Ndege zilizoachwa na Nyerere bado zadunda
WAKALA wa Ndege za Serikali umesema unajivunia kuwa na ndege mbili zilizoachwa na Hayati Mwalimu Julius Nyerere zinazohudumia viongozi wote wa Muungano hadi sasa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili09 Dec
Malaysia yatafuta mmiliki wa ndege zilizoachwa uwanjani
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LA NCHINI ABU DHABI LEO MCHANA KATIKA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA MWL. JULIUS NYERERE (JNIA)
10 years ago
Michuzitimu ya wataalam kutoka wizara ya uchukuzi watembelea kituo cha uongozaji ndege Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere (JNIA)
10 years ago
MichuziWATAALAM KUTOKA WIZARA YA UCHUKUZI WATEMBEMBELEA KAMPUNI YA KUHUDUMIA MIZIGO, NDEGE NA ABIRIA YA SWISSPORT INAYOTOA HUDUMA KATIKA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE (JNIA)
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Nyerere bado anaishi na ataendelea kuishi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pVOWqi0dq1-zViTrULHE8q5l47EoSjekFNwU-adiLJnv9nox1W0EVET06cMLzVeif1FgTnjmxBiteM2EOtUNWtoULAYyen8f/1.jpg)
NDEGE INAYOHOFIWA KUZAMA BAHARINI, HALI BADO TETE
10 years ago
Habarileo02 Nov
Ujenzi Uwanja wa Ndege wa Nyerere waendelea vizuri
UJENZI wa jengo la tatu la abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Dar es Salaam, unaendelea vizuri. Hayo yalisemwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Masuala ya Usalama wa Wizara ya Uchukuzi, Erasto Wapalila, jijini juzi.
10 years ago
Bongo Movies24 Jun
JB Na Steve Nyerere Waukwaa Ubalozi Kwenye Shirika Moja la Ndege
Mastaa wakongwe wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB, na Steven Mengere 'Steve Nyerere’ wamekuwa mabalozi wa shirika la utoaji huduma za usafiri wa anga la JAMBO AVIATION LTD.
Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram Steve Nyerere aliweka picha hizo hapo juu zikiwaonyesha wawili hao wakiwa wamebeba mfano ya ndege za shirika hilo na kuandika.
“Nasema asanteni leo nimekuwa BALOZI wa JAMBO AVIATION LTD, Ni mimi na JB”
Hongereni sana.
11 years ago
Michuzi25 Feb
zungu la unga ladakwa uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere dar es salaam
![](https://3.bp.blogspot.com/-9DbLzcZqnzw/UwtyFbb9D9I/AAAAAAAAPjU/s_AL9XyaXVY/s640/Alexamdrios+Atanasios.jpg)
Habari zinasema mzungu huyo alikamatwa wakati wa upekuzi, akijiandaa kupanda ndege ya Swiss air kueleke jijini Zurich, Uswisi.
Madawa hayo yalikutwa yakiwa yamefichwa kwenye “sakafu” ya begi lake baada ya mitambo ya kisasasa yaupekuzi, kugundua kuwa kulikuwa na...