Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ajifungua pacha wa kike walioungana kifua, tumbo

Musoma. Mwanamke mmoja mkazi wa Kata ya Buhare, Manispaa ya Musoma mkoani Mara, Helena Paulo (20), amejifungua watoto pacha wa kike walioungana eneo la kifuani hadi tumboni wakiwa na uzito wa kilo 4.6 kwa pamoja.

Tukio hilo la ajabu katika Mji wa Musoma na mkoa kwa jumla, liliwavutia hisia za wananchi hali iliyosababisha msongamano katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa kwa madhumuni ya kutaka kushuhudia.

Akizungumza katika wodi ya wazazi hospitalini hapo, muuguzi wa zamu, Naabu Geraruma alisema...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Pacha walioungana kwenda kidato 5

Mapacha wa IringaPACHA walioungana kiwiliwili, Consolata na Maria Mwakikuti (18) wa Kijiji cha Ikonda wilayani Makete mkoani Njombe wamefaulu mtihani wao wa kuhitimu kidato cha nne kwa alama sawa isipokuwa masomo mawili.

 

10 years ago

Dewji Blog

Madaktari washirikiana kuokoa maisha ya Pacha walioungana

Mwanza conjoined twins

Timu ya madaktari wa watoto katika hospitali ya rufaa ya Bugando wameungana ili kuokoa maisha ya  mapacha walioungana. Mapacha hao wamezaliwa na Elena Paulo, mwenye umri wa miaka 20, Januari 3, mwaka huu katika hospitali ya  hospitali ya mkoa ya Mara  na baadaye kuhamishiwa katika hospital ya rufaa ya Bugando mkoani  Mwanza kwa ajili ya matibabu zaidi.

Watoto hao walikuwa na uzito wa kilo 4.6 kwa pamoja wakati walipozaliwa na walikuwa wameungana vifua na matumbo.

Kwa mujibu wa Dk Festo...

 

10 years ago

Habarileo

Mabinti pacha walioungana kuhitimu kidato cha nne

Pacha walioungana, Consolata (anayeandika) na Maria wakiwa darasani. Hivi sasa wako kidato cha nne katika shule ya Sekondari Maria Consolata wilayani Kilolo mkoani Iringa. (Picha na Ikunda Erick).HATUA ya kwanza ya ndoto ya kuzama katika elimu ya mabinti pacha walioungana kiwiliwili, Consolata na Maria Mwakikuti (18) wa Kijiji cha Ikonda wilayani Makete mkoa mpya wa Njombe, inatarajiwa kutimia Novemba mwaka huu, wakati mabinti hao watakapofanya mtihani wa kuhitimu kidato cha nne.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mkurugenzi wa Yahoo ajifungua pacha

Mkurugeni Mkuu wa kampuni kubwa ya teknolojia ya Yahoo Marissa Mayer ametangaza kwamba amejifungua watoto pacha wa kike wanaofanana.

 

11 years ago

Mwananchi

Mama ajifungua pacha wanne Mbeya

Mwanamke Aida Nakawana (25) wa Kijiji cha Chiwanda wilayani Mbozi, Mbeya amejifungua watoto wanne wa kiume kwa njia ya kawaida katika Hospitali ya Wilaya ya Mbozi.

 

10 years ago

Vijimambo

Zari ajifungua mtoto wa kike

MTOTO WA ZARI
Mama mzazi wa Diamond, Sanura Kassim ‘Sandra’ akiwa amembeba mjukuu weke. Kulia ni Zari
MPENZI wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ Zarinah Hassan ‘Zari’ amejifungua mtoto wa kike leo alfajiri saa 10: 40 jijini Dar es Salaam. Mtandao huu umeongea na Meneja wa kimataifa wa Diamond Platinumz, Salam Sharaf ambaye amethibitisha taarifa hizo na kusema Zari bado yupo hospitali mpaka sasa.


Kutokana na usumbufu aliodai unaweza kutokea, Salam hakuweka wazi hospitali...

 

11 years ago

GPL

LIL KIM AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE

Mwanamuziki Lil Kim. MWANAMUZIKI Lil Kim amejifungua mtoto wake wa kwanza ambaye ni wa kike na kumuita jina Royal Reign. Mwanadada huyo mwenye umri wa miaka 39 alijifungua mtoto huyo katika Kituo cha Afya kilichopo Chuo Kikuu cha Hackensack, New Jersey. Kim hajaweka wazi kuhusu baba wa mtoto huyo, japo inadaiwa ni rappa wa New York aitwaye Mr. Papers. ...

 

10 years ago

GPL

EXCLUSIVE: ZARI AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mpenzi wake Zarinah Hassan ‘Zari’. MPENZI wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ Zarinah Hassan ‘Zari’ amejifungua mtoto wa kike leo alfajiri saa 10: 40 jijini Dar es Salaam. Mtandao huu umeongea na Meneja wa kimataifa wa Diamond Platinumz, Salam Sharaf ambaye amethibitisha taarifa hizo na kusema...

 

10 years ago

GPL

AUNT EZEKIEL AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE

Staa wa filamu nchini, Aunt Ezekiel. Imelda Mtema, Dar es Salaam
STAA wa filamu nchini, Aunt Ezekiel amebahatika kupata mtoto wa kike kwa kujifungua salama, jana mchana katika hospitali binafsi iliyopo Mbezi jijini Dar, baada ya kufanyiwa upasuaji. Akizungumza huku akiwa mwenye furaha, Aunt alisema kuwa anamshukuru Mungu kwa kila jambo kwa kuwa yeye ndiye muweza na aliyefanikisha safari yake hiyo salama, hivyo anamshukuru...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani