Aridhishwa na vyombo vya usalama
PAMOJA na changamoto ya uhaba wa vitendea kazi na mazingira magumu katika utekelezaji wa majukumu yao, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameelezea kuridhishwa na namna vyombo vya ulinzi na usalama vinavyotekeleza majukumu yake katika kuhakikisha ulinzi na usalama wa mkoa Kigoma.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog17 Sep
Dkt. Bilal afungua mkutano wa mashauriano kati ya Vyombo vya Habari na Vyombo vya Ulinzi, Usalama na Sheria, Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi mkutano wa Mashauriano kati ya Vyombo vya Habari na Vyombo vya Ulinzi, Usalama na Sheria, uliofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro jijini Dar es Salaam, leo Septemba 17, 2014. Mkutano huo uliandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT).(Picha na OMR).
Na Ismail Ngayonga, MAELEZO
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal amevitaka vyombo vya habari na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DtFo8bkayxY/VBmV6eNobEI/AAAAAAAGkGs/zOfF6cXr8I8/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA MASHAURIANO KATI YA VYOMBO VYA HABARI NA VYOMBO VYA ULINZI, USALAMA NA SHERIA, JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-DtFo8bkayxY/VBmV6eNobEI/AAAAAAAGkGs/zOfF6cXr8I8/s1600/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-b8Zmny2vKeo/VBmV6oR7rQI/AAAAAAAGkG4/zvICOYWz1fA/s1600/04.jpg)
10 years ago
BBCSwahili17 Sep
Vyombo vya habari,usalama vyakutana TZ
10 years ago
Mtanzania30 Mar
Msigwa avishangaa vyombo vya usalama
![Mchungaji Peter Msigwa](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Peter-Msigwa-300x200.jpg)
Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii, Mchungaji Peter Msigwa
NA RAYMOND MINJA, IRINGA
MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (Chadema), amesema kitendo cha Chama Cha Mapinduzi (CCM), kupotosha umma na kuhodhi kwa nguvu mchakato wa Katiba Mpya ni wazi vyombo vya usalama havifanyi kazi yake.
Kutokana na hali hiyo amesema kuna hatari Taifa likaingia katika mgogoro baina ya wananchi na Serikali ambayo imeshindwa kuheshimu mawazo yao kuhusu mchakato huo.
Msingwa alitoa kauli hiyo juzi...
10 years ago
BBCSwahili30 Apr
Garissa:Vyombo vya usalama vilizembea?
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ezrRfIIasiw/VfCMBBrjAHI/AAAAAAAC-18/AiKQV72kfjY/s72-c/_MG_4469.jpg)
NITABORESHA MASLAHI YA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA-MAGUFULI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ezrRfIIasiw/VfCMBBrjAHI/AAAAAAAC-18/AiKQV72kfjY/s640/_MG_4469.jpg)
Dkt Magufuli alisema kuwa anataka kuona watumishi wa jeshi hilo wanakuwa na mishahara mizuri na hiyo itawezesha kufanya kazi ya ulinzi na usalama wa nchi kwa ufanisi zaidi...
10 years ago
Uhuru Newspaper17 Sep
Dk. Bilal avipasha vyombo vya ulinzi na usalama, waandishi wa habari
NA WILLIAM SHECHAMBO
MAKAMU wa Rais Dk. Mohammed Gharib Bilal amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama na waandishi wa habari nchini kushirikiana katika majukumu yao ya kazi ili kulinda amani ya nchi.
Pia amezitaka taasisi hizo kuzingatia mipaka yao na katika utendaji ili kuepuka migongano au chuki zinazoweza kutokea wakati wa kutimiza wajibu wao kazini.
Alitoa wito hiyo katika hoteli ya Hyatt Regency, Dar es Salaam, jana, alipokuwa akifungua mkutano wa mashauriano kati ya vyombo vya...
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AAGWA NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA LEO
9 years ago
VijimamboRais Kikwete atunuku Nishani Watumishi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama