Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ALIYEMREKODI EDZEN VIDEO YA UTUPU YAMKUTA

Erick Evarist/Ijumaa
JESHI la polisi jijini Dar limemkamata binti anayefahamika kwa jina la Moza kwa kosa la kudaiwa kumdhalilisha Mtangazaji wa Runinga ya TV1, Ezden Jumanne ambapo anatarajiwa kuburuzwa mahakamani muda wowote baada ya uchunguzi kukamilika. Moza anayedaiwa kumrekodi Ezden video ya utupu. Moza ambaye alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mtangazaji huyo kisha kuachwa, anadaiwa kumrekodi video ya utupu Ezden...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

PICHA ZA UTUPU, VIDEO QUEENS TZ WATIA FORA

STORI: Musa Mateja WHY? Wauza nyago wanaotumika katika video mbalimbali za wasanii wa Bongo Fleva (video queens) wametia fora kwa kurekodiwa mikanda ya utupu na kusambaa kwenye mitandao ya kijamii na simu za kupangusa, Risasi Jumamosi lina ripoti kamili. Mrembo maarufu kwa jina moja la Lulu akiwa uchi wa mnyama. Ukiachana na Agness Gerald ‘Masogange’, Jacqueline Fitzpatrick Cliff ‘Jack Patrick’,...

 

10 years ago

CloudsFM

Nay: Video za wasichana wakiwa wamevaa nusu ‘’Utupu’ zinauza kibiashara

Katika hali ya kushangaza msanii wa Bongo Hip Hop,Nay Wa Mitego ametetea video ambazo hazina maadili zinazoonyesha wasichana wakiwa nusu utupu.

Picha kadhaa zimevuja kwenye mitandao ya kijamii zikumuonyesha msanii huyo akiwa kimahaba na msichana kitandani zikimaanisha kuwa kuna video yake mpya inakuja.‘’Yaah hizo picha ni za video yangu mpya ambayo itatoka hivi karibuni na kuhusu kwamba haina maadili mimi sijali na watu hajajua kama video za namna hizo zinalipa kibiashara na lazima twende na...

 

10 years ago

GPL

‘VIDEO QUEENS’ PICHA ZA UTUPU TUMECHOKA, TAFUTENI WIMBO MWINGINE!

KWENU wauza sura katika video mbalimbali Bongo (video queens), najua mpo wengi lakini pengine labda niwataje wachache ambao mna majina makubwa; Agness Gerald ‘Masogange’, Rehema Fabian, Husna Maulid na Lulu ambaye umeonekana juzikati katika video ya msanii wa Bongo Fleva, Y-Tone, Shitobe. Bila shaka mko poa na mnaendelea na maisha yenu ya kila siku. Mkitaka kujua hali yangu, mimi niko poa, naendelea na maisha yangu...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Ex wa Desire Luzinda aliyevujisha picha zake za utupu aibuka na kuzungumiza kilichomfanya avujishe

Baada ya muimbaji wa Uganda, Desire Luzinda kutoa tamko rasmi la kuomba radhi kutokana na picha zake za utupu zilizovujishwa mtandaoni, aliyekuwa mpenzi wa mwanamuziki huyo Mnigeria Franklin Emuobor Ebenhron naye ameibuka na kuzungumzia sababu zilizomfanya kuvujisha picha za ex wake huyo baada ya kutofautiana. Franklin na Luzinda enzi za uhusiano wao Msikilize hapa

 

10 years ago

Vijimambo

Dida na Edzen Mambo Safi Tena..Wapenzi Wakigombana Shika Jembe Ukalime

Unaambiwa Ndugu Ama wapenzi wawili wagombanapo Shika Jembe Ukalime...Usiingilie na kujifanya wajua sana itakutokea puani na kuonekana mchonganishi.
Hahaha Wambea Sisi tulivyoshupalia ugomvi wa Wapenzi wawili Dida na Edzen Mpaka wakaachana Utafikiri tunahusika kwa Vijembe na Meneno mengi mtandaoni..Unaambiwa Kwa sasa wawili Hao Mambo safi wameshapata ugomvi umeisha na mamba ni kama dhamani ng'are ng'are , Wenyewe wanawasiliana kama kawa na kusaidiana katika vitu vidogo vidogo japo kila mmoja...

 

10 years ago

Mwananchi

Waziri wa JK yamkuta

Wakati utata ukizidi kujitokeza katika uapishaji wa viongozi wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam kutokana na waliodaiwa kushinda kuwekwa kando na kuapishwa walioshindwa,

 

9 years ago

Global Publishers

Sharukani wa Dar yamkuta

IMG-20160103-WA0020
Sharukani akitaharuku baada ya fumanizi hilo.

Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah
Yamemkuta! Jamaa mwenye asili ya udosini almaarufu kwa jina la Sharukani wa Vingunguti au wa Dar, mkazi wa Airport jijini Dar, anadaiwa kunaswa laivu ‘akimtumbua’ mke wa rafiki yake, naye ‘kutumbuliwa’ kwa kupewa mkong’oto hivyo kukiri ‘kweli mke wa mtu ni sumu’.

IMG-20160103-WA0013

…..Akiwa hajui la kufanya.

Tukio hilo la aina yake lilijiri hivi karibuni katika gesti moja maarufu maeneo ya Ilala ambapo Sharukani...

 

10 years ago

GPL

HUSNA MAULID YAMKUTA!

Shani Ramadhan na Imelda Mtema
MSHIRIKI wa shindano la Miss Tanzania 2011/2012, Husna Maulid yamemkuta ya mwaka, kwa kudaiwa kutolewa vitu vyake nje na mwenye nyumba baada ya kushindwa kulipa kodi, huko Shekilango jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita, zoezi lililosimamiwa na mabaunsa. MSHIRIKI wa shindano la Miss Tanzania 2011/2012, Husna Maulid. Chanzo cha kuaminika kililiambia gazeti hili kuwa mrembo huyo alikuwa...

 

11 years ago

GPL

AMANDA YAMKUTA YA MAREHEMU RECHO

Na Hamida Hassan
MMWIGIZAJI mwenye figa ya aina yake Bongo Movie, Tamrina Posh ‘Amanda’ ameamka na kushtuka akiwa amechanjwa chale na watu wasiojulikana kama alivyowahi kufanyiwa marehemu Recho. Mwigizaji mwenye figa ya aina yake Bongo Movie, Tamrina Posh ‘Amanda’. Akizungumzia tukio hilo, Amanda alisema lilitokea siku ambayo dairekta mkongwe nchini George Tyson alipofariki dunia (Mei 30) ambapo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani