Arfi ashindwa kura za maoni Nsimbo
WAKATI matokeo rasmi ya kura za maoni zilizopigwa jana kuwachagua makada wa CCM katika nafasi za ubunge na udiwani yakisubiriwa kwa hamu, matokeo ya awali yanaonesha kuwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mpanda Mjini kwa tiketi ya Chadema, Said Amour Arfi ameshindwa kuongoza katika Jimbo la Nsimbo, mkoani Katavi, kwa tiketi ya CCM.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
News alert: Stephen Wasira aongoza kura za maoni Kura ya Maoni CCM-Bunda Mjini

Stephen Wasira 6, 429Robert Maboto 6, 206Christopher Sanya 1, 140Xavier Rugina 846Simon Odunga 547Magesa Mugeta 446Peres Magiri 385Brian Baraka 263

11 years ago
Mwananchi27 Jun
KURA YA NDIYO: Lissu: Arfi ni mpinzani jina
10 years ago
Mtanzania26 Oct
Mgombea urais ashindwa kupiga kura
NA UPENDO MOSHA, MOSHI
MGOMBEA wa urais kwa tiketi ya Tanzania Labour Party (TLP), Macmilan Lyimo, jana alishindwa kupiga kura baada ya kufika katika kituo cha kupigia kura kilichopo Kata ya Njia Panda, Wilaya ya Moshi, Mkoani Kilimanjaro, akiwa hana kitambulisho chake cha kupigia kura.
Mgombea huyo ambaye ni miongoni mwa wagombea wanane wanaowania kiti cha urais katika uchaguzi mkuu uliofanyika jana, alifika katika Kituo cha Ghalani, saa tatu asubuhi kwa lengo la kupiga kura, lakini...
10 years ago
GPL
MGOMBEA URAIS TLP ASHINDWA KUPIGA KURA
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Maoni ya wananchi yakipuuzwa, wataikataa kwa kura ya maoni
10 years ago
BBCSwahili25 Sep
Maoni ya Watanzania kuhusu kura za maoni
10 years ago
Michuzi
wapiga kura wampongeza jerry silaa kwa kushinda katika kura za maoni jimbo la ukonga


11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Wizi wa kura hadi kwenye kura ya maoni!
WAKATI Bunge Maalumu la Katiba linaendelea, kuna wanaosema kwamba hata kura ya maoni haiwezi kusaidia sana maana hapa Tanzania kuna hofu ya wizi wa kura. Tume ya uchaguzi tuliyonayo sasa...
10 years ago
Michuzi.jpg)
TAARIFA KWA UMMA YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUHUSU UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA NA KURA YA MAONI
.jpg)