Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Albert Pike alitabiri vita kuu tatu za dunia-2

Albert Pike alifanya kazi zake kwa ukaribu na Giusseppe Mazzini wa Italia (1805-1872) ambaye alikuwa ni mwashi huru mwenye digrii 33, ambaye alikuwa ni mkuu wa Illuminati mnamo mwaka 1834, na ndiye mwanzilishi wa kundi la Mafia mnamo mwaka 1860.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Albert Pike alitabiri vita kuu tatu za dunia

Watu wachache sana duniani wanafahamu mipango na malengo aliyoyaweka Albert Pike na waasisi wenzake wa mfumo mpya wa kutawala ulimwengu (New World Order), ambao wafuasi wa itikadi ya uashi huru (freemason) wanapigania usiku na mchana kuuanzisha na kuuenzi.

 

10 years ago

Vijimambo

Mkapa: Vita ya tatu ya Dunia inaweza kutokea.

Rais Mstaafu Benjamin Mkapa, amezipa angalizo nchi za Kiafrika kukuza uongozi bora na kuachana na mikataba mibovu isiyojali ustawi wa wananchi kwa kuwa inaweza kuzipeleka katika vita.

Miongoni mwa mikataba ambayo amesema kuwa ni mibovu na isiyofaa, hivyo iepukwe ni wa Kiuchumi baina ya Mataifa ya Afrika, Caribbean na Pacific (EPA), ili kuepusha vita, ambayo kwa sasa itakuwa ni ya kiuchumi.

Aidha, ametaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC) lifumuliwe ili kuongeza nchi nyingine ambazo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Armenia wakumbuka vita kuu ya dunia

Raia wa Armenia kutoka pande zote Duniani wanakusanyika mji mkuu ,Yerevan kufanya kumbukumbu ya mauaji vita kuu ya dunia.

 

10 years ago

Mwananchi

Harakati za kuadhimisha Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia zinatufunza nini? -1

Hekaheka zinaendelea kote ulimwenguni, hususan katika Ulaya kuadhimisha miaka 100 tangu kuanza kwa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia.

 

10 years ago

Mwananchi

Harakati za kuadhimisha Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia zinatufunza nini? -2

Watu wote wanaoifahamu vizuri historia ya nchi hii watakubaliana nami kuwa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia imeacha utajiri mkubwa wa kihistoria ambao kama ungeenziwa ungekuwa ni chanzo kingine kikubwa cha mapato kutokana na fursa za utalii zilizomo ndani yake.

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA YAADHIMISHA MIAKA 100 TANGU KUANZA KWA VITA KUU YA KWANZA YA DUNIA

Katika kuadhimisha miaka 100 ya kuanza kwa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia, Tanzania, Ubelgiji, Ugiriki, Iraki, Kenya, Nigeria na Afrika Kusini zimeungana na India katika hafla iliyoendana na uzinduzi wa kitabu cha picha za kumbukumbu za wapiganaji waliofariki kwenye vita hiyo kuanzia mwaka 1914 – 1918.
Akizungumza kwenye hafla hiyo, iliyofunguliwa na Mhe. Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mhe. John W. Ashe, Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kuhudhuriwa na...

 

5 years ago

Bongo5

Tanzia: Brigedia Jenerali (mstaafu) Albert Costantino Frisch afariki dunia

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linasikitika kutangaza kifo cha Brigedia Jenerali Albert Costantino Frisch (mstaafu) kilichotokea tarehe 13 Aprili 2017.

Marehemu Brigedia Jenerali Albert Costantino Frisch (mstaafu) alizaliwa tarehe 13 Novemba 1944, mtaa wa Uhuru, Tarafa ya Kariakoo, Wilaya ya Ilala, Mkoa wa Dar es Salaam. Alisoma na kuhitimu Shule ya Msingi mkoani Dar es Salaam na baadaye kuendelea na masomo ya Sekondari katika Shule ya Sekondari St. Joseph Convert School,...

 

10 years ago

Vijimambo

Leo ni miaka miwili toka msanii ALBERT MANGWEAH alivyoaga dunia MAY 28, 2013



Wasanii mbalimbali wa muziki wa Bongo Fleva wakiwa kwenye picha ya pamoja katika kaburi la Albert Mangweah maeneo ya Kihonda Morogoro.
DAIMA TUTAKUKUMBUKA
PUMZIKA KWA AMANI

 

9 years ago

Michuzi

MWENYEKITI WA CCM JAKAYA MRISHO KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA TAIFA CCM, AKUTANA NA MWAKILISHI WA BENKI YA DUNIA

 Mwenyekiti wa CCM na Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli, Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim Majaliwa, Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan, Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Mhe Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahmana Kinana kabla ya kuanza kwa Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa jijini Dar es salaam leo Desemba 7, 2015.  Mwenyekiti wa CCM na Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza Kikao cha Kamati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani