Nyerere bado anaishi na ataendelea kuishi
Miaka 15 imetimia leo tangu nchi yetu iondokewe na kiongozi wake, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Kumbukumbu zinaonyesha kuwa msiba wake haujawahi kuisha, bali umebakia kuwa wa kipekee katika nchi yetu. Msiba huo una simulizi lukuki na haufutiki. Kwa kifupi, nchi yetu haijapata kiongozi wa aina au mfano wake, ambaye tunaweza kusimama na kujiridhisha kuwa ni kama yeye.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_Ppci2ehYXg/Uxaty4r6lxI/AAAAAAAFRJw/gREL5c0_Sqs/s72-c/images.jpg)
aluta kontinyua: Uraia pacha - hata kama anaishi Kenya au China bado ni Mtanzania mwenzako...
![](http://4.bp.blogspot.com/-_Ppci2ehYXg/Uxaty4r6lxI/AAAAAAAFRJw/gREL5c0_Sqs/s1600/images.jpg)
tusiwashangae Watanzania wa ughaibuni wanaolipendekeza suala hili ili kuilinda haki yao ya msingi ya kuzaliwa Tanzania na kutuomba Watanzania wote tuliunge mkono. Sisi tunaoishi Tanzania ni Watanzania na wao ni Watanzania vile...
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Waridi wa BBC: Je wajua kwamba kuishi na hali ya alibino bado ni tishio karne hii ya kizazi kipya
5 years ago
BBCSwahili05 Jun
Virusi vya corona: Virusi 4 ambavyo bado havijapata chanjo hadi sasa na jinsi tulivyojifunza kuishi navyo
11 years ago
Habarileo22 Apr
Ndege zilizoachwa na Nyerere bado zadunda
WAKALA wa Ndege za Serikali umesema unajivunia kuwa na ndege mbili zilizoachwa na Hayati Mwalimu Julius Nyerere zinazohudumia viongozi wote wa Muungano hadi sasa.
9 years ago
Bongo530 Sep
Fid Q asema ataendelea kuimba live band ili kuboresha show za Hip Hop
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Ronaldo anaishi maisha ya 'upweke'
10 years ago
Bongo519 Jan
Shaa asema 2015 ataendelea kufanya muziki kama ‘Sugua Gaga’ baada ya wimbo huo kumpa mafanikio
9 years ago
Global Publishers07 Jan
Mume Wangu Anaishi Mara ya Pili – 7
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Kilichonifanya nimwangalie sana ni kwamba, huo wimbo aliosema aliwekewa na mume wangu, Bubu Hutaka Kusema mume wangu naye alikuwa akiupenda kupindukia, nikamshangaa sana huyu Tiaki.
“Shemeji,” nilimwita.
“Naam.”
“Mbona sikuelewi?”
ENDELEA NAYO SASA…
“Hunielewi kivipi shemeji. Kukuomba wimbo au?”
“Huo wimbo mume wangu alikuwa akiupenda sana. Lakini pia juisi ya ukwaju, mume wangu alikuwa akiipenda. Sasa nashangaa sana. Kwa nini kila kitu alichokipenda yeye na wewe...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kBk*s0lw*NlW-ckz1MMV3h8hRIXqC5JNHvyOnoJmPQZJuMj0ucwNnJbuK*EmLHQcdH63HmztlMoCW8ahHRMVBHku0fhdjppM/IMG_20150102_165635.jpg?width=650)
MTOTO HUYU ANAISHI NA UTUMBO WA PLASTIKI