ALIYEMREKODI EDZEN VIDEO YA UTUPU YAMKUTA
![](http://api.ning.com:80/files/YIi6je0KpJMS8JJWFvrj7DV-S-QKY5zifreasHY1n90wp3m7UtEctgqXdChW3MQf2pbJ34oMeQT-*d-HOYuqnGv8rfAv8c5D/Mrembo.jpg)
Erick Evarist/Ijumaa JESHI la polisi jijini Dar limemkamata binti anayefahamika kwa jina la Moza kwa kosa la kudaiwa kumdhalilisha Mtangazaji wa Runinga ya TV1, Ezden Jumanne ambapo anatarajiwa kuburuzwa mahakamani muda wowote baada ya uchunguzi kukamilika. Moza anayedaiwa kumrekodi Ezden video ya utupu. Moza ambaye alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mtangazaji huyo kisha kuachwa, anadaiwa kumrekodi video ya utupu Ezden...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V0EnpUkUMSUOvFblui*wQkpCobF4DLiL-liHTSqCOIMrfQrScHQ1JBYbOSQz-qJLC9tIOZoErkUBqfyQAvVcrq16979Cy8aO/JUMA.gif?width=650)
PICHA ZA UTUPU, VIDEO QUEENS TZ WATIA FORA
10 years ago
CloudsFM06 Feb
Nay: Video za wasichana wakiwa wamevaa nusu ‘’Utupu’ zinauza kibiashara
Katika hali ya kushangaza msanii wa Bongo Hip Hop,Nay Wa Mitego ametetea video ambazo hazina maadili zinazoonyesha wasichana wakiwa nusu utupu.
![](http://api.ning.com/files/xa7rDnAgaa6WNXVSKWHAi4SX*20MbVLOD4L-Sl2vQPNXVj7L2YOZIwFfl16*0KkLh9atKI3OefDXvyanR2VM5StMNpkRDZaW/nay.jpg)
![](http://api.ning.com/files/xa7rDnAgaa68mcNTaApiIc9GJyPnC-ZugIXIz-By-096xc-J3JW5iCSMo-8lPQcuvPlEPEulBy3o-Hijs4hJ-aY*kjnnoe5d/nay1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8k9GghxLBs3*DhJcWCUjc2EurQ3MXPPf1rYs5qxy1GVJWzylLLXsUqUJb4XnydO1cIQvIwtKirn0J6ovAypwXUj68TsycD-/erick.jpg)
‘VIDEO QUEENS’ PICHA ZA UTUPU TUMECHOKA, TAFUTENI WIMBO MWINGINE!
10 years ago
Bongo507 Nov
Video: Ex wa Desire Luzinda aliyevujisha picha zake za utupu aibuka na kuzungumiza kilichomfanya avujishe
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-sfy9Pl-AqRk/VLSqTA5LEcI/AAAAAAAAmaI/8jKEaB0iL0M/s72-c/dida%2Bna%2Bmumwewe.jpg)
Dida na Edzen Mambo Safi Tena..Wapenzi Wakigombana Shika Jembe Ukalime
![](http://4.bp.blogspot.com/-sfy9Pl-AqRk/VLSqTA5LEcI/AAAAAAAAmaI/8jKEaB0iL0M/s640/dida%2Bna%2Bmumwewe.jpg)
Hahaha Wambea Sisi tulivyoshupalia ugomvi wa Wapenzi wawili Dida na Edzen Mpaka wakaachana Utafikiri tunahusika kwa Vijembe na Meneno mengi mtandaoni..Unaambiwa Kwa sasa wawili Hao Mambo safi wameshapata ugomvi umeisha na mamba ni kama dhamani ng'are ng'are , Wenyewe wanawasiliana kama kawa na kusaidiana katika vitu vidogo vidogo japo kila mmoja...
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Waziri wa JK yamkuta
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Sharukani wa Dar yamkuta
Sharukani akitaharuku baada ya fumanizi hilo.
Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah
Yamemkuta! Jamaa mwenye asili ya udosini almaarufu kwa jina la Sharukani wa Vingunguti au wa Dar, mkazi wa Airport jijini Dar, anadaiwa kunaswa laivu ‘akimtumbua’ mke wa rafiki yake, naye ‘kutumbuliwa’ kwa kupewa mkong’oto hivyo kukiri ‘kweli mke wa mtu ni sumu’.
…..Akiwa hajui la kufanya.
Tukio hilo la aina yake lilijiri hivi karibuni katika gesti moja maarufu maeneo ya Ilala ambapo Sharukani...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JeioNtmyO2aD0CNnubTZHEiINdWZkj0ujHfBFbhOTOUS0N1cdZSWZmth-ZTwdAphwbZasTz18jXuGYxoNVXerKQn4Z6XO7ec/19.jpg?width=650)
HUSNA MAULID YAMKUTA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vKR8mtf*1coDWYQAp9ykf0w9k4VAHHYj-PceWzRO67pOjEMZ5qWxbl4MHtOQ*XV4LbOA97NDo0qhU4cxFBAurBhELnJgPGqA/amanda.jpg?width=650)
AMANDA YAMKUTA YA MAREHEMU RECHO