Ajaribu kujizika kukwepa matatizo ya ndoa Kenya
Mwanamume mmoja nchini Kenya aliwaacha wakazi vinywa wazi baada ya kujichimbia kaburi na hata kujaribu kujizika mwenyewe kutokana na alichosema ni matatizo ya ndoa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-i0EVkPPA-hI/VJXDzdXZcnI/AAAAAAAA3AE/CzGVN7QjUfg/s72-c/whatever-works.jpg)
MATATIZO YA NDOA NA UMRI
![](http://4.bp.blogspot.com/-i0EVkPPA-hI/VJXDzdXZcnI/AAAAAAAA3AE/CzGVN7QjUfg/s1600/whatever-works.jpg)
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-i0EVkPPA-hI/VJXDzdXZcnI/AAAAAAAA3AE/CzGVN7QjUfg/s1600/whatever-works.jpg?width=640)
MATATIZO YA NDOA NA UMRI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vYFBfoh8eSrJLElpAtfZWtbW5brcDn2jBhRx0h6UDWnBP5ws4Zga3Uds7wqDCASkw2tNyQZmC553mt-IKdz*6uPv2pM6La9q/painsex1.jpg?width=650)
MATATIZO KATIKA TENDO LA NDOA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vOTW6a5PmQQgEJ61rRv2ng-gX5MOSg5Gnc8OrMHadSX--TPcQzfbVihZnObP*L9s19naJDvYUHKd*pcU6Q4vO16KmkC5PX53/bcouplesmile.jpg)
NDOA SIYO MWISHO WA MATATIZO, MCHUNGUZE KWANZA
10 years ago
Dewji Blog21 Dec
MAKALA kutoka kwa Maganga One: Matatizo ya ndoa na Umri
MWANAUME MKUBWA ANAYEOA MSICHANA MDOGO
Imekuwa ni kawaida katika jamii za kiafrika wanaume wenye umri mkubwa sana kuoa wasichana wenye umri mdogo ambao wanaweza hata kuwazaa.Katika hili imekuwa ni kama fashion kwa wasichana kiasi wamekosa hata zile haya walizokuwa nazo wazazi wetu enzi za zamani.
Wasichana wengi wametokea kujidumbukiza kuolewa na mababa wakubwa sana hari si kuwa wanapenda kuolewa na wazee waliowazidi umri kwa kiasi kikubwa.Wachache kati yao wanapenda kuolewa na watu wazima...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3LuVWa-Fd0A8xhSs188F1iSWIRkdOt03g5XCCykBwIXwndMOEwYypz9HDUjxos54z*duMZ0QL2q7KSgJNSH2RU3I/mahaba.jpg)
NDOA SIYO RAHA PEKEE, JIPANGE KWA MATATIZO PIA! - 3
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBBGQ7lDItFcuepw*xyiHS638JVTUlS4oi5zwE*zK5BG1kJC7Jbb4fgXKSVY5T1OZlzoAUT9Qct0XyG57fm9hw4H/mahaba.jpg)
NDOA SIYO RAHA PEKEE, JIPANGE KWA MATATIZO PIA! - 2
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yKvrXx6dvuSlqgMyd*ZM2pyxpPgDOGY5GDZmAoYt***5udlTzbLeZQ*UEHBykX8lDbEfkHRAkmKhUzwPPd5wPd6/mahaba.jpg)
NDOA SIYO RAHA PEKEE, JIPANGE KWA MATATIZO PIA!
10 years ago
Bongo Movies28 Apr
Majibu ya Mwigizaji Rose Ndauka Baada ya Kuhusishwa na Matatizo ya Ndoa ya Shetta
Baada ya kuenea kwa taarifa kuwa ndoa ya msanii wa bongo fleva, Shetta imevunjika baada ya taarifa kumfikia mke wake kuwa msanii huyo anamahusiano na staa mrembo wa Bongo Movies, Rose Ndauka.
Akijibu shutuma hizo, Rose Ndauka alijibu haya alipoulizwa na Soudy Brown wa Clouds FM kwenye kipindi cha XXL.
“Kwanza kitu ambacho ningependa kumuambia asipende kusikiliza watu.. la pili kitu chochote ambacho kinahusiana na mahusiano sio vizuri kupeleka kwenye public… hata ingekuwa ni ukweli...