Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aomba gharama za kumtunza Dk Mahanga gerezani

Aliyekuwa Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Makongoro Mahanga huenda akafungwa mwaka mmoja jela iwapo atashindwa kulipia Sh47milioni za gharama ya kesi aliyoifungua Mahakama Kuu kupinga taarifa na habari zilizoandikwa dhidi yake kwamba elimu yake ni feki.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

JE NI WAJIBU MWANAMKE KUMTUNZA MWANAUME KISHERIA?.

Na  Bashir  Yakub.Kisheria  ndoa inapokuwa  imefungwa   kuna  haki  za  msingi  ambazo  huibuka.  Hizi  huitwa  haki  za  moja  kwa  moja  ( automatic  right). Huitwa  haki  za  moja  kwa  moja   kwakuwa   hazina  uhiari  katika  kutekelezwa  kwake.  Kuwapo  kwa  ndoa  ndio  kuwapo  kwake  na  hivyo  haihitaji  mtu  kuziomba. Kimsingi  haki  hizi  zipo  nyingi  ambapo  tutaona  baadhi  yake hapa   huku  makala  yakijikita  katika   haki  moja ya  matunzo  kwa  wanandoa.


1.BAADHI  YA  HAKI ...

 

9 years ago

Mwananchi

Ikulu yamshangaa Dk Mahanga

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amesema ameshangazwa na kauli ya aliyekuwa Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Makongoro Mahanga kuwa wingi wa makatibu wakuu unakinzana na dhana ya kupunguza ukubwa wa Serikali alioahidi Rais John Magufuli.

 

9 years ago

Mwananchi

Mahanga amvaa Magufuli

Wakati watu mbalimbali wakimminia sifa Rais John Magufuli kwa kubana matumizi, aliyekuwa Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Makongoro Mahanga amesema uwingi wa makatibu wakuu unakinzana na dhana ya yake ya kupunguza ukubwa wa Baraza la Mawaziri.

 

10 years ago

Habarileo

Mahanga anogewa na ubunge

Dk Makongoro MahangaMBUNGE wa Jimbo la Segerea, Dk Makongoro Mahanga (CCM) amesema atagombea tena ubunge kwenye jimbo hilo mwaka huu.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Dk. Mahanga amfuata Lowassa

BAADA ya kuanguka kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Naibu Waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana, Dk. Makongoro Mahanga, amejiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

Dk. Makongoro aliyekuwa Mbunge wa Segerea, pia amejiuzulu nafasi yake ya Naibu Waziri.

Akizungumza nyumbani kwake Segerea jijini hapa jana, Dk. Makongoro alisema pia kwamba amemtuma dereva wake kulirudisha serikalini gari la Wizara ya Kazi.

Hali hiyo imetokea siku moja tu baada ya...

 

10 years ago

Habarileo

Mahanga aanguka, akimbilia Chadema

NAIBU Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Milton Mahanga (60), amejiondoa katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) siku moja baada ya kushindwa katika kura za maoni za ubunge katika Jimbo la Segerea mkoani Dar es Salaam, na sasa ameomba uanachama katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

 

10 years ago

Mwananchi

Mahanga amfuata Lowassa Chadema

Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Makongoro Mahanga ametangaza kuihama CCM na kujiunga na Chadema baada ya kushindwa katika kura za maoni kwa nafasi ya ubunge katika Jimbo la Segerea.

 

10 years ago

Vijimambo

Waziri Mahanga anusurika kipigo.

Polisi wamuokoa chini ya ulinzi mkali, Wananchi wamzomea, wamwita mwizi.Vurugu katika zoezi la kuapisha wenyeviti wateule wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji zimepamba moto, ambazo zimesababisha Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk. Makongoro Mahanga, kujikuta akizomewa na wananchi na kusababisha zoezi hilo katika baadhi ya mitaa na vitongoji katika maeneo mbalimbali nchini kukwama.

Dk. Mahanga, ambaye pia ni Mbunge wa Segerea (CCM) alikumbwa na masaibu hayo wakati wa hafla ya kuapisha...

 

10 years ago

Habarileo

‘Dk Mahanga bado hajakomaa kisiasa’

BAADHI ya wakazi wa jimbo la Segerea, Dar es Salaam, wamesema masanduku ya kura wakati wa uchaguzi mkuu utakaofanyika baadaye mwaka huu, ndio yatakayoamua nani ni mkomavu wa kisiasa baina yao na Mbunge wa jimbo hilo ambaye pia ni Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Makongoro Mahanga.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani