Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafungwa wanaosamehewa wanarudije uraiani?

Katika moja ya matukio ya makubwa wakati wa sherehe za kuadhimisha miaka 53 ya Uhuru wa Tanganyika juzi, Rais Jakaya Kikwete alitoa msamaha kwa wafungwa 887 na kuwapunguzia vifungo wafungwa 4,082 ambao watabaki gerezani wakitumikia muda uliosalia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mwema ajisalimisha uraiani

ALIYEKUWA Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP), Said Mwema, amewataka Watanzania wampokee vizuri anapoingia uraiani baada ya kumaliza muda wake wa utumishi. Utawala wa Mwema ulitiwa doa na matukio...

 

10 years ago

Mwananchi

KATIBA: Mtifuano wahamia uraiani

>Baada ya Bunge la Katiba juzi kufanikiwa kupata theluthi mbili ya wajumbe wa pande zote mbili za Muungano na kupitisha Katiba inayopendekezwa, sasa msuguano kuhusu Katiba unaonekana kuhamia uraiani.

 

9 years ago

Mwananchi

Golota kuona Kombe la Dunia 2018 uraiani

Mshambuliaji wa zamani wa Simba anayetumikia kifungo cha miaka saba na nusu jela nchini Ethiopia, Joseph Kaniki ‘Golota’, huenda akazitazama fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Russia akiwa uraiani.

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete aongeza kasi kuondoa askari uraiani

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akizungumza na mwanafunzi bora katika kozi ya maofisa wa Jeshi, Luteni Usu Engelbert Kessy muda mfupi baada ya Rais kutunuku kamisheni kwa maofisa wapya 171 wa Jeshi katika Chuo cha Jeshi Monduli, Arusha juzi. (Picha na Freddy Maro).RAIS Jakaya Kikwete ameahidi kuongeza idadi ya nyumba mpya zinazojengwa kwa ajili ya wanajeshi nchini kutoka 10,000 za sasa hadi 20,000 kabla ya kuondoka madarakani mwaka ujao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani