Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AG ahofia madhehebu ya dini kuigawa nchi

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George MasajuVIONGOZI wa madhehebu mbalimbali ya dini nchini, wamesisitiziwa kutoyatumia vibaya majukwaa yao ya kiimani kwa kazi za kisiasa, ikielezwa kuwa, kufanya hivyo wanaweza kujikuta wakiingiza nchi katika machafuko yasiyotarajiwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Madhehebu ya dini yasadie malezi bora kwa watoto

Taifa lenye maadili ni lile lililojikita katika misingi imara ya uadilifu ambayo inajengwa kuanzia ngazi ya familia, kijiji/mtaa, wilaya, mkoa na taifa.

 

10 years ago

Michuzi

BAN KI MOON AWAGEUKIA VIONGOZI WA MADHEHEBU YA DINI DUNIANI

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban  Ki Moon akiwa na  Viongozi wa Madhehebu  mbalimbali ya Dini mara baada ya  viongozi hao wa dini kuzungumza katika mkutano wa ngazi ya juu uliojadili  pamoja na mambo mengi kuongezeka kwa vurugu zitokanazo na itikadi kali za kidini na ukereketwa wa kupindukia na  nini kifanyike kukabiliana na  changamoto hiyo. katika picha hii yupo pia Rais wa Baraza Kuu la  Umoja wa Mataifa, Bw. Sam Kutessa ambaye ndiye aliyandaa mkutano huo.Na  Mwandishi Maalum, New...

 

5 years ago

Michuzi

IGP SIRRO AONYA VIONGOZI WA MADHEHEBU YA DINI KUTOJIHUSISHA NA SIASA


Mkuu wa jeshi la polisi nchini Simon Sirro akisoma jiwe la msingi aliloweka ikiwa ni ujenzi wa makazi ya Askari wa jeshi hilo kwenye eneo la FFU kata ya Muriet jijini Arusha pembeni yake ni mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo na mbele yao ni Balozi wa heshima wa Serikali ya Dubai Fouad Martis wakifuatilia tukio hilo picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Simon Sirro kulia akiwa na Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo katikati na pembeni mwenye suti ya Bluu ni Balozi wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa dini auawa nchi Kenya

Watu wasiojulikani kwenye mji wa pwani nchini Kenya ,Mombasa wamemuua kwa kumpiga risasi kiongozi mashuhuri wa dini ya kislamu.

 

9 years ago

StarTV

Viongozi wa dini wahimizwa kuiombea nchi amani

Serikali wilayani Meatu katika mkoa wa Simiyu imewataka viongozi wa madhehebu ya dini kuendelea kuiombea nchi amani katika kipindi hiki cha uchaguzi ili kufanya wa amani na haki.

Aidha viongozi hao wametakiwa kuacha upendeleo kwa chama kimoja cha siasa na badala yake watoe haki sawa kwa vyama vyote vilivyosimamisha wagombea katika wilaya hiyo.

Wito huo umetolewa na mkuu wa wilaya ya Meatu Erasto Sima katika uzinduzi wa mkutano mkubwa wa Injili unaofanyika katika mji wa Mwanhuzi wilayani humo...

 

9 years ago

StarTV

Viongozi wa Dini wahimizwa kufuata sheria za nchi

 Viongozi wa Dini nchini wametakiwa kufuata taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa sheria za nchi wakati wanapotaka kusajili taasisi zao kwa ajili ya kutoa huduma za kiroho.

Tamko hilo limetolewa kwa madai kuwa baadhi ya Maaskofu wa Makanisa ya Kipentekoste ambao hawako kwenye Baraza la Makanisa nchini wanakiuka taratibu za usajilli.

Maaskofu hao wamelilaumu Baraza la Makanisa ya Kipentekoste na Serikali kuwa wanazuia usajili kukiwa na tetesi ya kutaka kufutwa kwa baadhi ya taasisi.

Akijibu...

 

9 years ago

GPL

DK MAGUFULI KUWANYANG'ANYA VIGOGO ARDHI WALIYOJILIMBIKIZIA NA KUIGAWA KWA WANANCHI‏

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akikimbia kuonesha ukakamavu kwenda jukwaani kujinadi wakati wa mkutano wa kampemi katika Uwanja wa Taifa mjini Ifakara wilayani Kilombero, Mkoa wa Morogoro jana.  Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akijinadi  kwa wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika Mjini  Ifakara, wilayani Kilombero, Morogoro. Dk Magufuli jana alifanya… ...

 

9 years ago

Dewji Blog

Viongozi wa Dini kutoka nchi 17 wakutana jijini Dar kujadili mikakati ya kumaliza mambukizi mapya ya VVU/UKIMWI

Mshereheshaji wa mkutano huo Prof. Venant Nantulya akiwa katika hatua ya uendeshaji wa mkutano wa Viongozi wa ngazi ya juu wa dini katika kupambana na kuweka mikakati ya  kuharakisha kumaliza maambukizi mapya ya VVU/UKIMWI.(Picha na Geofrey Adroph).

Mufti mkuu wa Zambia, Sheikh Assadullah Mwale akifungua kwa dua katika mkutano wa viongozi wa dini wa nchi za mashariki na kusini mwa Afrika uliofanyika jana jijini Dar.

Bi. Vanessa Anyoti kutoka YWCA Tanzania (kushoto) akizungumza kuhusiana...

 

11 years ago

Mwananchi

Madhehebu yenye imani zilizopitiliza yafutwe

Habari zilizotawala katika vyombo vya habari juzi ni kuwapo kwa kanisa wilayani Kakonko, mkoani Kigoma linaloitwa ‘Sabato Matengenezo’. Kanisa hilo lilianzishwa na watu sita, ambao tunaambiwa hivi sasa wamo mikononi mwa polisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani