aluta kontinyua: Uraia pacha - hata kama anaishi Kenya au China bado ni Mtanzania mwenzako...
![](http://4.bp.blogspot.com/-_Ppci2ehYXg/Uxaty4r6lxI/AAAAAAAFRJw/gREL5c0_Sqs/s72-c/images.jpg)
Suala la uraia pacha sio geni duniani. Uraia pacha ulianza zamani kwa baadhi ya nchi lakini kwa nchi yetu ya Tanzania ni suala jipya kabisa lakini katika historia ya dunia uraia pacha sio jambo geni.
Hivyo cha kusema labda ni kuwa Watanzania tunaoishi Tanzania
tusiwashangae Watanzania wa ughaibuni wanaolipendekeza suala hili ili kuilinda haki yao ya msingi ya kuzaliwa Tanzania na kutuomba Watanzania wote tuliunge mkono.
Sisi tunaoishi Tanzania ni Watanzania na wao ni Watanzania vile...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h9JSNtCgYWE/UwT1zNz5YrI/AAAAAAAFOFY/1vcPP7v1_UM/s72-c/d9.jpg)
aluta kontinyua: hoja ya haja: Mimi wa Ughaibuni kama Diaspora pia ni Mtanzania...
![](http://2.bp.blogspot.com/-h9JSNtCgYWE/UwT1zNz5YrI/AAAAAAAFOFY/1vcPP7v1_UM/s1600/d9.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ksZwlT39rZs/UwT1yk7T80I/AAAAAAAFOFM/xdzv2N_as4s/s1600/d12.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-I7Hrm9hj-fQ/U09o3OwIXhI/AAAAAAAFbb4/VSK88jOZR0s/s72-c/IMG_5590.jpg)
ALUTA KONYINYUA - Uraia Pacha na Uzalendo
![](http://2.bp.blogspot.com/-I7Hrm9hj-fQ/U09o3OwIXhI/AAAAAAAFbb4/VSK88jOZR0s/s1600/IMG_5590.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-h8T0arjh8Jo/Ux2QICcQa1I/AAAAAAAFSmM/RNLmfbOSoCQ/s72-c/IMG_3004.jpg)
10 years ago
Habarileo10 Sep
Uraia pacha bado ‘jiwe gumu’
URAIA pacha kwa Watanzania walioko nje ya nchi jana uliendelea kutawala katika mijadala kwenye Bunge la Katiba huku wengi waliochangia wakikubaliana wasio na uraia Katiba iruhusu wapewe chini ya utaratibu wa uraia wa pacha.
10 years ago
Michuzi14 Jan
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Nyerere bado anaishi na ataendelea kuishi
10 years ago
Habarileo30 Aug
Uraia pacha wabezwa
SUALA la uraia pacha limeonekana ‘kupigwa chini’ na serikali na wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba baada ya wote kukubaliana zaidi juu ya hasara za kuruhusu uraia huo, ikiwemo hofu ya usalama wa taifa na uzalendo kupungua.
10 years ago
Mtanzania25 Sep
Uraia pacha wakataliwa
![Bunge](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Bunge.jpg)
Bunge
Na mwandishi Wetu
RASIMU ya Katiba inayopendekezwa imezika rasmi suala la uraia pacha. Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na mjadala kuhusu uraia pacha, huku Watanzania wanaoishi nje wakishinikiza kiwepo kipengele kwenye Katiba kinachoruhusu suala hilo.
Akiwasilisha rasimu hiyo jana, Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi wa Katiba, Andrew Chenge, alisema hakutakuwa na uraia pacha isipokuwa watu wenye asili ya Tanzania ambao hawana uraia watapewa hadhi maalumu.
“Kamati ya Uandishi ilifanya utafiti...
11 years ago
Michuzi09 Apr
hoja ya haja: ............ la Uraia Pacha
naomba pia uniruhusu kusema machache kuhusu mwanazuoni John Mashaka kwa sababu ametugusa kwa mamilioni. na hapana shaka wasomaji wote wa hii blog watakubaliana na mimi kuhusiana na...