Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AMREF NA KCB ZASHIRIKIANA KATIKA ELIMU ZA WAKUNGA‏

Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Tanzania (kushoto)Moezz Mir akimsikiliza kwa makini  Mkurugenzi Mkazi wa  Amref Heath Africa Tanzania Dk. Festus Ilako,  jijini Dar es Salaam wakati alipokuwa akiongerea  juu ya ushirikiano wao na benki hiyo  katika kusaidia suala zima la Afya ya mama na mtoto nchini.  Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Tanzania (kushoto)Moezz Mir  akimkabidhi  Mkurugenzi Mkazi wa  Amref Heath...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

AMREF NA KCB ZASHIRIKIANA KATIKA ELIMU ZA WAKUNGA

Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Tanzania (kushoto)Moezz Mir akimkabidhi Mkurugenzi Mkazi wa Amref Heath Africa Tanzania Dk. Festus Ilako, hundi yenye thamani ya shilingi milioni 48. Kwa ajili ya kuwasomesha wakunga 10 ambao baada ya kupata elimu wataajiliwa katika vituo vya afya hasa vijijini ili kuwasaidia akinamama wanaohitaji huduma za uzazi.KCB na AMREF wametangaza ushirikiano katika kusaidia suala zima la Afya ya mama na motto nchini hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam, wapili...

 

10 years ago

Michuzi

Changia mafunzo ya wakunga, okoa maisha ya mama na mtoto - Amref health africa

Mkurugenzi mkazi wa Amref Health Africa Dkt. Festus  Ilako akizungumzia maendeleo ya kampeni hiyo toka ilipozinduliwa mwaka 2011 na  uwatangaza mabalozi wapya wawili wa kampeni hiyo kuwa ni wasanii mashuhuri, Banana Zoro na Mwasiti Almasi  Nchini Tanzania, wanawake 7,900 hupoteza maisha kila mwaka wakati wa kujifungua. Zaidi ya asilimia 80 ya vifo hivi vingeweza kuepukika endapo wahudumu wa afya  wenye utaalamu wangetoa huduma kwa wakina mama wajawazito wakati wa kujifungua.  Kwa kuamini...

 

10 years ago

Michuzi

Amref kuandaa hafla ya chakula cha jioni kuchangia mafunzo ya wakunga nchini Tanzania

Meneja Mradi Uboreshaji wa Uzazi Salama wa Chama cha Wakunga Tanzania (Tama), Martha Rimoy, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam leo, wakati Taasisi ya Amref Health Africa, ilipokuwa ikielezea kuhusu kuandaa hafla ya chakula cha jioni, Oktoba 9 kwenye Hoteli ya Serena, kwa ajili ya kuchangisha fedha za kufundishia wakunga ili kuokoa afya ya  mama na mtoto, katika kampeni ijulikanayo kama 'Stand up for African Mother'. Wengine pichani ni Mkurugenzi...

 

11 years ago

GPL

KCB-MOROGORO‏

Mkuu wa Idara ya mikopo kwa wateja wakubwa na wadogo  wa Benki ya KCB Tanzania, Juma Abdul akizungumza katika hafla iliyoandaliwa na benki yake kwa lengo la kuongea na wateja wa benki hiyo wa tawi la Morogoro jana kuhusiana na maswala ya kibiashara.
Mkuu wa Kitivo cha Sheria na Sharia wa Chuo Kikuu Cha Kiislama Morogoro Prof. Juma Mikidadi akisindikizwa na Meneja wa Tawi la Benki ya KCB Morogoro Bw Raymond Mungaya(kulia)...

 

10 years ago

Habarileo

SMZ kuwapatia elimu wakunga wa jadi

WIZARA ya Afya imesema inathamini kazi inayofanywa na wakunga wa jadi katika kutoa huduma za kujifungua kwa kinamama majumbani na kusema inakusudia kuwapatia mafunzo zaidi ya kazi zao.

 

11 years ago

GPL

AMREF HEALTH AFRICA LAUNCH ITS NEW IDENTITY‏

Country Director, AMREF, Dr. Festus Illako cutting the ribbon during the AMREF Health Africa launch new identity. The frame Ceremony held yesterday April 10, 2014 AMREF office in Dar es Salaam, Tanzania.
Country Director, AMREF, Dr. Festus Illako with…

 

11 years ago

GPL

BENKI YA KCB TANZANIA YAMWAGA MISAADA JIJINI‏

Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya KCB Tanzania Moezz Mir (wa pili toka kulia) akimkabidhi msaada wa Mashine ya kupasha moto vifaa vya hospitali kabla ya matumizi na baada ya matumizi  kwa mgonjwa (Sterilizer) Mkurugenzi wa Zahanati ya Njia Heath Centre ya Kiwalani jijini Dar es Salaam, Bw. Stephen Mosha (wa pili toka kushoto). Benki hiyo ilitoa msaada wa vifaa mbalimbali vyote vyenye thamani ya  shilingi milioni 5, wengine...

 

11 years ago

GPL

BENKI YA KCB TANZANIA YAENDELEA KUSAIDIA JAMII‏

IMG 7855 na IMG 7852: Mganga Mkuu wa Jiji la Mwanza Dk  Kokugonza Mugeye(kushoto) akimkabidhi mashine ya ultrasound  Daktari Mfawidhi wa kituo cha Afya Makongoro Dk Mkama Magoti Membe katika halfla fupi iliyofanyika katika kituo hicho juzi. Mashine hiyo ni baadhi ya vifaa tiba vilivyotolewa na  benki ya KCB katika mpango wake wa kuboresha afya kwa wateja wake kanda ya Ziwa.
Meneja wa Banki KCB Joseph Njile...

 

10 years ago

GPL

WAKUNGA WAHIMIZWA KUSHIRIKIANA KUTENGENEZA TAIFA LA KESHO‏

Rais wa chama cha wakunga nchini (TAMA), Feddy Mwanga akimkaribisha Ofisa Mtendaji mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wakunga duniani, Frances Ganges (kulia) kuzungumza na wakunga nchini waliokusanyika kwenye mdahalo wa siku moja kuelekea sherehe za kilele cha maadhimisho ya siku ya Wakunga Duniani ambapo kitaifa imefanyika mjini Musoma mkoani Mara. Kushoto ni Kaimu Muuguzi mkuu wa serikali kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani