AKDN kuwekeza trilioni elimu, afya
>Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan (AKDN) umedhamiria kufanya uwekezaji unaofikia kiasi cha Dola za Marekani bilioni moja sawa na Shkatika kipindi cha miaka michache ijayo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Serikali yashauriwa kuwekeza elimu ya awali
11 years ago
MichuziWAZAZI WATAKIWA KUWEKEZA KATIKA ELIMU
-============ Na...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
Watanzania watakiwa kuwekeza kwenye elimu
WATANZANIA wametakiwa kuwekeza katika elimu na kushirikiana kuleta mabadiliko kwenye sekta ya elimu badala ya kuwaachia wanasiasa pekee. Rai hiyo ilitolewa mjini hapa mwishoni mwa wiki na Mkuu wa Shule...
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
Waislamu washauriwa kuwekeza kwenye elimu
WAUMINI wa Dini ya Kiislamu wametakiwa kuwekeza mali na fedha zao kwenye elimu hususan kwa watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi na yatima ili waweze kujikwamua kimasomo. Ushauri huo umetolewa na...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DLxo70HRoeM/VfrdLUqqRhI/AAAAAAAH5mc/ooHr1XVWAL0/s72-c/Graduation%2B10.jpg)
WANAFUNZI WATAKIWA KUWEKEZA KWENYE ELIMU
![](http://3.bp.blogspot.com/-DLxo70HRoeM/VfrdLUqqRhI/AAAAAAAH5mc/ooHr1XVWAL0/s640/Graduation%2B10.jpg)
Hayo yamesemwa na Mkuu wa utawala na uongozi wa chuo cha Habari maalum,Mr Ernest Karata wakati wa mahafali ya kwanza ya chuo cha Full Bright college kilichopo Ngaramtoni,wilaya ya Arumeru mkoani Arusha.
Katika mahafali hayo wanafunzi wanane...
11 years ago
Habarileo22 Jan
Paras India yaonesha nia kuwekeza afya nchini
UJUMBE wa uongozi wa juu wa Shirika la Afya la Paras la nchini India linalomiliki hospitali za ngazi ya kimataifa, umewasili jijini Dar es Salaam jana ambapo pamoja na mambo mengine umeanza mchakato kuwekeza katika sekta ya afya. Ujumbe huo ukiongozwa na Naibu Meneja wa Hospitali hizo anayehusika na Uhusiano wa Kimataifa, Anuradha Sharma, ulipokelewa na Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya Yono Auction Mart ambaye ni Mbunge wa zamani wa Njombe Magharibi, Yono Kevela.
10 years ago
Tanzania Daima15 Nov
Pinda ataka sekta binafsi kuwekeza masuala ya afya
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amewataka wataalamu wa afya kuangalia namna Sekta binafsi zinaweza kuwekeza katika masuala ya afya ili kuisaidia serikali katika kusimamia na kuendesha shughuli za utoaji huduma ambazo...
10 years ago
Habarileo05 Oct
Esther Bulaya ataka wazazi kuwekeza kwenye elimu
MBUNGE wa Viti Maalumu kupitia kundi la vijana kutoka mkoani Mara, Esther Bulaya amewataka wazazi na wananchi kwa ujumla kuwekeza kwenye elimu kwani ndio msingi wa maisha.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-akw_DmpYaq0/VmPxIQeU4-I/AAAAAAAIKag/BRUJigoR3eY/s72-c/IMG_4833.jpg)
Mzumbe yawataka watanzania kuwekeza elimu kwa vijana