Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EADB, DLA Piper waandaa semina ya mikataba

BENKI ya Maendeleo ya Afrika ya Mashariki (EADB), kwa kushirikiana na taasisi ya kisheria ya DLA Piper imeandaa semina kuhusu elimu juu ya mikataba ya miradi ya fedha, Septemba 9...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

The Lawyer

DLA Piper runs fifth training school for next generation of Tanzanian lawyers


DLA Piper runs fifth training school for next generation of Tanzanian lawyers
The Lawyer
DLA Piper, in conjunction with its client General Electric (GE) and IMMMA Advocates, has begun a teaching course at the Law School of Tanzania for the fifth consecutive year. The project was developed in close collaboration with Dr Gerald Ndika, the ...

 

10 years ago

GPL

AIRTEL, GSMA WAANDAA SEMINA KUHAMASHISHA MATUMIZI YA NISHATI DAR

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof. Makame Mnyaa Mbarawa  (wa pili kushoto), akimpongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso, baada ya kuzindua warsha ya siku mbili ya Nishati ya mbadala kwa wadau wa Mawasiliano ya simu ya GSMA, inayofanyika jijini Dar es Salaam leo.  Kulia ni Meneja wa Programu wa GSMA Mobile, Ferdous Mottakin na Afisa Mtendaji Mkuu wa Airtel Africa Towers Services Ltd,...

 

10 years ago

Michuzi

WAMA WAKISHIRIKIANA NA ENGENDER HEALTH WAANDAA SEMINA YA KUZUIA MIMBA ZA UTOTONI KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI ZA WILAYA YA TEMEKE.

  Meneja Uragibishi na Mawasiliano wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Ndugu Philomena Marijani (aliyesimama)akitoa maelezo mafupi kuhusu semina ya siku 5 kwa wanafunzi wa Shule za Sekondari katika Wilaya ya Temeke itayozungumzia uzuiaji wa mimba za utotoni kwa wanafunzi wa wilaya hiyo. Semina hiyo inafanyika katika Shule ya Sekondari Kibasila kuanzia tarehe 13 hadi 17.4.2015.   Baadhi ya wanafunzi na walimu kutoka Shule 11 za Sekondari katika Wilaya ya Temeke wakisikiliza hotuba ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Airtel na GSMA waandaa semina kuhamashisha matumizi ya Nishati mbadala rafiki wa mazingira Dar — Green Power Energy

SONY DSC

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof. Makame Mnyaa Mbarawa  (wa pili kushoto), akimpongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso, baada ya kuzindua warsha ya siku mbili ya Nishati ya mbadala kwa wadau wa Mawasiliano ya simu ya GSMA, inayofanyika jijini Dar es Salaam.  Kulia ni Meneja wa Programu wa GSMA Mobile, Ferdous Mottakin na Afisa Mtendaji Mkuu wa Airtel Africa Towers Services Ltd, Prakash Ranjalkar.

SONY DSC

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof....

 

10 years ago

Michuzi

Airtel na GSMA waandaa semina kuhamashisha matumizi ya Nishati mbadala rafiki wa mazingira Dar es Salaam - Green Power Energy

Bharti Airtel, kampuni ya mawasiliano ya kimataifa yenye shughuli katika nchi 20 mbalimbali Asia na Afrika, leo imeshiriki kuandaa semina ya GSMA inayofanyika Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo tarehe 12 na 13 Agosti 2014 katika hoteli ya Serena.  Semina hiyo ya kimataifa ya GSMA inalenga zaidi kutazama maendelea ya sekta ya Mawasiliano kwa kuangalia Zaidi mipango, mafanikio na fursa ya baadaye ya mawasiliano ya nishati mbadala rafiki kwa mazingirana yaani –green telecoms, pia itaendesha...

 

10 years ago

TheCitizen

Rescued by a cat that played role of ‘Pied Piper’ of Uswaz

You love stories. Don’t you? That is why I am hammering the keyboard to write one for you. As a nursery kid, before Miss Magari threw me out of class for peeping under her skirt, she told us one story about the Pied Piper of Hamelin that is significant in this rat and cockroach-infested Uswaz. The story was about a man who was hired to lure away rats with his sweet piped music to their demise.

 

9 years ago

GPL

JUMUIYA YA AHMADIYYA WAANDAA MKUTANO

Kutoka kushoto ni Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Waislam, Seif Hassan, Tahir Mahmood na Katibu Msaidizi, Abdulrahman Ame anayezungumza. Wakisikiliza maswali kutoka kwa wana habari (hawapo pichani).…

 

11 years ago

Mwananchi

Wapagazi K’njaro waandaa mgomo

Chama cha Wapagazi Kilimanjaro (Kiato), kimelishutumu Shirika la Tanzania Porters Organization(TPO), kwa hatua yake ya kutangaza mgomo nchi nzima, kikisema mgomo huo utavuruga sekta ya utalii.

 

5 years ago

Mwananchi

ACT waandaa mkutano wa ujenzi wa taifa

Chama cha ACT-Wazalendo kimeandaa mkutano utakaohusu ujenzi wa taifa huru la kidemokrasia na maendeleo endelevu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani