Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Amini Salimini Awania Ubunge Jimbo la Mkwajuni Zanzibar Kupitia Tiketi ya CCM

Mtoto wa Komando Dk Salmin Amour Juma Amini Salimini achukua Fomu kogombea Jimbo la Mkwajuni Zanzibar akiwasili katika Ofisi za CCM Wilaya ya Kaskazini A Gamba kwa ajili ya kuchukua Fomu kogombea Jimbo hilo, akisalimiana na Wananchi waliopo hapo. Mama wa Amini Salimi Bi Khadija Kasimi akisalimiana na Katibu Msaidi wa Ofisi ya CCM Wilaya Kaskazini A Unguja alipofika katika Ofisi hizo kumshindikiza Mtoto wake kuchukua Fomu ya Ubunge wa Jimbo la Mkwajuni Zanzibar. Katibu Msaidizi wa Ofisi ya...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Amini Salimini Amour Awania Ubunge Jimbo la Mkwajuni Zanzibar Kupitia Tiketi ya CCM

Mtoto wa Komando Dk Salmin Amour Juma Amini Salimini achukua Fomu kugombea Jimbo la Mkwajuni Zanzibar akiwasili katika Ofisi za CCM Wilaya ya Kaskazini A Gamba kwa ajili ya kuchukua Fomu kogombea Jimbo hilo, akisalimiana na Wananchi waliopo hapo. Mama wa Amini Salimi Bi Khadija Kasimi akisalimiana na Katibu Msaidi wa Ofisi ya CCM Wilaya Kaskazini A Unguja alipofika katika Ofisi hizo kumshindikiza Mtoto wake kuchukua Fomu ya Ubunge wa Jimbo la Mkwajuni Zanzibar. Katibu Msaidizi wa Ofisi ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Amini Salimini Ajinadi kwa Wanachama wa CCM Jimbo la Mkwajuni Unguja Wakati wa Uzinduzi wa Kampeni.

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo las Mkwajuni Zanzibar Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Ndg Khamis Mohammed Jecha akifungua rasmini Kampeni xza Wagombea Uwakilishi Ubunge na Udiwani wa Jimbo la Mkwajuni katika Tawi la CCM Moga A Wilaya ya Kaskazini Unguja jana Mgombea wa Ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Amini Salimini Amour Juma akiwahutubia Wananchi wa Tawi la CCM Moga A Kaskazini A Unguja wakati wa uzinduzi wa kampeni uliozinduliwa Rasmin Zanzibar katika Majimbo yote ya Uchaguzi kupitia...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mtoto wa Rais mstaafu Salmini Amour ‘Komando’ Amin Salmini achukua fomu kuwania ubunge jimbo la Mkwajuni Zanzibar

 Mtoto wa Rais Mstaafu wa awamu ya Tano Zanzibar, Dkt. Salmin Amour, Amin Salmini, akimkabidhi fedha za kulipia fomu za kuwania Ubunge, Katibu Msaidizi wa CCM
Wilaya ya Kaskazini A Unguja, Shafi Hamadi wakati alipofika kwenye Ofisi hizo za CCM kwa ajili ya kuchukua fomu za kugombea Ubunge wa Jimbo la Mkwajuni Zanzibar.   Katibu Msaidizi wa CCM Wilaya ya Kaskazini A Unguja, Shafi Hamadi, akimkabidhi fomu za kugombea Ubunge, Mwanachama wa CCM, Amin Salmini, bada ya kulipia.  Salmini,...

 

10 years ago

Michuzi

WAGOMBEA UBUNGE NA UWAKILISHI JIMBO LA TUNGUU KWA TIKETI CCM WANDAA BONANZA LA MICHEZO MBALIMBALI KWA WANAWAKE WA JIMBO HILO

 Washiriki wa mchezo wa kukuna nazi wakishindana katika Bonanza la michezo ya Jimbo la Tunguu yaliyofanyika kiwanja cha Bungi Mkoa wa Kusini Unguja. Mmoja wa washiriki akifurahia kumaliza kukuna nazi. Mshiriki wa mbio za Baskeli Zainab Juma akimaliza mbio hizo akishikilia nafasi ya nne. Mgombea uwakilishi Jimbo la Tunguu kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi CCM Simai Mohommed Said akiteta kitu na Mwenyekiti wa CCM Jimbo Tunguu Khatib Ramadhan Iddi (katikati) Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kusini...

 

10 years ago

Dewji Blog

Phidesia Mwakilima aibuka kidedea uchaguzi wa Ubunge wa viti maalum kupitia tiketi ya Jumuiya ya Wazazi CCM

http://2.bp.blogspot.com/-RCy23A0BZXU/VXGrU4TGNzI/AAAAAAAAPCU/JU7jwGuH2Mw/s1600/11390351_860026487378599_5734199586013076232_n.jpg

Mwanadada  Phidesia Mwakilima.

Na Woinde Shizza, wa libeneke la kaskazini blog

Mkurugenzi wa kampuni ya Phide Entertainment  ambaye pia ni Meneja masoko wa  kituo cha redio Triple A ya Arusha, Phidesia Mwakilima, ameibuka kidedea kwenye uchaguzi wa mbunge viti maalum kupitia Jumuiya ya wazazi (UWT) Chama cha Mapinduzi mkoa wa Arusha.

Phidesia Mwakilima, amepata kura 18 na kuwashinda, Aimbora Nnko, aliyepata kura 6, Angela Mwanri kura 4 na Anna John kura 2 ,uchaguzi huo umefanyika ukumbi wa...

 

10 years ago

Vijimambo

MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA CHUMBUNI KWA TIKETI YA CCM AWATAKA WANANCHI KUJIANDAA NA MAENDELEO



Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Perera Ame Silima akizungumza na Wananchi wa Jimbo la Chumbuni wakati wa mkutano wa Kampeni wa jimbo hilon uliofanyika katika viwanja vya mpira Bamata Kwamtipura Unguja akimuombea Kura Mbunge wa Jimbo hilo Ussi Salum Pondeza AMJADI na Mwakilishi Miraji Kwaza kwa Wananchi wa Chumbuni. Viongozi wa CCM Wilaya ya Amani Unguja wakimsikiliza aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo Mhe Perera Ame Silima akiwahutubia wananchi wa Jimbo la Chumbuni katika mkutano wa...

 

10 years ago

Vijimambo

AFISA UHAMIAJI ZANZIBAR, MAHAFOUDH ABDALLAH ACHUKUWA FOMU YA KUWANIA NAFSAI YA UWAKILISHI JIMBO LA MAGOMENI ZANZIBAR KWA TIKETI YA CCM.

MTIA nia ya kuwania nafsi ya uwakilishi jimbo la Magomeni Mahfudhi Abdalla Mohammed(kushoto)akilipia fedha za fomu hiyo. Kaimu katibu msaidzi wa CCM wilaya ya Amani Asha Mzee (kulia) akimkabidhi fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Uwakilishi.Mtia nia Mahafoudh Abdalla akionesha fomu hiyo.baada ya kupokea fomu.Baadhi ya wanachma wengine waliojitokeza kuch ukuwa fomu wakionesha fomu zao.(Picha na Ameir Khalid) 

 

10 years ago

Michuzi

PROFESA MBARAWA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MKOANI PEMBA KWA TIKETI YA CCM AKIZINDUA KAMPENI

Profesa Mbarawa mgombea ubunge jimbo la mkoani Pemba kwa tiketi ya CCM akizungumza na wananchi wa Mkoani Pemba wakati wa kuzindua kampeni za chama cha CCM mkoani humo jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani