AMON MPANJU AJITOSA KUGOMBEA JIMBO LA KAWE
Mwenyekiti wa wa Shirikisho la vyama vya Watu wenye ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) Amon Anastaz Mpanju ambaye pia alikuwa Mbunge wa Bunge Maalum la Katiba Mpya amejitokeza hii leo sambamba na wana CCM wengine katika safari ya kuwania Ubunge katika Jimbo la Kawe Wilaya ya Kinondoni.
Akizungumza na Father Kidevu Blog, katika ofisi za Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kinondoni, Mpanju amesema huu ni wakati muafa kwake kuwatumiakia wana Kawe.
Mpanju ambaye kitaaluma ni Mwanasheria, amesema...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2ca8LfcTNzo/Vawn2u5zj1I/AAAAAAAHqmE/6ejJOc_bZ1Y/s72-c/IMG_0155.jpg)
Mtangazaji maarufu nchini Abdallah Idrissa Majura ajitosa kuwania ubunge jimbo la kawe
![](http://2.bp.blogspot.com/-2ca8LfcTNzo/Vawn2u5zj1I/AAAAAAAHqmE/6ejJOc_bZ1Y/s640/IMG_0155.jpg)
Mwandishi wa habari na mtangazaji maarufu nchini Abdallah Idrissa Majura (pichani) jana ameahidi kufanya mapinduzi ya michezo katika jimbo la kawe ambao utakuwa ni mfano kwa maeneo mengine na taifa kwa ujumla.Akizungumza na vyombo vya habari mara baada ya kurejesha fomu za kuomba kugombea ubunge jimbo la kawe kupitia chama cha mapinduzi, amesema endapo atapendekezwa na ccm kisha kuchaguliwa kuwa munge wa jimb hilo ataanza na michezo mitano ambayo ni soka, mpira wa kikapu,netiboli, wavu na...
10 years ago
AllAfrica.Com20 Jul
Mpanju to Vie for Kawe Seat
IPPmedia
AllAfrica.com
The Chairman of Tanzania Federation of Disabled People, Mr Amon Mpanju, has expressed the need for Tanzanians to ensure they pick people who will bring them the required development by refraining from people who want to be nominated basing on ...
Journalist Majura vies for Kawe constituencyIPPmedia
More join race to vie for Kinondoni seatDaily News
all 10
10 years ago
VijimamboMOHAMMED SULEIMAN OMAR AJITOSA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MALINDI ZANZIBAR
10 years ago
MichuziMDAU SHAFI KASSIM MPENDA AJITOSA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KATAVI 2015
10 years ago
VijimamboKADA WA CCM ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KAWE JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-4Y7bq7ZXLy4/VaqfVVyJpqI/AAAAAAAAWfI/W2VMiae6J5Y/s72-c/IMG-20150717-WA0009.jpg)
DOGO AJITOSA KUGOMBEA UDIWANI KATA YA KORONGONI MOSHI MJINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-4Y7bq7ZXLy4/VaqfVVyJpqI/AAAAAAAAWfI/W2VMiae6J5Y/s640/IMG-20150717-WA0009.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ev4XcPQaUO4/VaqjmlrN6HI/AAAAAAAAWg4/V0g2e9PgLUM/s640/IMG-20150717-WA0020.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-u56GPZ1ZJHo/VaqjzOGq1UI/AAAAAAAAWhA/6pBKdqg6wlc/s640/IMG-20150717-WA0018.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-IVe4wT3h29I/VaqjzYlE10I/AAAAAAAAWhE/qpUxT3Ym_zI/s640/IMG-20150717-WA0021.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-VgqrCOVpWIo/VXUq0FmjabI/AAAAAAAAvUo/wZ-BNLEHrS4/s72-c/mwele.jpg)
Mtoto Wa John Malecela Ajitosa Kugombea Urais wa Tanzania Kupitia CCM
![](http://3.bp.blogspot.com/-VgqrCOVpWIo/VXUq0FmjabI/AAAAAAAAvUo/wZ-BNLEHrS4/s640/mwele.jpg)
MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti Magonjwa ya Binadamu Dk Mwele Malecela mtoto wa Makamu wa zamani wa CCM John Malecela ni miongoni mwa wana CCM ambao wamejitosa kugombea urais kupitia CCM.Dk Mwele kesho amepangiwa na CCM kuchukua fomu za kuomba kugombea urais. Ratiba ya CCM iliyotolewa jana Makao Makuu ya chama hicho mjini hapa inaonesha kuwa licha ya Dk Mwele, mwingine ambaye atachukua fomu hiyo kesho ni Nicholaus Mtenda ambaye pia amejitokeza kuomba kugombea urais kupitia...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yh_aX5eWuuQ/VbxvOUX-x1I/AAAAAAAC9IQ/q7hVAWW9ouo/s72-c/unnamed.jpg)
Nipitisheni nilirejeshe Jimbo la Kawe- Pijei
![](http://1.bp.blogspot.com/-yh_aX5eWuuQ/VbxvOUX-x1I/AAAAAAAC9IQ/q7hVAWW9ouo/s400/unnamed.jpg)
Akizungumza katika kampeni zake za mwishoni jimboni humo, Pijei, alisema mbali ya kujitokeza makada 21 kulitaka jimbo hilo, wananchi ndiyo wenye uwezo wa kuamua nani wa kumpa nafasi hiyo.
"Wanachama sehemu zote tulizopita watakuwa tayari wamemwona anayefaa kupeperusha bendera ya CCM katika Jimbo la Kawe, nami naamini...