Samatta, kijana anayevumisha soka ya Tanzania
Nyota wa Tanzania Mbwana Ally Samatta amechangia sana katika ufanisi wa klabu ya TP Mazembe na pia kuweka soka ya Tanzania katika jukwaa la kimataifa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo512 Oct
Mbwana Samatta ateuliwa kuwania tuzo ya mwanasoka bora wa Afrika, ni wachezaji wanaocheza soka la ndani
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/12F05/production/_85637577_samatta2.jpg)
Samatta flying flag for Tanzania
10 years ago
TheCitizen10 Jan
Samatta wins Goal Tanzania Player of the Year
9 years ago
VijimamboBREAKING NEWS: KIJANA KUTOKA MAREKANI AENDELEA KUWA GUMZO TANZANIA
Wakiongea kwa nyakati tofauti wananchi wa Luhanga, Utengule na Igurusi wamesema Mh. Mwang'ombe ni mkombozi wa Mbarali baada ya mateso ya CCM kwa mika mingi. Wamesema walimtuma Mh. Mwang'ombe Marekani...
10 years ago
Vijimambo22 Apr
SABABU 4 ZA KIJANA HUYU KUWEZA KUONGOZA TAIFA LA TANZANIA MIAKA 5 IJAYO
![](https://scontent-ams.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10423657_1580968832158572_6481718446297113972_n.jpg?oh=fd4b14e1237a9206a2103508d6deed94&oe=55D921F9)
Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amebainisha sababu nne zinazowafanya wananchi wampendekeze kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba. Nchemba aliyasema hayo jana kwenye mahojiano
wakati wa kipindi cha dakika 45 kinachorushwa na ITV kuhusu tafiti zinazofanywa juu ya kukubalika kwa baadhi ya watia nia ya urais miongoni mwa wananchi wanaomtaja.
...
9 years ago
MillardAyo03 Jan
TP Mazembe inatafuta mbadala wa Samatta? hawa ndio nyota wa Tanzania waliokwenda kwa majaribio …
Baada ya mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta kuthibitisha kuwa yuko mbioni kuondoka TP Mazembe na kujiunga na klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji, stori za January 2 ni kuwa klabu ya TP Mazembe imeita nyota wawali wa bongo kwenda kufanya majaribio. […]
The post TP Mazembe inatafuta mbadala wa Samatta? hawa ndio nyota wa Tanzania waliokwenda kwa majaribio … appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Habarileo17 Aug
“Chipukizi badilisheni soka Tanzania”
WACHEZAJI chipukizi wa soka wametakiwa kuwa chachu ya maendeleo ya mchezo huo hapa nchini na kufuta aibu ya kufungwa hovyo kwa timu ya Taifa kwa kuifanya iwe timu bora na yenye tija kwa taifa.
10 years ago
BBCSwahili21 Feb
Tanzania yaifunga Kenya soka ya ufukweni
10 years ago
BBCSwahili17 Feb
Tanzania,Kenya kupambana Soka Ufukweni