amana bank yadhamini mashindano ya Quran
![](http://3.bp.blogspot.com/-kiV-S3vsrwo/U8gGd2HQR-I/AAAAAAAF3Ko/QGi60NO65Mg/s72-c/unnamed+(26).jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zHd8XI1DWDc/Vaa1GBasV-I/AAAAAAAHp_g/FfQH3eUNH_s/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
JUMUIYA YA KUINUA VIPAJI VYA KUHIFADHI QURAN JIMBO LA KIKWAJUNI YANDAA MASHINDANO MADOGO YA KUHIFADHI QURAN
![](http://2.bp.blogspot.com/-zHd8XI1DWDc/Vaa1GBasV-I/AAAAAAAHp_g/FfQH3eUNH_s/s640/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sAc-eN6Op6Y/Vaa1GHlQkqI/AAAAAAAHp_c/o4jcq9PN-r4/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jq1Ed6teyxc/Vaa1GewOcUI/AAAAAAAHp_k/19k8V_whpYk/s640/unnamed%2B%252819%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-k_02z-O8_KM/Vaa1GgkMlWI/AAAAAAAHp_o/DV6ciki9VAo/s640/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7kaqaxXsbWk/Vaa1HNmUF5I/AAAAAAAHqAI/IXJ5_qYslqA/s640/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XEhhJvXRIpI/XslOMdtlKQI/AAAAAAALrXQ/D67SUerkYFYbdvkpfF-VZ6k_nq1O4Hn0QCLcBGAsYHQ/s72-c/fc6c881d-ca30-4bb3-a99b-485215cfe963.jpg)
WASHINDI WA MASHINDANO YA QURAN TUKUFU KWA NJIA YA MTANDAO WAKABIDHIWA ZAWADI
![](https://1.bp.blogspot.com/-XEhhJvXRIpI/XslOMdtlKQI/AAAAAAALrXQ/D67SUerkYFYbdvkpfF-VZ6k_nq1O4Hn0QCLcBGAsYHQ/s640/fc6c881d-ca30-4bb3-a99b-485215cfe963.jpg)
MRATIBU wa mashindano ya Quran kwa njia ya Mtandao, Mohamed Abdallah (kulia) akimkabidhi zawadi mshindi wa kwanza wa mashindano ya Quran kwa wanawake, Aisha Faki Juma, yaliyoandaliwa na Jumuiya ya Kuhifadhisha Quran Tukufu Tanzania, wakati wa hafla ya kukabidhi zawadi kwa washindi iliyofanyika katika ukumbi wa Arnatoglou jijini Dar es Salaam, jana. Katikati ni Balozi wa Tuzo za Kimataifa za Quran Tukufu 2020, Zena Abubakar. (Picha na Muhidin Sufiani).
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/3a3fc971-bb97-4825-a593-da0a1d4e9854.jpg)
MGENI rasmi, Waziri wa Nchi Ofisi ya...
9 years ago
MichuziAMANA BANK YAZINDUA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA
Benki ya...
10 years ago
MichuziNSSF YADHAMINI MASHINDANO YA SHIMISEMITA MKOANI MOROGORO
Katika mashindano hayo NSSF imepata fursa ya kutoa elimu kuhusu Mafao mbalimabli yatolewayo na Shirika hilo ikiwemo Mango mpya kwa ajili ya Wakulima na Wachimbaji wadogo wa Madini.
Katika mpango huo, Wakulima sasa wanaweza kujiunga na NSSF na kufaidika na Mafao mbalimbali yanayotolewa na...
10 years ago
Dewji Blog01 Jun
Tigo yadhamini mashindano ya mbio za Mbuzi jijini Dar
Vijana wakikimbiza Mbuzi ili kupata mshindi wa mbio hizo wakati wa tamasha la mbio za Mbuzi (Goat Race) lillilofanyika Dar es Salaam.
Vijana wakiingiza Mbuzi katika eneo la kukimbilia wakati wa tamasha la mbio za Mbuzi (Goat Race) lilofanyika jijini Dar es Salaam.
Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya Simu za mkononi ya Tigo John Wanyancha (kushoto) akikabidhi hundi kwa mmiliki wa Mbuzi aliyeshinda, Mark Golding kutoka kampuni ya PM Group.
Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya simu za mkononi ya...
9 years ago
Dewji Blog17 Nov
Kampuni ya Tigo yadhamini mashindano ya Uvuvi ya wazi Slipway
Wasimamizi wa shindano la wazi la uvuvi la Slipway wakipima mmoja kati ya samaki walioshindanishwa kwenye shindano hilo lililodhaminiwa na Tigo jana.
Sehemu ya muonekano ambapo mashabiki walikuwa wakisubiria wavuvi kutoka baharini.
Sehemu ya wateja wa Tigo wakipata huduma toka kwa watoa huduma wa Tigo ikiwa ni sehemu mojawapo ya huduma zilizokuwa zinapatikana kwenye shindano hilo.
Washindi wa kwanza shindano la wazi la uvuvi Slipway ambao walijishindia mashine ya Yamaha, kutoka...
9 years ago
Dewji Blog28 Nov
Mkurugenzi wa Amana bank afunga wiki ya huduma kwa wateja tawi la Mwanza!
Benki ya Amana leo hii imehitimisha wiki ya huduma kwa wateja ambapo katika tawi la Mwanza mkurugenzi wa benki hiyo Dk Muhsin Masoud alitoa zawadi mbali mbali kwa wateja wenye sifa tofauti tofauti kama ioneshavyo pichani.
Mkurugenzi huyo alikutana na wateja mbali mbali tawini hapo ili kubadilishana nao mawazo na pia kupokea maoni toka kwao katika...
10 years ago
Dewji Blog29 Sep
Tigo yadhamini Mabaharia watoto 10 kuwakilisha Tanzania Mashindano ya Mitumbwi Afrika
Meneja wa mawasiliano wa Tigo Bw. John Wanyancha akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani), kutangaza udhamini wa kampuni ya Tigo safari ya timu ya Taifa ya watoto waendesha mitumbwi inayoelekea nchini Morocco kushiriki mashindanoya wakimbiza mitumbwi mwezi ujao.
Na Mwandishi wetu
Tigo Tanzania imetangaza udhamini wake kwa timu ya taifa ya watoto wadogo waendesha mitumbwi, timu ambayo inaundwa na mabaharia watoto 10 waliochaguliwa na shirikisho la mitumbwi midogo ya watoto...
10 years ago
Dewji Blog29 Sep
PSPF yadhamini mashindano ya SHIMIWI yanayoendelea mkoani Morogoro uwanja wa Jamuhuri
![](http://2.bp.blogspot.com/-mugvC8zyqa4/VChJ54QggrI/AAAAAAAAYOw/mb__Vo-v4RU/s1600/10719065_773529992688285_1338376265_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MECHrr2tFcQ/VChJ6bgwIjI/AAAAAAAAYO0/xbqQn2rn0bc/s1600/1420500_773530006021617_1691362626_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fglWrYF5Its/VChJ3uysTnI/AAAAAAAAYOc/I5iS5JPy6kw/s1600/10717588_773529999354951_1882465900_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Q4G6mgXZdpE/VChJ7I19P5I/AAAAAAAAYPA/hOXzwvnT2MI/s1600/1467252_773536959354255_2807173198769895437_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DYDjw-Lqcq4/VChJ2TSWvlI/AAAAAAAAYOQ/c0MIna0K41c/s1600/10660344_773537252687559_6427489787557265378_n.jpg)