ARSENAL FC WATEMBEZEWA KIPIGO NA TOTTENHAM CHA BAO 2 - 1
![](http://api.ning.com:80/files/IR6j1-Mhm*XkIjfUfAn9eazFB6qZYQ3Um94KZycjBGALQytHur5iz7VHsCsWN*oxdw6pkAFYJxWP1N32kGvSbRNq8ejxouml/EPL6.jpg?width=750)
Wachezaji wa timu ya Tottenham wakishangilia baada ya kufunga bao la pili dakika ya 86. Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger (kushoto) akisalimiana na Kocha wa Tottenham, Mauricio Pochettino.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV19 Jan
Wamasai Morogoro watembezewa kipigo.
Na Jackson Monela,
Morogoro.
Katika hali isiyo ya kawaida, wamasai wanaoishi na kufanya biashara katika manispaa ya Morogoro wamejikuta katika wakati mgumu mara baada ya kuvamiwa na kuanza kupigwa kutokana na kuuawa kwa mmoja wao katika mgogoro wa ardhi uliojitokeza kwenye bonde la Mgongolwa wilayani Mvomero mkoani humo.
Kupigwa kwa wamasai hao kumetekelezwa katika maeneo tofauti tofauti yakiwemo ya Nanenane, Msamvu Mtawala na mjini kati hali iliyowafanya wamasai hao kukimbilia vituo vya...
10 years ago
Vijimambo11 Apr
BAADA YA KIPIGO CHA TAREHE 8 CHA BAO 8 JULIO ATUPIWA VILAGO KWENYE KAMATI YA UFUNDI YA COASTAL
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/Jamhuri-Kihwelo-Julio.jpg)
KOCHA wa Coastal Union, Jamhuri Musa Kiwhelo ‘Julio’ ametimuliwa baada ya kichapo cha magoli 8-0 alichopata kutoka kwa Yanga jumatano ya wiki hii.Taarifa za ndani na za uhakika kutoka kwa viongozi wa Coastal, siku hiyo baada ya kipigo walikubaliana kumtimua Julio na yeye alipewa taarifa hizo na kukubali.
Ili kulinda heshima yake, Julio akaomba aongoze mechi ya jumamosi uwanja wa Azam Complex dhidi ya Jkt Ruvu jumamosi ya wiki hii kwa nia ya kuogopa kudhalilishwa.
Baada ya mechi hiyo dhidi ya...
9 years ago
MillardAyo27 Dec
Arsenal yakubali kipigo cha nne msimu huu dhidi ya Southampton,kutana na video ya magoli na pichaz …
Baada ya michezo tisa ya Ligi Kuu Uingereza kupigwa Jumamosi ya December 26 siku ya Boxing Day, ulibakia mchezo mmoja ambao ulikuwa unachezwa usiku wa December 26. Mchezo ambao ulikuwa unachezwa usiku wa December 26 ni mechi kati ya Southampton dhidi ya Arsenal katika dimba la St Mary’s lenye uwezo wa kubeba zaidi ya mashabiki […]
The post Arsenal yakubali kipigo cha nne msimu huu dhidi ya Southampton,kutana na video ya magoli na pichaz … appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/MAN-UTD-2.jpg)
MANCHESTER YAIKALISHA TOTTENHAM BAO 1-0
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IdN5y1KxAWkf31rUVemcbTA0wyXuJfxJlsT71xi1Mhfq1s*J9h*iRmJTKAaISrv7RQDDOK7GQKik4SZ28XKyen6xATOkawFG/2638822E000005782974579imagem15_1425234872701.jpg?width=650)
CHELSEA IMETWAA UBINGWA WA CAPITAL ONE CUP KWA KUIFUNGA TOTTENHAM BAO 2- 0
11 years ago
BBCSwahili16 Mar
Arsenal yailaza Tottenham Spurs 1-0
10 years ago
BBCSwahili07 Feb
Arsenal na Tottenham katika London Derby
10 years ago
BBCSwahili12 Apr
Arsenal yashinda huku Tottenham ikilazwa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mWq-Pv8RWzTNQHPoYrsee4k2A3KUjbvXtaC*N23zmvkOa0hJBRW*jIt9t3qzZSLLqDSCUD7n7hfZq7FSjcNwm90mR9FaPzsV/sergioaguerogoalarsenal_576x324.jpg?width=640)
ARSENAL YAKUTANA NA KIPIGO KILALI