AIKU 64 ZA MTIFUANO
Baadhi ya wananchi wa Jimbo la Mtama Mkoani Lindi wakimsikiliza aliyekuwa akiwania kuteuliwa na CCM kuwa mgombea wa Ubunge wa Jimbo hilo, Suleiman Mathew aliyeshindwa katika mchakato wa kura za maoni. Picha na Haika Kimaro.
By Nuzulack Dausen, Mwananchi
Dar es Salaam. Zikiwa zimesalia siku tisa kuanza kwa kampeni za Uchaguzi Mkuu mwaka huu, kuna dalili za wazi kuwa vyama vilivyosimamisha wagombea urais vinakabiliwa na kazi ngumu ya kuwafikia wananchi kutokana na muda mfupi uliopangwa na Tume...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Siku 64 za mtifuano
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Real, Barca, Atletico mtifuano
10 years ago
Mwananchi04 Oct
KATIBA: Mtifuano wahamia uraiani
9 years ago
Habarileo17 Aug
Mtifuano Ukawa wakolea majimboni
SIKU chache baada ya uongozi wa NLD mkoani Mtwara kudai hautambui mpango wa kuachiana majimbo unaohubiriwa na viongozi wakuu wa umoja wa vyama vinne vya upinzani, hali si shwari katika Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki, baada ya Chadema na CUF, kila kimoja kusimamisha mgombea wake jimboni humo.
10 years ago
Mwananchi18 Feb
Tambo tupu mtifuano Yanga, Prisons
10 years ago
Mwananchi18 Feb
Mtifuano mkubwa majimbo ya Kigoma Kaskazini, Kusini, Muhambwe na Buyungu