Chipukizi Bhoke atoka na Naipenda Tanzania
NA MWANDISHI WETU
MSANII chipukizi katika muziki wa Bongo Fleva, Bhoke Joseph (Honeyb), ameibuka na wimbo wa ‘Naipenda Tanzania’ unaoelezea uzuri wa Tanzania.
Katika wimbo huo uliorekodiwa katika studio ya Steam iliyopo Kimara Korogwe jijini Dar es Salaam chini ya prodyuza Master, inaelezea mambo mbalimbali yaliyoiwezesha Tanzania kuwa hapa ilipo.
Wimbo huo pia umewaelezea viongozi wote walioongoza nchi hii hadi sasa huku ikiwataka watakaokuja waendeleze Watanzania na amani yao.
“Nimeimba...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-xA3h66RSUnM/Ux4yHFrgkPI/AAAAAAAADWA/ixpGXbQZBew/s1600/MKCT_AP20b.jpg?width=650)
9 years ago
Bongo509 Nov
New Video: Tanzania’s Various Artists — Naipenda Tanzania
![Newww](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Newww-300x194.jpg)
Hii ni video ya wasanii mbalimbali wa Tanzania wakihimiza upendo, amani na utulivu nchini.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Habarileo17 Aug
“Chipukizi badilisheni soka Tanzania”
WACHEZAJI chipukizi wa soka wametakiwa kuwa chachu ya maendeleo ya mchezo huo hapa nchini na kufuta aibu ya kufungwa hovyo kwa timu ya Taifa kwa kuifanya iwe timu bora na yenye tija kwa taifa.
9 years ago
Mtanzania17 Sep
Ne-Yo: Naipenda Nairobi
NEW YORK, MAREKANI
NYOTA wa muziki nchini Marekani, Shaffer Smith ‘Ne-Yo’ ameonyesha kufurahiwa na mji wa Nairobi, nchini Kenya, baada ya kuishi huko kwa muda alipokuwa katika shughuli zake za kimuziki.
Neyo alizungumzia mapokezi aliyopata katika mji huo akajikuta akiweka wazi kwamba ataendelea kuupenda mji huo na nchi yake kwa ujumla.
Pia msanii huyo aliendelea kuonyesha hisia za mapenzi yake kwa mji huo kwa kuvaa fulana
iliyoandikwa ‘Naipenda Nairobi’.
Mbali na kuvaa T-shirt hiyo, pia...
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/12/IMG_3853.jpg)
SERIKALI YAIPONGEZA UCA-TANZANIA KUWANYANYUA WASANII CHIPUKIZI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whapl-f-NAYqcgour16qmCXNvBgY4N9rEgdDfnFamc*lQL*MkSltD23sTtKksi4Ua-ehPerTUV9jvF3GPtWeSRqsIz4GUg6z/sandra.jpg)
SANDRA: NAIPENDA SANA NDOA YANGU
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
Msama atoka Muhimbili
MKURUGENZI wa Msama Promotions Ltd ya jijini Dar es Salaam, Alex Msama, aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, ameruhusiwa baada ya kupata nafuu dhidi ya maumivu ya ajali aliyopata...
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Mbowe atoka hospitali
10 years ago
Vijimambo13 Aug
MBOWE ATOKA HOSPITALINI
![Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2830476/highRes/1089166/-/maxw/600/-/u4gjjw/-/pic+mbowe.jpg)
By Raymond Kaminyoge. Mwananchi
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), ameruhusiwa kurudi nyumbani.
Mbowe aliugua ghafla Jumatatu iliyopita akiwa kwenye maandamano ya kumsindikiza mgombea urais kupitia tiketi ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa aliyekwenda katika ofisi za Tume ya Taifa ya...