Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyerere bado anaishi na ataendelea kuishi

Miaka 15 imetimia leo tangu nchi yetu iondokewe na kiongozi wake, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Kumbukumbu zinaonyesha kuwa msiba wake haujawahi kuisha, bali umebakia kuwa wa kipekee katika nchi yetu. Msiba huo una simulizi lukuki na haufutiki. Kwa kifupi, nchi yetu haijapata kiongozi wa aina au mfano wake, ambaye tunaweza kusimama na kujiridhisha kuwa ni kama yeye.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

aluta kontinyua: Uraia pacha - hata kama anaishi Kenya au China bado ni Mtanzania mwenzako...

 Suala la  uraia pacha sio geni duniani. Uraia pacha ulianza zamani kwa baadhi ya nchi lakini kwa nchi yetu ya Tanzania ni suala jipya kabisa lakini katika historia ya dunia uraia pacha sio jambo geni.  Hivyo cha kusema labda ni kuwa Watanzania tunaoishi Tanzania
tusiwashangae Watanzania wa ughaibuni wanaolipendekeza suala hili ili kuilinda haki yao ya msingi ya kuzaliwa Tanzania na kutuomba Watanzania wote tuliunge mkono.  Sisi tunaoishi Tanzania ni Watanzania na wao ni Watanzania vile...

 

5 years ago

BBCSwahili

Waridi wa BBC: Je wajua kwamba kuishi na hali ya alibino bado ni tishio karne hii ya kizazi kipya

Ulemavu wa ngozi husababishwa na ngozi kushindwa kutengeneza viini vya melanin vinavyohusika kwa kiasi kikubwa na utengenezaji wa rangi ya ngozi ya kila binadamu

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Virusi 4 ambavyo bado havijapata chanjo hadi sasa na jinsi tulivyojifunza kuishi navyo

Mamilioni ya watu kote duniani wana matumaini kwamba ugonjwa wa Covid-19 hatimae uthadhibitiwa kutokana na chanjo itakayopatikana.

 

11 years ago

Habarileo

Ndege zilizoachwa na Nyerere bado zadunda

WAKALA wa Ndege za Serikali umesema unajivunia kuwa na ndege mbili zilizoachwa na Hayati Mwalimu Julius Nyerere zinazohudumia viongozi wote wa Muungano hadi sasa.

 

9 years ago

Bongo5

Fid Q asema ataendelea kuimba live band ili kuboresha show za Hip Hop

Rapper Fareed Kubanda aka Fid Q amesema ataendelea kufanya show na live band ili kuboresha show za muziki wa Hip Hop. Fid Q ambaye alionesha uwezo wake wa kuimba live na bendi kwenye show ya Kilifest iliyofanyika weekend iliyopita katika viwanja Leades Club jijini Dar es salaam, ameambia Planet Bongo ya East Africa Radio kuwa, […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Ronaldo anaishi maisha ya 'upweke'

Mtayarishi wa sinema inayoangazia maisha ya mwanakandanda wa Real Madrid Cristiano Ronaldo anasema kuwa nyota huyo ni mpweke mno.

 

10 years ago

Bongo5

Shaa asema 2015 ataendelea kufanya muziki kama ‘Sugua Gaga’ baada ya wimbo huo kumpa mafanikio

Mwimbaji Shaa amesema kuwa baada ya ‘Sugua Gaga’ kufanikiwa kumtambulisha kimataifa mwaka jana (2014), ana mpango wa kuendelea kufanya nyimbo za aina hiyo mwaka huu. Shaa ambaye video ya Sugua Gaga ilifanikiwa kuwa video ya msanii wa Tanzania iliyotazamwa zaidi mwaka jana kwenye mtandao wa Youtube, amekiri kuwa hakutarajia mafanikio hayo wakati anautoa wimbo huo. […]

 

9 years ago

Global Publishers

Mume Wangu Anaishi Mara ya Pili – 7

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Kilichonifanya nimwangalie sana ni kwamba, huo wimbo aliosema aliwekewa na mume wangu, Bubu Hutaka Kusema mume wangu naye alikuwa akiupenda kupindukia, nikamshangaa sana huyu Tiaki.
“Shemeji,” nilimwita.

“Naam.”
“Mbona sikuelewi?”
ENDELEA NAYO SASA…

“Hunielewi kivipi shemeji. Kukuomba wimbo au?”
“Huo wimbo mume wangu alikuwa akiupenda sana. Lakini pia juisi ya ukwaju, mume wangu alikuwa akiipenda. Sasa nashangaa sana. Kwa nini kila kitu alichokipenda yeye na wewe...

 

10 years ago

GPL

MTOTO HUYU ANAISHI NA UTUMBO WA PLASTIKI

Mtoto mwenye matatizo ya tumbo, Suleiman Abdallah. Makala: Shani Ramadhani WANAMKE mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Veronica Laurent, mkazi wa Magomeni Mwembechai, jijini Dar, amejikuta kwenye wakati mgumu kwa kutelekezwa na mzazi mwenzie baada ya kujifungua mtoto akiwa na matatizo ya utumbo. CHOO CHATOKEA MDOMONI
Akizungumza na mwandishi wetu Veronica alisema mwanaye Suleiman Abdallah (4), alipozaliwa tu,  choo chake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani