Siku 64 za mtifuano
Zikiwa zimesalia siku tisa kuanza kwa kampeni za Uchaguzi Mkuu mwaka huu, kuna dalili za wazi kuwa vyama vilivyosimamisha wagombea urais vinakabiliwa na kazi ngumu ya kuwafikia wananchi kutokana na muda mfupi uliopangwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo13 Aug
AIKU 64 ZA MTIFUANO
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2830342/highRes/1089027/-/maxw/600/-/12lrwq5z/-/pic+mtifuano.jpg)
By Nuzulack Dausen, Mwananchi
Dar es Salaam. Zikiwa zimesalia siku tisa kuanza kwa kampeni za Uchaguzi Mkuu mwaka huu, kuna dalili za wazi kuwa vyama vilivyosimamisha wagombea urais vinakabiliwa na kazi ngumu ya kuwafikia wananchi kutokana na muda mfupi uliopangwa na Tume...
10 years ago
Mwananchi04 Oct
KATIBA: Mtifuano wahamia uraiani
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Real, Barca, Atletico mtifuano
9 years ago
Habarileo17 Aug
Mtifuano Ukawa wakolea majimboni
SIKU chache baada ya uongozi wa NLD mkoani Mtwara kudai hautambui mpango wa kuachiana majimbo unaohubiriwa na viongozi wakuu wa umoja wa vyama vinne vya upinzani, hali si shwari katika Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki, baada ya Chadema na CUF, kila kimoja kusimamisha mgombea wake jimboni humo.
10 years ago
Mwananchi18 Feb
Tambo tupu mtifuano Yanga, Prisons
10 years ago
Mwananchi18 Feb
Mtifuano mkubwa majimbo ya Kigoma Kaskazini, Kusini, Muhambwe na Buyungu