Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Argentina vinara duniani kwa ubora

Shirikisho la Soka duniani Fifa imetoa orodha ya Ubora Duniani kwa mwezi wa Nane ambapo Argentina inaongoza

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Argentina yaongoza kwa ubora duniani

Argentina imeendelea kushika nafasi ya kwanza katika ubora wa Soka duniani

 

9 years ago

BBCSwahili

Fifa: Argentina bora duniani

Argentina yaongoza kwa ubora wa viwango vya soka duniani

 

11 years ago

Michuzi

Tanzania ya 118 duniani katika msimamo wa ubora February 2014 - FIFA

 Egypt 31 38 7 10 -7  Cape Verde Islands 35 27 -8 8 4  South Africa 54 64 10 8 -10  Mali 40 59 19 5 -19  Zimbabwe 105 100 -5 5 2  Cameroon 50 46 -4 4 0  Tunisia 44 45 1 4 -1  Botswana 97 94 -3 3 0  Chad 165 162 -3 3 0  Sierra Leone 76 73 -3 3 -1  Uganda 87 84 -3 3 -1  Benin 99 97 -2 2 0  Central African...

 

10 years ago

Dewji Blog

Bia ya Kibo Gold Lager ya SBL yashinda tuzo ya medali ya dhahabu ya ubora duniani ya Monde Selection

l

Na Mwandishi wetu

BIA ya Kibo Gold Lager imechaguliwa kuwa mshindi wa medali ya dhahabu kwa ubora duniani inayotolewa na ‘Monde Selection’. Kibo ilipokea utambulisho huo wa kimataifa wakati wa sherehe za 53 za kila mwaka zilizofanyika huko Bordeaux, Ufaransa. 

‘Monde Selection’ ni tuzo zinazotolewa kila mwaka tangu mwaka 1961, kwa ajili ya bidhaa za vinywaji na chakula. Huendeshwa na kampuni ya Biashara ijulikanayo kama ‘International Institute for Quality Selections’ ya Brussels, Ubelgiji....

 

10 years ago

Michuzi

BIA YA KIBO GOLD LAGER YA SERENGETI BREWERIES LTD YASHINDA TUZO YA MEDALI YA DHAHABU YA UBORA DUNIANI YA MONDE SELECTION.



BIA ya Kibo Gold Lager imechaguliwa kuwa mshindi wa medali ya dhahabu kwa ubora duniani inayotolewa na ‘Monde Selection’. Kibo ilipokea utambulisho huo wa kimataifa wakati wa sherehe za 53 za kila mwaka zilizofanyika huko Bordeaux, Ufaransa.  
‘Monde Selection’ ni tuzo zinazotolewa kila mwaka tangu mwaka 1961, kwa ajili ya bidhaa za vinywaji na chakula. Huendeshwa na kampuni ya Biashara ijulikanayo kama ‘International Institute for Quality Selections’ ya Brussels, Ubelgiji. Bidhaa hizo...

 

11 years ago

Bongo5

Argentina yailaza Uholanzi 4-2, fainali Argentina na Ujerumani july 13

Timu ya soka ya Argentina imejikatia tiketi ya kufuzu kwa fainali yake ya kwanza tangu mwaka 1990 baada ya kuilaza timu ya Uholanzi kwa goli 4-2, ambapo fainali itachuana na Ujerumani july 13 siku ya jumapili. Katika mchezo huo wa nusu fainali wa jana, Argentina na Uholanzi zilitoka sare tasa baada ya muda wa kawaida […]

 

11 years ago

GPL

HAYA NDIYO MAGARI VINARA KWA KUVUNJA SHERIA!

Stori: Mwandishi Wetu
HUKU ajali za barabarani zikizidi kuongezeka kila siku hasa jijini Dar es Salaam, timu ya uchunguzi ya Operesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers, hivi karibuni lilifanikiwa kuyanasa baadhi ya magari kadhaa yanayokiuka sheria za usalama barabarani. Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mohamed Mpinga Magari hayo, ambayo yalikuwa kinara wakati wa uchunguzi huo, yakiwemo yenye namba za usajili...

 

10 years ago

Vijimambo

WATU 8 WAFARIKI KWA AJALI YA NDEGE ARGENTINA

Rais wa Ufaransa, Francois Hollande, ameelezea masikitiko yake baada ya vifo vya watu wanane wengi wao raia wa Ufaransa.

Rais wa Ufaransa, Francois Hollande, ameelezea masikitiko yake baada ya vifo vya watu wanane wengi wao raia wa Ufaransa.

Wanne hao wanajumuisha pia wachezaji watatu wasifika nchini humo, walioaga dunia baada ya ndege mbili za Helikopta kugongana angani nchini Argentina.

Wakuu wametaja nyota hao kama bingwa wa nishani ya dhahabu katika uogeleaji kwenye mashindano ya Olimpiki,...

 

10 years ago

GPL

ARGENTINA YALIPA KISASI KWA WAJERUMANI, YAWAPIGA 4-2

Nyota wa mchezo, Angel di Maria akiifungia Argentina bao la nne. Di Maria akitoa pasi ya bao kwa Aguero (hayupo pichani).…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani