Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ally Kheir Daxx: Nyota ya Kitanzania inayong’ara Afrika

DAXX: “Nilifika pale kwa ajili ya kumpa sapoti rafiki yangu, Mtanzania mwenzangu, mbunifu mahiri Shera Ngowi, aliyekuwa akishiriki katika onyesho hilo.” Safari ya staa huyo kama ilivyo wanamitindo wengine nchini ilianzia kwenye maonyesho ya Swahili Fashion Week. Yalipofanyika kwa mara ya kwanza nchini, yeye na wenzake walikuwa vinara waliofanya vizuri kwenye ndani ya ukumbi wa Diamond Jubelee jijini.
KWENYE orodha ya wanamitindo wanaofanya vizuri kwa sasa barani Afrika huwezi kulikosa jina la...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

ALLY HASSAN : Daxx mwandishi wa habari aliyejikita kwenye mitindo

Uanamitindo ni kazi ambayo watu wengi wamekuwa wakiizungumzia tofauti tofauti. Wengi huichukulia kama kazi ya kike isiyokuwa na faida.

 

9 years ago

Michuzi

KITABU KILICHOTUNGWA NA MTOTO WA KITANZANIA CHANG"ARA KIMATAIFA



MTOTO wa Kitanzania mwenye miaka 14 ametunga kitabu ambacho kimetambulika kimataifa. Kitabu hicho ni cha hadithi kinachoitwa ''LUCIANA AND THE SEVEN MAGICAL RINGS'' ambacho kimepigwa chapa na kampuni ya Kimarekani inayoitwa KIDPUB PRESS ya mjini Boston. Kinasambazwa pia na kampuni za Marekani za Amazon na Bookstore.
Mtunzi wa kitabu hiki ni Redempta Rugeiyamu ambaye kwa sasa anaishi nchini Afrika Kusini ambaye alizaliwa nchini Botswana walikokuwa wakiishi wazazi wake akiwa na ugonjwa unaoitwa...

 

11 years ago

Michuzi

KIJANA WA KITANZANIA ANG’ARA PANDE ZA KOREA KUSINI

 Kijana wa kitanzania asomae Korea Kusini Bw. Sunday Sokoni ameibuka kidedea kwa kushinda nafasi ya pili katika mashindano ya kukariri na kuongea mashairi ya kikorea kwa hisia.  Shindano hilo liliwakutanisha washindani mia moja na therethini (130) wengi wao wakiwa ni Wakorea lakini Sunday Sokoni alifanikiwa kuwabwaga Wakorea hao na kuwa raia pekee wa kigeni aliyeingia kwenye Tatu bora.   Ushindi wa Sunday ulikuwa gumzo jijini Seoul-Korea na kupelekea Television za Korea kufanya mahojiano na...

 

10 years ago

Mwananchi

Nyota waliong'ara sana bila kutwaa Ballon d’Or

Tuzo ya Fifa Ballon d`Õr hutolewa kwa wachezaji bora wa soka duniani kama ilivyo kwa tuzo za Oscar zinatolewa kwa waigizaji bora na tuzo Nobel inayotolewa kwa wanasayansi.

 

10 years ago

Mwananchi

Vipaji Siri ya nyota Amerika Kusini kung’ara England, Ulaya

Soka linabaki kuwa moja ya mchezo unaopendwa zaidi duniani, huku makocha wakiumiza vichwa kusaka mafanikio kwa kusajili nyota wa kuwang’arisha.

 

10 years ago

Vijimambo

NYOTA YA LOWASSA YAZIDI KUNG'ARA AWAPIKU WENZAKE KWA ASILIMIA 20 NI KATIKA KUWANIA URAIS WA TANZANIA

Mtafiti Mkuu wa Taasisi ya Samunge Social Research Centre, George Nyaronga (katikati), akisisitiza jambo wakati akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu utafiti uliofanywa na taasisi hiyo kuhusu viongozi wanaotaka kuwania nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu ambapo Waziri Mkuu wa zamani,  Edward Lowassa ameonesha kuwapiku wenzake kwa kupata asilimia 20 akifuatiwa na  Dk.Willibrod Slaa aliyepata asilimia 11.7....

 

10 years ago

GPL

NYOTA YA LOWASSA YAZIDI KUNG'ARA AWAPIKU WENZAKE KWA ASILIMIA 20 NI KATIKA KUWANIA URAIS WA TANZANIA‏

Mtafiti Mkuu wa Taasisi ya Samunge Social Research Centre, George Nyaronga kutoka Chuo Kikuu Huria (OUT). Mtafiti Mkuu wa Taasisi ya Samunge…

 

10 years ago

Dewji Blog

IPTL yang’ara Afrika Mashariki

iptl

-Sasa kusambaza umeme MW 2000 Kenya

-Kafulila aumbuka

Na Mwandishi Wetu

KAMPUNI ya kufua umeme ya Pan African Power Solution inayoimiliki kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) imezidi kung’aa katika nchi za jumuia ya Afrika Mashariki katika kusambaza nishati ya  umeme.

Hatua hiyo inasababishwa na serikali ya Kenya kuipatia barua kampuni hiyo ya kufanya nao kazi ya usambazaji umeme katika mradi unaohusisha nchi mbili za jumuia hiyo, ambazo ni  Tanzania na Kenya.

Barua ya Kenya...

 

11 years ago

Mtanzania

Uhuru Kenyatta ang’ara Afrika

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta

WASHINGTON, Marekani

RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amewapiku marais wenzake wa Afrika Mashariki kwa kushika nafasi ya kwanza kwa ufanisi wa kazi, kwa mujibu wa utafiti wa Shirika la Gallup la nchini Marekani.

Utafiti huo ulitolewa jana ambapo licha ya Rais Kenyatta kuwa madarakani kwa kipindi cha mwaka mmoja ameweza kuwapiku wenzake waliodumu madarakani kwa muda mrefu.

Pamoja na Rais Jakaya Kikwete, kuingoza nchi kwa mwaka wa tisa sasa utafiti huo umeshindwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani