Anuia kuirekebisha JKT Ruvu
Kocha wa JKT Ruvu, Abdallah Kibadeni ‘King’ amesema usajili mbovu uliofanywa na klabu hiyo ndiyo unaowamaliza kwenye Ligi Kuu msimu huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI: EAMCEF, JKT Ruvu wadhamiria kutunza Mto Ruvu
MAZINGIRA ni suala mtambuka, kila mtu kwa nafasi yake anatakiwa kuwajibika kuhakikisha dunia inakua mahali salama pa kuishi. Uwajibikaji wetu licha ya kutunza mazingira, naamini utaongeza pia siku za kuishi...
11 years ago
Mwananchi19 Jul
JKT Ruvu yamsajili Morris
9 years ago
Habarileo07 Nov
JKT Ruvu watanua vifua
KOCHA Msaidizi wa JKT Ruvu, Mrage Kabange, amesema ushindi wa mabao 2-0, walioupata kwa African Sports Jumapili iliyopita umewarudisha kwenye mapambano ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara.
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Prisons yaichapa JKT Ruvu 6-0
9 years ago
Mwananchi03 Oct
Ligi ya JKT Ruvu, Coastal
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
JKT Ruvu kupanda miti 8,000
UONGOZI wa Kambi ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Kikosi cha 832 Ruvu, umetenga ekari mbili za ardhi kwa ajili ya kupanda miti 8,000. Akizungumza kikosini hapo mbele ya Makamu...
9 years ago
Habarileo03 Sep
JKT Ruvu wavunja rekodi ya Azam FC
MAAFANDE wa JKT Ruvu wamevunja rekodi ya Kocha Stewart Hall kutofungwa katika michuano yoyote baada ya kuifunga Azam FC mabao 2-1 katika mchezo wa kirafiki uliochezwa kwenye uwanja wa Azam Complex, Chamazi juzi.
10 years ago
BBCSwahili10 Jul
Azam yawapigisha kwata Ruvu JKT