“Chipukizi badilisheni soka Tanzania”
WACHEZAJI chipukizi wa soka wametakiwa kuwa chachu ya maendeleo ya mchezo huo hapa nchini na kufuta aibu ya kufungwa hovyo kwa timu ya Taifa kwa kuifanya iwe timu bora na yenye tija kwa taifa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
ISSA HUSSEIN: Chipukizi mwenye matumaini makubwa katika soka
KILIO changu siku ya leo ni kwa wadau wa soka, nendeni viwanja vya mitaani, kwani kuna vipaji vingi vya soka vinavyotakiwa kuendelezwa. Akiwa ni mwanasoka chipukizi na anayeonyesha kipaji kikubwa...
9 years ago
Mtanzania20 Aug
Chipukizi Bhoke atoka na Naipenda Tanzania
NA MWANDISHI WETU
MSANII chipukizi katika muziki wa Bongo Fleva, Bhoke Joseph (Honeyb), ameibuka na wimbo wa ‘Naipenda Tanzania’ unaoelezea uzuri wa Tanzania.
Katika wimbo huo uliorekodiwa katika studio ya Steam iliyopo Kimara Korogwe jijini Dar es Salaam chini ya prodyuza Master, inaelezea mambo mbalimbali yaliyoiwezesha Tanzania kuwa hapa ilipo.
Wimbo huo pia umewaelezea viongozi wote walioongoza nchi hii hadi sasa huku ikiwataka watakaokuja waendeleze Watanzania na amani yao.
“Nimeimba...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-l6egU9fwA9A/VK61npV24MI/AAAAAAAAaCQ/GQfaRFL91mI/s72-c/Mroki-Mporojost.jpg)
MAELEZO BADILISHENI MFUMO WA UTOAJI PRESS CARD
![](http://3.bp.blogspot.com/-l6egU9fwA9A/VK61npV24MI/AAAAAAAAaCQ/GQfaRFL91mI/s1600/Mroki-Mporojost.jpg)
IDARA ya Habari –MAELEZO ndiyo idara ya serikali inayoshughulika na kufanya kazi zake kama chombo cha usimamizi wa vyombo vya habari na waandishi wake.
Idara hiyo pia ndio msemaji wa masuala mbalimbali ya serikali lakini pia ndiyo idara yenye jukumu la kusajili au hata kuyafutia...
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/12/IMG_3853.jpg)
SERIKALI YAIPONGEZA UCA-TANZANIA KUWANYANYUA WASANII CHIPUKIZI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xzTpYu5VZWA/Xr55Iz8347I/AAAAAAALqUg/VoE8sX7tCrsfiWdgZL3Y6zbvUeNiGnAOACLcBGAsYHQ/s72-c/778efa3e-709b-4e59-be09-6ef7639882cf.jpg)
BADILISHENI CORONA KUWA FURSA KWA MALEZI YA FAMILIA
Wazazi na walezi nchini wametakiwa kufanya tathimini juu ya fursa na changamoto zilizopo katika familia zao hususani kipindi hiki ambacho jamii inakabiliana na maambukizi ya virusi vya Corona vinavyosababisha ugojwa wa homa kali ya mapafu (COVID-19).
Wito huo umetolewa leo jijini Dar Es Salaam na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakati akizungumza kuhusu Siku ya Familia Duniani ambayo huadhimishwa kila...
10 years ago
BBCSwahili21 Feb
Tanzania yaifunga Kenya soka ya ufukweni
10 years ago
BBCSwahili17 Feb
Tanzania,Kenya kupambana Soka Ufukweni
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Soka Ufukweni:Tanzania, Misri kupmbana
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Samatta, kijana anayevumisha soka ya Tanzania