Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AHMED SALIM ‘GABO’: Chipukizi mwenye nyodo ya kuchagua filamu za kucheza

KWENYE jambo lolote unapoingia kama ni mgeni, sio jambo geni mtu unajikuta ukijishusha kwa kuwaofia waliokutangulia katika jambo husika. Mara nyingi watu hufanya hivyo kwa lengo la kujifunza huku wengine...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Dkt. Salim Ahmed Salim akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri

Waziri Mkuu Mstaafu,Dkt. Salim Ahmed Salim akiwa katika mazungumzo na mgeni wake ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri,Balozi Nabil Fahmy wakati alipomtembelea nyumbani kwake leo Jumamosi 22 Februari 2014. Waziri Mkuu Mstaafu,Dkt. Salim Ahmed Salim na mgeni wake Wakiangalia picha za ukumbusho. Picha ya pili juu kushoto Dr Salim akiwakilisha credentials zake kwa Rais wa Zamani wa Misri, Gamal Abdul Nasser akiwa kama balozi wa Kwanza wa Tanzania nchini humo.

 

11 years ago

Michuzi

balozi mpya wa ujerumani nchini amtembelea Dkt Salim Ahmed Salim leo

Waziri Mkuu Mstaafu na Mwenyekiti wa Mwalimu Nyerere Foundation Mhe Dkt. Salim Ahmed Salim akimkaribisha ofisini kwake balozi mpya wa Ujerumani nchini Tanzania Bwana Egon Kochanke ambaye alifika kujitambulisha kwake na kumjulia hali leo Jumatano 23 Julai 2014


Waziri Mkuu Mstaafu na Mwenyekiti wa Mwalimu Nyerere Foundation Mhe Dkt. Salim Ahmed Salim akiongea na  balozi mpya wa Ujerumani nchini Tanzania Bwana Egon Kochanke ambaye alifika kujitambulisha kwake na kumjulia hali leo Jumatano 23...

 

9 years ago

Bongo5

Gabo asema filamu yake mpya ya ‘Safari ya Gwalu’ italeta mapinduzi

Msanii wa filamu aliyetamba kwenye Bado Natafuta, Gabo Zigamba amesema filamu yake mpya ‘Safari ya Gwalu’ italeta mapinduzi nchini. Gabo ameiambia Bongo5 leo kuwa uwezo aliouonesha katika kazi hiyo utawafanya watu waamini kipaji chake. “Mimi nategemea mafanikio makubwa kwa sababu hii ni miba ya nyikani na haivunjiki kwa mkono,” amesema. Ajira isiyo rasmi sasa tunakwenda […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

JAMES CHIMWINGA ‘AMOUR’: Msanii mwenye ndoto ya kuwaunganisha chipukizi

TANZANIA ni miongoni mwa nchi inayokuja kasi katika suala la muziki hasa wa kizazi kipya ambako kila wakati kumekuwepo na vipaji vipya vinavyoibuka. Hata hivyo kutokana na kuongezeka kwa teknolojia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

ISSA HUSSEIN: Chipukizi mwenye matumaini makubwa katika soka

KILIO changu siku ya leo ni kwa wadau wa soka, nendeni viwanja vya mitaani, kwani kuna vipaji vingi vya soka vinavyotakiwa kuendelezwa. Akiwa ni mwanasoka chipukizi na anayeonyesha kipaji kikubwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lufedha washirikisha chipukizi filamu mbili

MKURUGENZI wa Kampuni ya Lufedha Film Company, Sallehe Lufedha, amesema kuwa filamu mpya mbili, ‘Wema Uko Wapi’ na ‘Hutoniona Tena’ wanazotarajia kuziachia hivi karibuni zitamshirikisha pia chipukizi anayekuja kwa kasi,...

 

10 years ago

Vijimambo

True story of Ahmed Albaity..Lets all help ahmed with whatever we can

True story of Ahmed Albaity..Lets all help ahmed with whatever we can...Lets all open our heart and help each other...lets all remind ourself that anything at anytym can happen to us. We dont know who will come and help us..Lets make dua for Ahmed and pray to ALLAH (swt) for Ahmed to get better soon Inshallah

 

10 years ago

Michuzi

ASHA BUI MWANAMKE PEKEE KUCHEZA FILAMU MSITUNI

MWIGIZAJI wa kike wa filamu Aisha Bui, amedai kuwa alijitoa maisha yake kutoka na filamu yake ya Mshale wa Kifo, kutokana na sinema hiyo kutengeneza porini katika msitu hatari wenye wanyama wakali.

Msanii huyo amedai alifanya hivyo kufuatia maoni ya wapenzi wa filamu ambao kila siku wanalalamika kwa kusema kuwa filamu zetu nyingi zimekuwa za mijini tu, huku baadhi ya matukio yakirudiwa kila katika sinema hizo jambo ambalo limekuwa likiongelewa mara kwa mara.

“Nilijitoa maisha yangu kwa kuingia...

 

10 years ago

Vijimambo

Mh. January Makamba, Urais Sio Sawa na Kucheza Filamu

Wanajamvini,Nawasalimu.Nimelazimika kuanza na hiyo kauli hapo juu kutokana na unyeti wa habari yenyewe.Nitakuwa namwendelezo wa kutoa ufafanuzi wa mambo mbalimbali yanayoikabili Tanzaniakwa kutumia mifano hai na kumbukumbu rasmi zilizopo Tanzania.“Ni bora Simba wakali mia moja walioko Nje kuliko nyoka mdogo mmoja aliye ndani [“Godbless JonathanLema]. Haya maneno aliwahi kuyatoa Mbunge Lema, nayafananisha na kijitabualichokitoa Mh. January Makamba. Namheshimu sana [ Hata yeye anajua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani