Mabinti pacha walioungana kuhitimu kidato cha nne
HATUA ya kwanza ya ndoto ya kuzama katika elimu ya mabinti pacha walioungana kiwiliwili, Consolata na Maria Mwakikuti (18) wa Kijiji cha Ikonda wilayani Makete mkoa mpya wa Njombe, inatarajiwa kutimia Novemba mwaka huu, wakati mabinti hao watakapofanya mtihani wa kuhitimu kidato cha nne.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLMKURUGENZI WA GLOBAL AWAPONGEZA WANAYE KUHITIMU KIDATO CHA NNE
10 years ago
Habarileo04 Mar
Pacha walioungana kwenda kidato 5
PACHA walioungana kiwiliwili, Consolata na Maria Mwakikuti (18) wa Kijiji cha Ikonda wilayani Makete mkoani Njombe wamefaulu mtihani wao wa kuhitimu kidato cha nne kwa alama sawa isipokuwa masomo mawili.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-P3xO_MwNkrI/Xk-TwVVoiRI/AAAAAAALep4/3lTk2VZschQkoMaqnEtg08LSj8to6xmywCLcBGAsYHQ/s72-c/c492ed38-3286-49f2-81dc-81b5b1ea4ec6.jpg)
MKURUGENZI KAGURUMJULI APONGEZWA KINONDONI KUONGOZA MARA NNE MFULULIZO MATOKEO KIDATO CHA NNE NA PILI KIMKOA
![](https://1.bp.blogspot.com/-P3xO_MwNkrI/Xk-TwVVoiRI/AAAAAAALep4/3lTk2VZschQkoMaqnEtg08LSj8to6xmywCLcBGAsYHQ/s640/c492ed38-3286-49f2-81dc-81b5b1ea4ec6.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/20222c5a-07cf-45a0-9dcb-9d98d5d96a97.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/00e8a025-773f-4d6f-b42c-f91b99f889fa.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/9660b276-f012-4575-9772-386e0eb3ef4a.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/428d3d77-292e-4614-9437-0fc2f6ff39f3.jpg)
10 years ago
Michuzi10 Nov
KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA AHMED .Z. MSANGI-SACP ANAWATANGAZIA WAHITIMU WA KIDATO CHA SITA MWAKA 2014 NA KIDATO CHA NNE MWAKA 2013 WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA JESHI LA POLISI BAADA YA USAILI KUKAMILIKA
10 years ago
Vijimambo06 Jan
Ajifungua pacha wa kike walioungana kifua, tumbo
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2579918/highRes/915401/-/maxw/600/-/3y2rtb/-/pacha+px.jpg)
Tukio hilo la ajabu katika Mji wa Musoma na mkoa kwa jumla, liliwavutia hisia za wananchi hali iliyosababisha msongamano katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa kwa madhumuni ya kutaka kushuhudia.
Akizungumza katika wodi ya wazazi hospitalini hapo, muuguzi wa zamu, Naabu Geraruma alisema...
10 years ago
Dewji Blog08 Jan
Madaktari washirikiana kuokoa maisha ya Pacha walioungana
Timu ya madaktari wa watoto katika hospitali ya rufaa ya Bugando wameungana ili kuokoa maisha ya mapacha walioungana. Mapacha hao wamezaliwa na Elena Paulo, mwenye umri wa miaka 20, Januari 3, mwaka huu katika hospitali ya hospitali ya mkoa ya Mara na baadaye kuhamishiwa katika hospital ya rufaa ya Bugando mkoani Mwanza kwa ajili ya matibabu zaidi.
Watoto hao walikuwa na uzito wa kilo 4.6 kwa pamoja wakati walipozaliwa na walikuwa wameungana vifua na matumbo.
Kwa mujibu wa Dk Festo...
10 years ago
Vijimambo08 Feb
TAARIFA YA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2616940/highRes/940569/-/maxw/600/-/nbdw9az/-/MSONDE.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Maajabu matokeo kidato cha nne
MATOKEO ya kidato cha nne yaliyotangazwa hivi karibuni yameendelea kuibua mkanganyiko kutokana na kuwapo kwa utofauti wa madaraja kwa pointi zinazolingana. Mkanganyiko huo unatokana na kuwepo kwa hali ya sintofahamu...
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Sifuri zatawala kidato cha nne
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10