New Video: Tanzania’s Various Artists — Naipenda Tanzania
Hii ni video ya wasanii mbalimbali wa Tanzania wakihimiza upendo, amani na utulivu nchini.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-xA3h66RSUnM/Ux4yHFrgkPI/AAAAAAAADWA/ixpGXbQZBew/s1600/MKCT_AP20b.jpg?width=650)
9 years ago
Mtanzania20 Aug
Chipukizi Bhoke atoka na Naipenda Tanzania
NA MWANDISHI WETU
MSANII chipukizi katika muziki wa Bongo Fleva, Bhoke Joseph (Honeyb), ameibuka na wimbo wa ‘Naipenda Tanzania’ unaoelezea uzuri wa Tanzania.
Katika wimbo huo uliorekodiwa katika studio ya Steam iliyopo Kimara Korogwe jijini Dar es Salaam chini ya prodyuza Master, inaelezea mambo mbalimbali yaliyoiwezesha Tanzania kuwa hapa ilipo.
Wimbo huo pia umewaelezea viongozi wote walioongoza nchi hii hadi sasa huku ikiwataka watakaokuja waendeleze Watanzania na amani yao.
“Nimeimba...
11 years ago
Middletown Press03 Jun
Artists for World Peace donate supplies for orphanage in Tanzania
Middletown Press
Chris Nolet - Special to the Press Volunteers joined Middletown artist Wendy Black-Nasta, founder of Artists for World Peace, and her husband, musician Robert Nasta to pack a 40-foot container with bicycles and hospital equipment. By Special to the Press.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VzaDn_wI92s/VOo8wlyYOVI/AAAAAAAHFSQ/phxq4mfM0os/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
CALL FOR ARTISTS 2015 : KARIBU MUSIC FESTIVAL 6th (Fri) — 8th (Sun) NOVEMBER 2015, BAGAMOYO TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-VzaDn_wI92s/VOo8wlyYOVI/AAAAAAAHFSQ/phxq4mfM0os/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/78862000/jpg/_78862334_78862326.jpg)
VIDEO: High wire artists cross Victoria Falls
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-DRBLrIo3FXA/Vembk69YDjI/AAAAAAAD6JE/DKxQzCcQVyQ/s72-c/Buffet-Table.jpeg)
Curious on Tanzania Launches Tanzania Culture Fest in New York City On September 5, 2015 experience Tanzania in New York City with a cultural evening of food and live entertainment that will inspire and fulfill your curiosities about Tanzania.
![](http://2.bp.blogspot.com/-DRBLrIo3FXA/Vembk69YDjI/AAAAAAAD6JE/DKxQzCcQVyQ/s640/Buffet-Table.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8lbHhaP8bwQ/Vembl8TbKiI/AAAAAAAD6JM/DQRbk1S_POo/s640/COT-NYtravFest-2014-1-e1438601902521.jpg)
Curious on Tanzania Launches Tanzania Culture Fest in New York City On September 5, 2015 experience Tanzania in New York City with a cultural evening of food and live entertainment that will inspire and fulfill your curiosities about Tanzania.
The idea behind the Fest is to celebrate Tanzanian culture with Tanzanians, taste makers, previous/ future travelers and others who are curious to know more or experience our culture and more. Some of the highlight of the event will be Tanzanian...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Rqw3XFfZUqg/U6fnplc1s6I/AAAAAAAFsYo/-ZUK0Z__ehI/s72-c/Untitled.vpng.png)
MAONESHO YA BIDHAA ZA TANZANIA KATIKA UBALOZI WA TANZANIA LUSAKA, ZAMBIA (TANZANIA WEEK) 25 -31 JULAI 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-Rqw3XFfZUqg/U6fnplc1s6I/AAAAAAAFsYo/-ZUK0Z__ehI/s1600/Untitled.vpng.png)
Ubalozi wa Tanzania nchini Zambia unachukua nafasi hii kuwakaribisha rasmi Watanzania kuja kushiriki katika maonesho haya. Tuna amini ni nafasi nzuri ya kujitanganza na kuonana uso kwa uso na wadau...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VUElcJ6_bHU/U4xEzU4tAII/AAAAAAAFnMg/sPCoZZ_zmHU/s72-c/New+Picture+(6).png)
MAONESHO YA BIDHAA ZA TANZANIA KATIKA UBALOZI WA TANZANIA LUSAKA, ZAMBIA (TANZANIA WEEK) KUANZA 25 -31 JULAI 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-VUElcJ6_bHU/U4xEzU4tAII/AAAAAAAFnMg/sPCoZZ_zmHU/s1600/New+Picture+(6).png)
Ubalozi wa Tanzania nchini Zambia unachukua nafasi hii kuwakaribisha rasmi Watanzania kuja kushiriki katika maonesho haya. Tuna amini ni nafasi nzuri ya kujitanganza na kuonana uso kwa uso na wadau mbalimbali...
9 years ago
Mtanzania17 Sep
Ne-Yo: Naipenda Nairobi
NEW YORK, MAREKANI
NYOTA wa muziki nchini Marekani, Shaffer Smith ‘Ne-Yo’ ameonyesha kufurahiwa na mji wa Nairobi, nchini Kenya, baada ya kuishi huko kwa muda alipokuwa katika shughuli zake za kimuziki.
Neyo alizungumzia mapokezi aliyopata katika mji huo akajikuta akiweka wazi kwamba ataendelea kuupenda mji huo na nchi yake kwa ujumla.
Pia msanii huyo aliendelea kuonyesha hisia za mapenzi yake kwa mji huo kwa kuvaa fulana
iliyoandikwa ‘Naipenda Nairobi’.
Mbali na kuvaa T-shirt hiyo, pia...