AMREF NA KCB ZASHIRIKIANA KATIKA ELIMU ZA WAKUNGA
Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Tanzania (kushoto)Moezz Mir akimkabidhi Mkurugenzi Mkazi wa Amref Heath Africa Tanzania Dk. Festus Ilako, hundi yenye thamani ya shilingi milioni 48. Kwa ajili ya kuwasomesha wakunga 10 ambao baada ya kupata elimu wataajiliwa katika vituo vya afya hasa vijijini ili kuwasaidia akinamama wanaohitaji huduma za uzazi.KCB na AMREF wametangaza ushirikiano katika kusaidia suala zima la Afya ya mama na motto nchini hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam, wapili...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLAMREF NA KCB ZASHIRIKIANA KATIKA ELIMU ZA WAKUNGA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TjgPuo53eHc/VBmqmkkYWiI/AAAAAAAGkKQ/kOaJ_-xB1V0/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
Changia mafunzo ya wakunga, okoa maisha ya mama na mtoto - Amref health africa
![](http://1.bp.blogspot.com/-TjgPuo53eHc/VBmqmkkYWiI/AAAAAAAGkKQ/kOaJ_-xB1V0/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
10 years ago
MichuziAmref kuandaa hafla ya chakula cha jioni kuchangia mafunzo ya wakunga nchini Tanzania
10 years ago
Habarileo31 Jan
SMZ kuwapatia elimu wakunga wa jadi
WIZARA ya Afya imesema inathamini kazi inayofanywa na wakunga wa jadi katika kutoa huduma za kujifungua kwa kinamama majumbani na kusema inakusudia kuwapatia mafunzo zaidi ya kazi zao.
11 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE KATIKA SHEREHE ZA KILELE CHA SIKU YA WAKUNGA DUNIANI
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Y14M7rReJeM/VjICn7OGmiI/AAAAAAAIDWE/60u8Dd9xRo0/s72-c/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
VETA YASHIRIKI MAONESHO YA ELIMU YA UFUNDI KATIKA MKUTANO WA KWANZA WA KAMATI YA WATAALAM WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA UNAOFANYIKA KATIKA OFISI ZA UMOJA WA AFRIKA JIJINI ADDIS ABABA, ETHIOPIA TAREHE 27 HADI 31 OKTOBA,2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y14M7rReJeM/VjICn7OGmiI/AAAAAAAIDWE/60u8Dd9xRo0/s640/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4PkxV6XZZaQ/VjICoBJ-4pI/AAAAAAAIDWM/bImrWxjTvWs/s640/New%2BPicture%2B%25282%2529.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IFgLUv0c7to/VjIColnyljI/AAAAAAAIDWI/iAkTWoQ-mGU/s640/New%2BPicture.png)
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Elimu ya ujasiriamali katika mfumo wa elimu nchini
10 years ago
Tanzania Daima04 Dec
Kampuni za bima zashirikiana
KAMPUNI ya Bima ya Britam yenye maskani yake nchini Kenya, imepanua wigo wa kazi zake kwa kuzifikia nchi saba Afrika ikiwemo Tanzania ili kuwapa fursa watanzania kujiendeleza kimaisha kupitia wao....
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
Shule Marekani, Tanzania zashirikiana
WANAFUNZI wa shule za sekondari kutoka jamii za Kimasai wamepata fursa ya kuongeza taaluma na stadi za maisha baada ya Shule ya Sekondari ya Orkeeswa kushirikiana na shule ya kimataifa...