrU/s1600/unnamed%2B(85).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DTalDyexWYo/XmD9EuxbGWI/AAAAAAAAIPU/OjHw1NCTzmcUfjnkPkNxqSqEdyBimzEqwCKgBGAsYHg/s72-c/IMG_20200304_150519_2.jpg)
IGP SIRRO AONYA VIONGOZI WA MADHEHEBU YA DINI KUTOJIHUSISHA NA SIASA
![](https://1.bp.blogspot.com/-DTalDyexWYo/XmD9EuxbGWI/AAAAAAAAIPU/OjHw1NCTzmcUfjnkPkNxqSqEdyBimzEqwCKgBGAsYHg/s640/IMG_20200304_150519_2.jpg)
Mkuu wa jeshi la polisi nchini Simon Sirro akisoma jiwe la msingi aliloweka ikiwa ni ujenzi wa makazi ya Askari wa jeshi hilo kwenye eneo la FFU kata ya Muriet jijini Arusha pembeni yake ni mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo na mbele yao ni Balozi wa heshima wa Serikali ya Dubai Fouad Martis wakifuatilia tukio hilo picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-4d-Suf8LeAQ/XmD9EpIMuvI/AAAAAAAAIPU/bJAZB6va5JQnkoHv9BS4W3UrhSSUkZWuwCKgBGAsYHg/s640/IMG_20200304_152114_9.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Simon Sirro kulia akiwa na Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo katikati na pembeni mwenye suti ya Bluu ni Balozi wa...
10 years ago
BBCSwahili05 Nov
Kiongozi wa dini auawa nchi Kenya
9 years ago
StarTV18 Sep
Viongozi wa dini wahimizwa kuiombea nchi amani
Serikali wilayani Meatu katika mkoa wa Simiyu imewataka viongozi wa madhehebu ya dini kuendelea kuiombea nchi amani katika kipindi hiki cha uchaguzi ili kufanya wa amani na haki.
Aidha viongozi hao wametakiwa kuacha upendeleo kwa chama kimoja cha siasa na badala yake watoe haki sawa kwa vyama vyote vilivyosimamisha wagombea katika wilaya hiyo.
Wito huo umetolewa na mkuu wa wilaya ya Meatu Erasto Sima katika uzinduzi wa mkutano mkubwa wa Injili unaofanyika katika mji wa Mwanhuzi wilayani humo...
9 years ago
StarTV12 Oct
Viongozi wa Dini wahimizwa kufuata sheria za nchi
Viongozi wa Dini nchini wametakiwa kufuata taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa sheria za nchi wakati wanapotaka kusajili taasisi zao kwa ajili ya kutoa huduma za kiroho.
Tamko hilo limetolewa kwa madai kuwa baadhi ya Maaskofu wa Makanisa ya Kipentekoste ambao hawako kwenye Baraza la Makanisa nchini wanakiuka taratibu za usajilli.
Maaskofu hao wamelilaumu Baraza la Makanisa ya Kipentekoste na Serikali kuwa wanazuia usajili kukiwa na tetesi ya kutaka kufutwa kwa baadhi ya taasisi.
Akijibu...
9 years ago
GPLDK MAGUFULI KUWANYANG'ANYA VIGOGO ARDHI WALIYOJILIMBIKIZIA NA KUIGAWA KWA WANANCHI
9 years ago
Dewji Blog03 Sep
Viongozi wa Dini kutoka nchi 17 wakutana jijini Dar kujadili mikakati ya kumaliza mambukizi mapya ya VVU/UKIMWI
Mshereheshaji wa mkutano huo Prof. Venant Nantulya akiwa katika hatua ya uendeshaji wa mkutano wa Viongozi wa ngazi ya juu wa dini katika kupambana na kuweka mikakati ya kuharakisha kumaliza maambukizi mapya ya VVU/UKIMWI.(Picha na Geofrey Adroph).
Mufti mkuu wa Zambia, Sheikh Assadullah Mwale akifungua kwa dua katika mkutano wa viongozi wa dini wa nchi za mashariki na kusini mwa Afrika uliofanyika jana jijini Dar.
Bi. Vanessa Anyoti kutoka YWCA Tanzania (kushoto) akizungumza kuhusiana...
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Madhehebu yenye imani zilizopitiliza yafutwe