Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Andrew Clark photo


Greensboro News & Record (blog)
Andrew Clark photo
Greensboro News & Record (blog)
Students at Kongei Secondary School near Lushoto, Tanzania. Few girls in that East African country have an opportunity to advance beyond primary school. Posted: Saturday, March 21, 2015 10:40 am. Let girls learn Doug Clark dgclark@news-record.com ...

Greensboro News & Record (blog)

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Speech As Guest Of Honour At Conference On Stopping ...

Tanzania: Helen Clark


IPPmedia
Tanzania: Helen Clark - Speech As Guest of Honour At Conference On Stopping ...
AllAfrica.com
I thank the Government of the United Republic of Tanzania for hosting this important conference addressing the elephant poaching crisis in this country and the illicit trade in wildlife products. UNDP is proud to be a partner of Tanzania's efforts to turn the tide ...
PM: We are determined to stay the course in anti-poaching warDaily News
Poaching could wipe out Tanzanian elephants in 7...

 

11 years ago

Michuzi

JK AKUTANA NA MKUU WA UNDP BIBI HELLEN CLARK

  Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya ukumbusho na  na Mkuu wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Bibi Hellen Clark na ujumbe wake aliyemtembelea leo Mei 13, 2014 Ikulu jijini Dar es salaam

 

11 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete akutana na Mkuu wa UNDP Bibi Hellen Clark Ikulu Jijini Dar

undp1

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Mkuu wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Bibi Hellen Clark aliyemtembelea jana Mei 13, 2014 Ikulu jijini Dar es salaam.

undp2

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimsindikiza baada ya  mazungumzo Mkuu wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Bibi Hellen Clark aliyemtembelea jana Mei 13, 2014 Ikulu jijini Dar es salaam.

undp3

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya ukumbusho na  na Mkuu wa Shirika la Maendeleo la...

 

11 years ago

Michuzi

MKUU WA UNDP DUNIANI HELEN CLARK ATEMBELEA HIFADHI YA RUAHA,APONGEZA USIMAMIZI MZURI WA MRADI WA SPANEST

Mkuu wa shirika la mpango la  Maendeleo  la umoja  wa  Mataifa (UNDP ) Hellen Clark kulia  akizungumza na askari  wanaopambana na majangili  hifadhi ya Taifa ya Ruaha  Iringa jana Mkuu wa UNDP Hellen Clark kulia  akiwa na watendaji wa TANAPA akiwemo mratibuMratibu wa SPANEST Bw  Godwell ole Meing'ataki wa  pili kulia na mkurugenzi wa TANAPA Allan Kijazi Mkuu wa shirika la mpango la  Maendeleo  la umoja  wa  Mataifa (UNDP )Hellen Clark akiwa  katika  gari  lililotolewa na UNDP.
Kwa...

 

11 years ago

Michuzi

Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Maendeleo UNDP Mhe.Hellen Clark atembelea Bungeni Dodoma

 Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Maendeleo UNDP Mhe.Hellen Clark (kushoto) akikaribishwa na Spika wa Bunge Mhe.Anne Makinda mjini Dodoma baada ya kukutana na chama cha wabunge wanawake katika ukumbi wa Spika.  Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Maendeleo UNDP Mhe.Hellen Clark akisaini kitabu cha wageni  Mhe.Hellen Clark (katikati) akizungumza na chama cha wabunge wanawake,kushoto kwake ni mwakilishi wa UNDP hapa nchini Ndugu Philippe Poinsot na...

 

11 years ago

Dewji Blog

Uwepo wa wanawake zaidi, vijana na watu wenye ulemavu ni vema kwa Bunge na Tanzania, asema Hellen Clark wa UNDP

hi-res-HC

Kiongozi wa UNDP, na Waziri Mkuu wa zamani wa New Zealand, Helen Clark(pichani), amewapongeza viongozi wa vyama vya siasa Tanzania kwa dhamira yao ya kuwasimamisha wanawake zaidi, vijana na watu wenye ulemavu kama wagombea kwa ajili ya uchaguzi mkuu mwaka 2015. Alitoa pongezi hizo wakati wa mkutano wake na Spika wa Bunge, Mhe. Anne Makinda, na wabunge wanawake katika mji mkuu wa kisiasa wa Dodoma leo.

Kiongozi huyo wa UNDP amekutana na wabunge wanawake wa Tanzania huko Dodoma, akiwemo...

 

10 years ago

StarAfrica.Com

St Andrew's Day in Uganda


St Andrew's Day in Uganda
StarAfrica.com
On Friday 28 November 2014, the British High Commission marked St Andrew's Day, the national day of Scotland, by flying the Saltire of St Andrews, Scotland's national flag. St Andrew's Day is on 30 November, which this year falls on a Sunday. Dressed in ...

 

10 years ago

Mwananchi

TAARIFA: Andrew Chenge ni nani?

>Baraza la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma leo linaanza kumhoji mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge kutokana na kutajwa kwenye sakata la uchotwaji wa fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, akiwa mmoja wa watu kadhaa watakaofika kwenye Ukumbi wa Karimjee kwa mashtaka tofauti.

 

10 years ago

BBCSwahili

Andrew Cuomo aitembelea Cuba

Andrew Cuomo amekuwa gavana wa kwanza kuzuru Cuba baada ya zaidi ya miaka 50 ziara kama hiyo kufanyika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani