Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KITABU KILICHOTUNGWA NA MTOTO WA KITANZANIA CHANG"ARA KIMATAIFA



MTOTO wa Kitanzania mwenye miaka 14 ametunga kitabu ambacho kimetambulika kimataifa. Kitabu hicho ni cha hadithi kinachoitwa ''LUCIANA AND THE SEVEN MAGICAL RINGS'' ambacho kimepigwa chapa na kampuni ya Kimarekani inayoitwa KIDPUB PRESS ya mjini Boston. Kinasambazwa pia na kampuni za Marekani za Amazon na Bookstore.
Mtunzi wa kitabu hiki ni Redempta Rugeiyamu ambaye kwa sasa anaishi nchini Afrika Kusini ambaye alizaliwa nchini Botswana walikokuwa wakiishi wazazi wake akiwa na ugonjwa unaoitwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

KIJANA WA KITANZANIA ANG’ARA PANDE ZA KOREA KUSINI

 Kijana wa kitanzania asomae Korea Kusini Bw. Sunday Sokoni ameibuka kidedea kwa kushinda nafasi ya pili katika mashindano ya kukariri na kuongea mashairi ya kikorea kwa hisia.  Shindano hilo liliwakutanisha washindani mia moja na therethini (130) wengi wao wakiwa ni Wakorea lakini Sunday Sokoni alifanikiwa kuwabwaga Wakorea hao na kuwa raia pekee wa kigeni aliyeingia kwenye Tatu bora.   Ushindi wa Sunday ulikuwa gumzo jijini Seoul-Korea na kupelekea Television za Korea kufanya mahojiano na...

 

10 years ago

Vijimambo

Ally Kheir Daxx: Nyota ya Kitanzania inayong’ara Afrika

DAXX: “Nilifika pale kwa ajili ya kumpa sapoti rafiki yangu, Mtanzania mwenzangu, mbunifu mahiri Shera Ngowi, aliyekuwa akishiriki katika onyesho hilo.” Safari ya staa huyo kama ilivyo wanamitindo wengine nchini ilianzia kwenye maonyesho ya Swahili Fashion Week. Yalipofanyika kwa mara ya kwanza nchini, yeye na wenzake walikuwa vinara waliofanya vizuri kwenye ndani ya ukumbi wa Diamond Jubelee jijini.
KWENYE orodha ya wanamitindo wanaofanya vizuri kwa sasa barani Afrika huwezi kulikosa jina la...

 

9 years ago

Habarileo

Mtoto wa Kitanzania kuhutubia UN

MTOTO mwenye umri wa miaka 16, Suhaila Mwarimwana anatarajiwa kuhutubia katika Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa mjini New York, Marekani kuhusu masuala mbalimbali yanayowakabili watoto nchini Tanzania.

 

10 years ago

Habarileo

Mtoto wa Kitanzania ashinda insha SADC

Rais Jakaya Kikwete akimpongeza mwanafunzi wa kidato cha nne Neema Mtwanga (16), anayesoma Shule ya Sekondari Naboti, Makambako Mkoa wa Njombe, baada ya kuibuka mshindi wa kwanza kwenye utunzi wa insha, katika shindano lililoandaliwa na Jumuiya ya Maendeleo kusini mwa Afrika (SADC), katika ufunguzi wa mkutano wa 34 wa wakuu wa nchi za SADC mjini Victoria Falls, Zimbabwe jana. (Picha na Fred Maro, Ikulu).WATOTO wa Kitanzania kutoka shule za kawaida na zile za kata, wameendelea kuipa nchi heshima kimataifa, kwa kuongoza katika mashindano ya kitaaluma.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mtoto mdogo wa Kitanzania mwenye IQ kubwa huyu hapa

10247290_791221147626346_6602541928733584586_n

Na Andrew Chale wa modewji blog

Huenda umesikia mengi juu ya watu wenye uwezo mkubwa wa kiakili na ufahamu hasa wa mambo ama IQ kubwa.

Kwa Tanzania mtoto mwenye IQ kubwa kwa  ni Mtoto Nice Valentino mwenye umri wa miaka 3, (Pichani) ameweza kuonesha uwezo mkubwa wa kukariri mambo.

kwa mujibu wa kituo cha Cloud FM cha Tanzania, kimenukuu maelezo kadhaa ikiwemo ya Baba  wa mtoto huyo, alieleza  kuwa, mtoto huyo alianza kuonesha uwezo tokea akiwa na miezi sita (mtoto mchanga) kwa kufanya vitu...

 

5 years ago

Michuzi

Tanzania Yaendelea Kung’ara Kimataifa

Tanzania imetajwa kuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki na ya nne Afrika kwa kuweka mazingira wezeshi ya ufanyaji biashara ndogondogo.

Akizungumza na Waandishi wa Habari leo Jijini Dodoma, Msemaji mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi amesema kuwa kidunia Tanzania imeendelea kufanya vizuri katika Nyanja mbalimbali ambapo katika suala hilo anasema kidunia imekuwa ya 21.

“Taasisi za Kimataifa zinatambua juhudi za Serikali yetu katika...

 

9 years ago

Habarileo

Daktari wa Tanzania ang’ara kimataifa

DAKTARI Mtanzania kutoka Hospitali ya Rufaa ya Bugando, Mwanza, Dk Rachel Nungu (27) ameteuliwa kuwa miongoni mwa vijana 60 kutoka Nchi za Jumuiya za Madola watakaopewa Tuzo ya Malkia Elizabeth kwa viongozi wa mfano wenye umri mdogo katika jamii zao.

 

11 years ago

Habarileo

Tanzania yazidi kung’ara kimataifa

TANZANIA imeendelea kupata miradi mikubwa ya maendeleo ya kimataifa, ambapo sasa imeibuka kuwa mshindi kimataifa na kukubaliwa kuanzisha mradi mkubwa wa Kanda ya Kati wa Uchukuzi. Mradi huo utakaohusisha miundombinu ya reli, barabara na bandari unatarajiwa kuanza kutekelezwa wakati wowote nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Shoe Shine’ yang’ara kimataifa

SINEMA ya ‘Shoe Shine’ iliyofyatuliwa mwaka 2013  ikitengenezwa na kuongozwa na Amil Shivji, imeitangaza vema nchi katika tamasha la kimataifa la filamu  (Festicab), ililofanyika Burundi kuanzia Juni 13-20. ‘Shoe Shine’...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani