ISSA HUSSEIN: Chipukizi mwenye matumaini makubwa katika soka
KILIO changu siku ya leo ni kwa wadau wa soka, nendeni viwanja vya mitaani, kwani kuna vipaji vingi vya soka vinavyotakiwa kuendelezwa. Akiwa ni mwanasoka chipukizi na anayeonyesha kipaji kikubwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
JAMES CHIMWINGA ‘AMOUR’: Msanii mwenye ndoto ya kuwaunganisha chipukizi
TANZANIA ni miongoni mwa nchi inayokuja kasi katika suala la muziki hasa wa kizazi kipya ambako kila wakati kumekuwepo na vipaji vipya vinavyoibuka. Hata hivyo kutokana na kuongezeka kwa teknolojia...
11 years ago
Tanzania Daima30 May
AHMED SALIM ‘GABO’: Chipukizi mwenye nyodo ya kuchagua filamu za kucheza
KWENYE jambo lolote unapoingia kama ni mgeni, sio jambo geni mtu unajikuta ukijishusha kwa kuwaofia waliokutangulia katika jambo husika. Mara nyingi watu hufanya hivyo kwa lengo la kujifunza huku wengine...
9 years ago
Habarileo17 Aug
“Chipukizi badilisheni soka Tanzania”
WACHEZAJI chipukizi wa soka wametakiwa kuwa chachu ya maendeleo ya mchezo huo hapa nchini na kufuta aibu ya kufungwa hovyo kwa timu ya Taifa kwa kuifanya iwe timu bora na yenye tija kwa taifa.
11 years ago
Habarileo21 Dec
Askofu Nzigilwa ajenga matumaini makubwa kwa Katiba ijayo
ASKOFU Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu Eusebius Nzigilwa amesema kuwa anaamini changamoto iliyojitokeza katika Rasimu ya Katiba Mpya itakuwa imerekebishwa katika rasimu ijayo na Katiba itakuwa nzuri.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BM3*tIQqFL-6CMXT4g6n8tV09cky1Wu2lS8KemeCgjl5J2gqxqzInesfNCpq-zOBSaXKrHXde2mkzO6BHFq-SfU4BBlkhglZ/MikelRuffinelli.jpg)
MJUE MWANAMKE MWENYE ‘MAHIPS’ MAKUBWA ZAIDI DUNIANI
11 years ago
Dewji Blog05 Jul
Wanamichezo waliokuwa China kujiandaa na Mashindano ya Jumuiya ya Madola warejea nchini huku wakiwa na matumaini makubwa
Baadhi ya wanamichezo waliokuwa nchini China kwa ajili ya maandalizi ya mashindano ya Jumuiya ya Madola wakiwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jana jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo nchini Bw. Leonard Thadeo akisukuma mzizigo ya baadhi ya makocha wa China waliombatana na Wanamichezo wa Tanzania waliokuwa China kwa ajili ya mazoezi ya kujiandaa na mashindano ya Olympic yanayotarajiwa kuanza mwishoni mwa mwezi huu mjini Glasgow Scotland,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q82SU8yXGkQ/VLlDmDirdVI/AAAAAAAAVpo/yAqE2Fucg38/s72-c/2.jpg)
KUNA MATUMAINI MAKUBWA YA KUFIKIWA MAKUBALIANO YA KUKIUNGANISHA CHAMA CHA SPLM-KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA-
![](http://4.bp.blogspot.com/-q82SU8yXGkQ/VLlDmDirdVI/AAAAAAAAVpo/yAqE2Fucg38/s1600/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana jana aliwasili Arusha kwa lengo la kufanya mazungumzo na makundi matatu ya chama cha SPLM ya Sudani ya Kusini, mashauriano hayo yalilenga kukamilisha makubaliano baina ya makundi hasimu.
Baada ya Mazungumzo Ndugu Kinana alisema ana matumaini ya kufikiwa makubaliano ya kukiunganisha chama cha SPLM katika siku chache zijazo
Kutoka kushoto ni Balozi David Kapya,Abdulrahman Kinana,Mwenyekiti wa Mazungumzo Dk.John Samuel Malecela na Makamu Mwenyekiti...
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
LULU: Mimi ni Mchamungu,Mwenye Matarajio Makubwa Maishani…That’s Lulu
"Mimi ni mcha Mungu, mpenda maendeleo,ni mtu ambae nipo focused,ni mtu ambae nina matarajio makubwa,mtuambae nataka kufika mbali-That’s Lulu "
Muigizaji wa Filamu, Elizabeth Michael “Lulu” aliyasema hayo leo akiwa studio kabla ya kuimbiwa wimbo Dogo Aslay msanii kutoka yamoto Band.