Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete aongeza kasi kuondoa askari uraiani

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akizungumza na mwanafunzi bora katika kozi ya maofisa wa Jeshi, Luteni Usu Engelbert Kessy muda mfupi baada ya Rais kutunuku kamisheni kwa maofisa wapya 171 wa Jeshi katika Chuo cha Jeshi Monduli, Arusha juzi. (Picha na Freddy Maro).RAIS Jakaya Kikwete ameahidi kuongeza idadi ya nyumba mpya zinazojengwa kwa ajili ya wanajeshi nchini kutoka 10,000 za sasa hadi 20,000 kabla ya kuondoka madarakani mwaka ujao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

IGP MANGU AONGEZA ASKARI KITETO

E88A9486
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini,IGP Ernest Mangu akimsikiliza Diwani wa Kata ya Matui Wilayani Kiteto Bw.Athuman Kidawa wakati alipofanya ziara wilayani humo kufuatia kuwepo kwa migogoro ya ardhi baina ya wakulima na wafugaji iliyosababisha kutokea mapigano yaliyosababisha kutokea kwa  vifo.kushoto ni Afisa tarafa wa Matui Bw.Eliakimu Ndelekwa.(Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi)E88A9514Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini,IGP Ernest Mangu akizungumza na wananchi  wa Kata ya Matui Wilayani...

 

10 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete aongeza muda ujenzi wa maabara

Rais Jakaya Kikwete ameongeza miezi sita ya kukamilisha ujenzi wa maabara katika shule za sekondari nchini, baada ya muda wa miaka miwili alioutoa awali kumalizika Novemba 30, mwaka huu.

 

10 years ago

Dewji Blog

JK ataka msaada ESRF kuondoa umaskini kwenye uchumi unaokua kwa kasi kubwa

DSC_0039

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dk. Hoseana Lunogelo akisalimiana na Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP)  nchini , Alvaro Rodriguez nje ya ukumbi wa mikutano kabla ya mgeni rasmi kuwasili kwenye mkutano mkubwa wa tatu wa ESRF unaozungumzia ukuaji wa uchumi kwa kutumia fursa zilizopo na maendeleo yanayogusa jamii uliofanyika jana jijini Dar katika hoteli ya Hyatt Regency,...

 

10 years ago

GPL

JK ATAKA MSAADA ESRF KUONDOA UMASKINI KWENYE UCHUMI UNAOKUA KWA KASI KUBWA‏

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dk. Hoseana Lunogelo akisalimiana na Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini , Alvaro Rodriguez nje ya ukumbi wa mikutano kabla ya mgeni rasmi kuwasili kwenye mkutano mkubwa wa tatu wa ESRF unaozungumzia ukuaji wa uchumi kwa kutumia fursa zilizopo na maendeleo yanayogusa jamii...

 

10 years ago

Michuzi

KAMISHNA KOVA AWATAKA ASKARI WALIOMALIZA MAFUNZO YA UONGOZI MDOGO WA JESHI LA POLISI KUTUMIA UJUZI NA MAARIFA WALIYOYAPATA KUONDOA KERO NA KUDUMISHA AMANI KATIKA MITAA YOTE YA JIJI LA DAR

 Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Kipolisi ya Dar es Salaam,Kamishna Suleiman Kova akifurahi jambo wakati akizungumza na Askari Polisi waliomaliza Mafunzo ya uongozi mdogo wa Jeshi la Polisi katika vyuo vya Polisi vya Moshi na Zanzibar,wakati alipowapokea leo Desemba 4,2014 katika Kituo cha Kati cha Polisi,Jijini Dar es Salaam.Sehemu ya Askari Polisi waliomaliza Mafunzo ya uongozi mdogo wa Jeshi la Polisi katika vyuo vya Polisi vya Moshi na Zanzibar wakimsikiliza Kamanda wa Polisi Kanda...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwema ajisalimisha uraiani

ALIYEKUWA Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP), Said Mwema, amewataka Watanzania wampokee vizuri anapoingia uraiani baada ya kumaliza muda wake wa utumishi. Utawala wa Mwema ulitiwa doa na matukio...

 

10 years ago

Mwananchi

KATIBA: Mtifuano wahamia uraiani

>Baada ya Bunge la Katiba juzi kufanikiwa kupata theluthi mbili ya wajumbe wa pande zote mbili za Muungano na kupitisha Katiba inayopendekezwa, sasa msuguano kuhusu Katiba unaonekana kuhamia uraiani.

 

10 years ago

Mwananchi

Wafungwa wanaosamehewa wanarudije uraiani?

Katika moja ya matukio ya makubwa wakati wa sherehe za kuadhimisha miaka 53 ya Uhuru wa Tanganyika juzi, Rais Jakaya Kikwete alitoa msamaha kwa wafungwa 887 na kuwapunguzia vifungo wafungwa 4,082 ambao watabaki gerezani wakitumikia muda uliosalia.

 

9 years ago

Mwananchi

Kikwete akabidhi ofisi, avutiwa na kasi ya Magufuli

Rais mstaafu Jakaya Kikwete amemwagia sifa Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli kuwa utendaji wake wa kazi wa kushtukiza akisema; “umewapa msisimko wananchi” na kumtaka kuendelea nao ili kutatua matatizo yanayoikabili nchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani