Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


aluta kontinyua: Uraia pacha - hata kama anaishi Kenya au China bado ni Mtanzania mwenzako...

 Suala la  uraia pacha sio geni duniani. Uraia pacha ulianza zamani kwa baadhi ya nchi lakini kwa nchi yetu ya Tanzania ni suala jipya kabisa lakini katika historia ya dunia uraia pacha sio jambo geni.  Hivyo cha kusema labda ni kuwa Watanzania tunaoishi Tanzania
tusiwashangae Watanzania wa ughaibuni wanaolipendekeza suala hili ili kuilinda haki yao ya msingi ya kuzaliwa Tanzania na kutuomba Watanzania wote tuliunge mkono.  Sisi tunaoishi Tanzania ni Watanzania na wao ni Watanzania vile...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

aluta kontinyua: hoja ya haja: Mimi wa Ughaibuni kama Diaspora pia ni Mtanzania...

Kwa muda wa wiki sasa Watanzania tunaoishi ughaibuni tumekuwa tukiendesha kampeni yakuelimisha umma kuhusu maombi yetu ya kupatiwa haki ya kikatiba ya kuwa na uraia pacha. “Mimi ni Mtanzania” ni ukweli uliopo kwa mtu yeyote mwenye asili ya Tanzania bila ya kujali anaishi Tanzania au ughaibuni.  Leo tunapenda kutoa wito kwa serikali, kwa Bunge Maalumu la Katiba na kwa vyama vyote vya kisiasa katika jitihada zetu za kuwasilisha maombi yetu ya uraia pacha kwenye Bunge Maalumu la Katiba ili...

 

11 years ago

Michuzi

ALUTA KONYINYUA - Uraia Pacha na Uzalendo

Katika siku zilizopita suala la uraia pacha lilikuwa gumzo kwa Watanzania waishio kwenye Diaspora na wale waishio Tanzania.  Lengo kubwa la gumzo au mjadala huu lilikuwa ni kujadili kama uraia pacha unaweza kuruhusiwa kwa raia yeyote wa Tanzania au kwa mtizamo mwingine, na lengo ni kuelimisha umma kuwa mtu yeyote aliyezaliwa Tanzania na atakayepata uraia wa pili hawezi kupoteza haki yake ya kuwa Mtanzania.  Suala hili bado linajadiliwa na Watanzania lakini bado wapo Watanzania wanaopinga...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Habarileo

Uraia pacha bado ‘jiwe gumu’

URAIA pacha kwa Watanzania walioko nje ya nchi jana uliendelea kutawala katika mijadala kwenye Bunge la Katiba huku wengi waliochangia wakikubaliana wasio na uraia Katiba iruhusu wapewe chini ya utaratibu wa uraia wa pacha.

 

10 years ago

Mwananchi

Nyerere bado anaishi na ataendelea kuishi

Miaka 15 imetimia leo tangu nchi yetu iondokewe na kiongozi wake, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Kumbukumbu zinaonyesha kuwa msiba wake haujawahi kuisha, bali umebakia kuwa wa kipekee katika nchi yetu. Msiba huo una simulizi lukuki na haufutiki. Kwa kifupi, nchi yetu haijapata kiongozi wa aina au mfano wake, ambaye tunaweza kusimama na kujiridhisha kuwa ni kama yeye.

 

10 years ago

Habarileo

Uraia pacha wabezwa

SUALA la uraia pacha limeonekana ‘kupigwa chini’ na serikali na wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba baada ya wote kukubaliana zaidi juu ya hasara za kuruhusu uraia huo, ikiwemo hofu ya usalama wa taifa na uzalendo kupungua.

 

10 years ago

Mtanzania

Uraia pacha wakataliwa

Bunge

Bunge

Na mwandishi Wetu

RASIMU ya Katiba inayopendekezwa imezika rasmi suala la uraia pacha. Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na mjadala kuhusu uraia pacha, huku Watanzania wanaoishi nje wakishinikiza kiwepo kipengele kwenye Katiba kinachoruhusu suala hilo.

Akiwasilisha rasimu hiyo jana, Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi wa Katiba, Andrew Chenge, alisema hakutakuwa na uraia pacha isipokuwa watu wenye asili ya Tanzania ambao hawana uraia watapewa hadhi maalumu.

“Kamati ya Uandishi ilifanya utafiti...

 

11 years ago

Michuzi

hoja ya haja: ............ la Uraia Pacha

Ankal,  mosi naomba nichukue wasaa huu kukushukuru kwa kazi nzuri ya kutuhabaraisha wana ughaibuni. Unatufikishia habari za nyumbani zinazotufariji tulio mbali na nyumbani. Ankal kabla kuendelea zaidi, napenda niseme machache ya moyoni kutokana na mada nzito ya juzi kutoka kwa kijana wetu mahiri john ,mashaka
naomba pia uniruhusu kusema machache kuhusu mwanazuoni John Mashaka kwa sababu ametugusa kwa mamilioni. na hapana shaka wasomaji wote wa hii blog watakubaliana na mimi kuhusiana na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani