KATIBA: Mtifuano wahamia uraiani
>Baada ya Bunge la Katiba juzi kufanikiwa kupata theluthi mbili ya wajumbe wa pande zote mbili za Muungano na kupitisha Katiba inayopendekezwa, sasa msuguano kuhusu Katiba unaonekana kuhamia uraiani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima13 Sep
UKAWA ‘wahamia’ Bunge la Katiba
KATIKA hali inayoonekana kama kutaabishwa na wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, jana alichepuka kwa takribani dakika sita...
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Mwema ajisalimisha uraiani
ALIYEKUWA Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP), Said Mwema, amewataka Watanzania wampokee vizuri anapoingia uraiani baada ya kumaliza muda wake wa utumishi. Utawala wa Mwema ulitiwa doa na matukio...
10 years ago
Mwananchi11 Dec
Wafungwa wanaosamehewa wanarudije uraiani?
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Siku 64 za mtifuano
10 years ago
Vijimambo13 Aug
AIKU 64 ZA MTIFUANO
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2830342/highRes/1089027/-/maxw/600/-/12lrwq5z/-/pic+mtifuano.jpg)
By Nuzulack Dausen, Mwananchi
Dar es Salaam. Zikiwa zimesalia siku tisa kuanza kwa kampeni za Uchaguzi Mkuu mwaka huu, kuna dalili za wazi kuwa vyama vilivyosimamisha wagombea urais vinakabiliwa na kazi ngumu ya kuwafikia wananchi kutokana na muda mfupi uliopangwa na Tume...
9 years ago
Mwananchi04 Dec
Golota kuona Kombe la Dunia 2018 uraiani
10 years ago
Habarileo22 Dec
Kikwete aongeza kasi kuondoa askari uraiani
RAIS Jakaya Kikwete ameahidi kuongeza idadi ya nyumba mpya zinazojengwa kwa ajili ya wanajeshi nchini kutoka 10,000 za sasa hadi 20,000 kabla ya kuondoka madarakani mwaka ujao.
9 years ago
Habarileo17 Aug
Mtifuano Ukawa wakolea majimboni
SIKU chache baada ya uongozi wa NLD mkoani Mtwara kudai hautambui mpango wa kuachiana majimbo unaohubiriwa na viongozi wakuu wa umoja wa vyama vinne vya upinzani, hali si shwari katika Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki, baada ya Chadema na CUF, kila kimoja kusimamisha mgombea wake jimboni humo.
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Real, Barca, Atletico mtifuano