Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AIKU 64 ZA MTIFUANO

Baadhi ya wananchi wa Jimbo la Mtama Mkoani Lindi wakimsikiliza aliyekuwa akiwania kuteuliwa na CCM kuwa mgombea wa Ubunge wa Jimbo hilo, Suleiman Mathew aliyeshindwa katika mchakato wa kura za maoni. Picha na Haika Kimaro.
By Nuzulack Dausen, Mwananchi

Dar es Salaam. Zikiwa zimesalia siku tisa kuanza kwa kampeni za Uchaguzi Mkuu mwaka huu, kuna dalili za wazi kuwa vyama vilivyosimamisha wagombea urais vinakabiliwa na kazi ngumu ya kuwafikia wananchi kutokana na muda mfupi uliopangwa na Tume...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Siku 64 za mtifuano

Zikiwa zimesalia siku tisa kuanza kwa kampeni za Uchaguzi Mkuu mwaka huu, kuna dalili za wazi kuwa vyama vilivyosimamisha wagombea urais vinakabiliwa na kazi ngumu ya kuwafikia wananchi kutokana na muda mfupi uliopangwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

 

11 years ago

Mwananchi

Real, Barca, Atletico mtifuano

Bilbao imefunga mabao 15, huku wakishinda mechi 13 kwenye uwanja wao mpya wa San Mames

 

10 years ago

Mwananchi

KATIBA: Mtifuano wahamia uraiani

>Baada ya Bunge la Katiba juzi kufanikiwa kupata theluthi mbili ya wajumbe wa pande zote mbili za Muungano na kupitisha Katiba inayopendekezwa, sasa msuguano kuhusu Katiba unaonekana kuhamia uraiani.

 

9 years ago

Habarileo

Mtifuano Ukawa wakolea majimboni

SIKU chache baada ya uongozi wa NLD mkoani Mtwara kudai hautambui mpango wa kuachiana majimbo unaohubiriwa na viongozi wakuu wa umoja wa vyama vinne vya upinzani, hali si shwari katika Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki, baada ya Chadema na CUF, kila kimoja kusimamisha mgombea wake jimboni humo.

 

10 years ago

Mwananchi

Tambo tupu mtifuano Yanga, Prisons

Kocha wa Yanga, Hans Pluijm amesema wapo Mbeya siyo kutalii, bali kuondoka na pointi sita wakianzia kesho dhidi ya Tanzania Prisons na kumaliza kazi Jumapili kwa Mbeya City.

 

10 years ago

Mwananchi

Mtifuano mkubwa majimbo ya Kigoma Kaskazini, Kusini, Muhambwe na Buyungu

KIGOMA KASKAZINI Tuliangalie jimbo hili tangu mwanzo wa mfumo wa vyama vingi. Mwaka 1995 wananchi wa Kigoma Kaskazini waliamini watachagua upinzani, hasa NCCR –Mageuzi. Kwa bahati mbaya matokeo yalipotangazwa, mgombea wa CCM alishinda kwa kura kidogo, huku kura zake zikizidiwa mbali na mchanganyiko wa kura za mgombea wa NCCR-Mageuzi na vyama vingine vya upinzani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani