AIRTEL, GSMA WAANDAA SEMINA KUHAMASHISHA MATUMIZI YA NISHATI DAR
![](http://api.ning.com:80/files/OcxvxG4wHxZueZU1IrXseSysrlpbIZZGX0iswoobxtGUkQ6-eijN7-pFA*m1QCLr6kO0SPVVXLrh7NqLH4HIxhb8TtfC5kCi/1.jpg?width=650)
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof. Makame Mnyaa Mbarawa (wa pili kushoto), akimpongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso, baada ya kuzindua warsha ya siku mbili ya Nishati ya mbadala kwa wadau wa Mawasiliano ya simu ya GSMA, inayofanyika jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni Meneja wa Programu wa GSMA Mobile, Ferdous Mottakin na Afisa Mtendaji Mkuu wa Airtel Africa Towers Services Ltd,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog13 Aug
Airtel na GSMA waandaa semina kuhamashisha matumizi ya Nishati mbadala rafiki wa mazingira Dar — Green Power Energy
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof. Makame Mnyaa Mbarawa (wa pili kushoto), akimpongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso, baada ya kuzindua warsha ya siku mbili ya Nishati ya mbadala kwa wadau wa Mawasiliano ya simu ya GSMA, inayofanyika jijini Dar es Salaam. Kulia ni Meneja wa Programu wa GSMA Mobile, Ferdous Mottakin na Afisa Mtendaji Mkuu wa Airtel Africa Towers Services Ltd, Prakash Ranjalkar.
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof....
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xcJOlJ9xc1w/U-thBamh1_I/AAAAAAAF_NQ/6pdKBegIBB0/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
Airtel na GSMA waandaa semina kuhamashisha matumizi ya Nishati mbadala rafiki wa mazingira Dar es Salaam - Green Power Energy
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-G25Ul8cs488/U89axozq-pI/AAAAAAAF5BU/QRkUZb08clA/s72-c/unnamed+(5).jpg)
Nishati na Madini kuanzisha Mpango wa Taifa wa Matumizi Bora ya Nishati
![](http://3.bp.blogspot.com/-G25Ul8cs488/U89axozq-pI/AAAAAAAF5BU/QRkUZb08clA/s1600/unnamed+(5).jpg)
11 years ago
Michuzi04 Mar
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
EADB, DLA Piper waandaa semina ya mikataba
BENKI ya Maendeleo ya Afrika ya Mashariki (EADB), kwa kushirikiana na taasisi ya kisheria ya DLA Piper imeandaa semina kuhusu elimu juu ya mikataba ya miradi ya fedha, Septemba 9...
10 years ago
MichuziWAMA WAKISHIRIKIANA NA ENGENDER HEALTH WAANDAA SEMINA YA KUZUIA MIMBA ZA UTOTONI KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI ZA WILAYA YA TEMEKE.
11 years ago
GPLAIRTEL YAENDESHA SEMINA ELEKEZI KWA VIONGOZI WA SOKA KWA AJILI YA KUJIANDAA NA MICHUANO YA AIRTEL RISING STARS 2014
10 years ago
StarTV01 Apr
Matumizi Nishati ya Umeme, idadi ya watumiaji bado yasuasua.
Na Magreth Tengule,
Rombo.
Tanzania imesalia kuwa miongoni mwa nchi chache barani Afrika ambazo zina idadi ndogo ya watumiaji wa nishati ya umeme.
Kwa mujibu wa takwimu za Serikali za mara kwa mara ni asilimia 17 pekee ya wananchi wote wanaofikiwa na huduma hiyo.
Katika kuhakikisha huduma ya umeme inazidi kuwafikia watu wengi hasa wale wanaoishi maeneo ya pembezoni, Chama cha Mapinduzi CCM kimesema kitazidi kuibana Serikali ielekeze nguvu kwenye utekelezaji wa mradi wa umeme vijijini...
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFUNGUA RASMI SEMINA YA WACHIMBAJI WADOGO KIBARA, MKOANI MARA