Ajali 10 mbaya zaidi za ndege Tanzania
Wakati Serikali ya Malaysia imenawa mikono kuwa imeshindwa kuipata ndege yake iliyopotea ikiwa na abiria 239 na wafanyakazi 12, ripoti ya ajali za ndege hapa nchini inabainisha kuwa tangu mwaka 1920 hadi 2013 zimewahi kutokea ajali 52 zilizosababisha vifo vya watu 196.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBreaking nyuzzz....: Ajali mbaya yatokea jijimi Arusha leo,yapoteza maisha ya watu zaidi ya 9
11 years ago
BBCSwahili24 Jul
Ajali nyingine ya Ndege yaua zaidi ya 40
Ndege ya TransAsia ya Taiwan imedondokawakati ikitua na kuua zaidi ya 40.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--1AN2it1bgk/VA19GaKKhpI/AAAAAAAGhrQ/Qw2WoStN_rw/s72-c/IMG-20140908-WA0003.jpg)
Breaking Nyuzzzzzzz....: ajali nyingine mbaya yatokea Gairo mchana huu,zaidi ya watu 8 wanasadikiwa kupoteza maisha
![](http://2.bp.blogspot.com/--1AN2it1bgk/VA19GaKKhpI/AAAAAAAGhrQ/Qw2WoStN_rw/s1600/IMG-20140908-WA0003.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Kf8jvkiJLLI/VQAPiAQ-RzI/AAAAAAAHJhc/E29CU9kdMvo/s72-c/IMG-20150311-WA0005.jpg)
NEWS ALERT: WATU ZAIDI YA 30 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA MAFINGA, IRINGA, LEO BAADA YA BASI LA ABIRIA KUANGUKIWA NA KONTENA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Kf8jvkiJLLI/VQAPiAQ-RzI/AAAAAAAHJhc/E29CU9kdMvo/s1600/IMG-20150311-WA0005.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YrffIUaPznU/VQAV5NhjcvI/AAAAAAAHJhs/Z2y_CB55Yq4/s1600/IMG-20150311-WA0002.jpg)
10 years ago
Vijimambo05 Mar
NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6vSA_IzIFu4/VAwaLS9o9xI/AAAAAAAGgyg/EsQWrUtV_LE/s72-c/unnamed.jpg)
SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA RAIS JAKAYA M.KIKWETE NA WAZIRI WA UCHUKUZI MHE MWAKYEMBE NA MKUU WA MKOA WA MARA KWA AJALI MBAYA YA BASI ILIYOPOTEZA MAISHA YA WATANZANIA ZAIDI YA 40
![](http://2.bp.blogspot.com/-6vSA_IzIFu4/VAwaLS9o9xI/AAAAAAAGgyg/EsQWrUtV_LE/s1600/unnamed.jpg)
Chama cha Ujenzi wa Taifa cha NRA ,(National Reconstruction Alliance); kinatoa salamu za pole/rambirambi kwa Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mhe Jakaya Kikwete, Waziri za Uchukuzi, Mkuu wa mkoa wa Mara na Wafiwa kwa ajali mbaya ya Basi iliyopelekea kupotea kwa maisha ya watanzania zaidi ya 40, akiongea kwa njia ya simu akiwa katika ziara ya kikazi mkoani kigoma Naibu KATIBU MKUU NA KATIBU MKUU wa BODI ya chama Mhe Hassan Kisabya (pichani) , ametoa salamu hizo kwa niaba ya Chama...
9 years ago
BBCSwahili17 Oct
Mbunge afariki katika ajali ya ndege Tanzania
Mbunge wa eneo la Ludewa Deo Filikunjombe, aliyekuwa anamaliza muda wake, amefariki kwenye ajali ya ndege.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uC4z4pZTWwI/VMbFo02gjZI/AAAAAAADWd0/vBf08z2KUrs/s72-c/2518910C00000578-2926322-image-a-143_1422306856341.png)
HAKUNA SHULE, KAZI WALA NDEGE KURUKA NEW YORK ZAIDI YA NDEGE 6,000 CANCELS HADI JUMATANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-uC4z4pZTWwI/VMbFo02gjZI/AAAAAAADWd0/vBf08z2KUrs/s1600/2518910C00000578-2926322-image-a-143_1422306856341.png)
inayoendelea kushuka kama imeagizwa vile yasababisha shule kufungwa hadi jumatano kazi na usafiri wa chini na anga stop kwa siku mbili.
![](http://3.bp.blogspot.com/-hNc69jlM8wk/VMbF8ziOywI/AAAAAAADWd8/kvLyN-IXUjY/s1600/2518459500000578-2926322-image-a-104_1422302014268.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vDJH5i5rf3M/VMbGGPOVszI/AAAAAAADWeE/BwYpmR8MN00/s1600/251843A300000578-2926322-image-a-98_1422301949369.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VFf0rQEGZeM/VMbGTLudDiI/AAAAAAADWeM/KiLoC6p-yaQ/s1600/25188AEA00000578-2926322-image-a-136_1422305873624.png)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04aslISWLmN-XlCNjfduMKk8PSWh91yUiDG5p4YhucigtM54m4JRDHMh9yKHTq6L-TiXXKUj6h2IPJsmdLaPLeXmU/lungi.jpg?width=650)
LUNGI APATA AJALI MBAYA
MASKINI! Msanii wa filamu Bongo, Lungi Maulanga amenusurika kifo baada ya kupata ajali mbaya ya gari na kupata majeraha mbalimbali mwilini. Msanii wa filamu Bongo, Lungi Maulanga. Lungi alipata ajali hiyo maeneo ya Tegeta, jijini Dar akiwa kwenye gari lake ambapo aligongwa na lori lililokuwa limebeba mchanga na kusababisha aumie zaidi usoni na mguuni na kushonwa nyuzi tisa. “Namshukuru Mungu nimeponea chupuchupu kwani...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania