Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ARSENAL FC WATEMBEZEWA KIPIGO NA TOTTENHAM CHA BAO 2 - 1

Wachezaji wa timu ya Tottenham wakishangilia baada ya kufunga bao la pili dakika ya 86.
Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger (kushoto) akisalimiana na Kocha wa Tottenham, Mauricio Pochettino.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Wamasai Morogoro watembezewa kipigo.

Na Jackson Monela,

Morogoro.

 

Katika hali isiyo ya kawaida, wamasai wanaoishi na kufanya biashara katika manispaa ya Morogoro wamejikuta katika wakati mgumu mara baada ya kuvamiwa na kuanza kupigwa kutokana na kuuawa kwa mmoja wao katika mgogoro wa ardhi uliojitokeza kwenye bonde la Mgongolwa wilayani Mvomero mkoani humo.

 

Kupigwa kwa wamasai hao kumetekelezwa katika maeneo tofauti tofauti yakiwemo ya Nanenane, Msamvu Mtawala na mjini kati hali iliyowafanya wamasai hao kukimbilia vituo vya...

 

10 years ago

Vijimambo

BAADA YA KIPIGO CHA TAREHE 8 CHA BAO 8 JULIO ATUPIWA VILAGO KWENYE KAMATI YA UFUNDI YA COASTAL



KOCHA wa Coastal Union, Jamhuri Musa Kiwhelo ‘Julio’ ametimuliwa baada ya kichapo cha magoli 8-0 alichopata kutoka kwa Yanga jumatano ya wiki hii.Taarifa za ndani na za uhakika kutoka kwa viongozi wa Coastal, siku hiyo baada ya kipigo walikubaliana kumtimua Julio na yeye alipewa taarifa hizo na kukubali.

Ili kulinda heshima yake, Julio akaomba aongoze mechi ya jumamosi uwanja wa Azam Complex dhidi ya Jkt Ruvu jumamosi ya wiki hii kwa nia ya kuogopa kudhalilishwa.

Baada ya mechi hiyo dhidi ya...

 

9 years ago

MillardAyo

Arsenal yakubali kipigo cha nne msimu huu dhidi ya Southampton,kutana na video ya magoli na pichaz …

Baada ya michezo tisa ya Ligi Kuu Uingereza kupigwa Jumamosi ya December 26 siku ya Boxing Day, ulibakia mchezo mmoja ambao ulikuwa unachezwa usiku wa December 26. Mchezo ambao ulikuwa unachezwa usiku wa December 26 ni mechi kati ya Southampton dhidi ya Arsenal katika dimba la St Mary’s lenye uwezo wa kubeba zaidi ya mashabiki […]

The post Arsenal yakubali kipigo cha nne msimu huu dhidi ya Southampton,kutana na video ya magoli na pichaz … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

GPL

MANCHESTER YAIKALISHA TOTTENHAM BAO 1-0

Kiungo mshambuliaji wa Tottenham, Christian Eriksen kulia, akimiliki mpira mbele ya beki wa Manchester United, Matteo Darmian. Beki wa Tottenham, Kyle Walker akitumbukiza bao kimiani katika harakati za kuokoa Tottehnam walifungwa bao 1-0. PICHA ZAIDI INGIA HAPA ====>…

 

10 years ago

GPL

CHELSEA IMETWAA UBINGWA WA CAPITAL ONE CUP KWA KUIFUNGA TOTTENHAM BAO 2- 0

Kikosi cha timu ya Chelsea kikiongozwa na Kocha wao, Jose Mourinho baada ya kutangazwa mabingwa wa Kombe la Ligi, maarufu kama Capital One Cup 2014/15 usiku wa leo Uwanja wa Wembley kufuatia ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Tottenham. Kaptani wa Chelsea, John Terry (katikati) akinyanyua Kombe akiwa na wachezaji…

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal yailaza Tottenham Spurs 1-0

Mchezaji Rosicky aliingiza bao la kipekee dakika chache tu baada ya mchezo kung'oa nanga.

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal na Tottenham katika London Derby

Arsenal itamkosa mshambuliaji wake Alexis Sanchez kutokana na Jeraha la mguu,lakini Danny Welbeck amepona jeraha la paja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal yashinda huku Tottenham ikilazwa

Bao la mapema lililofungwa na mchezaji wa Arsenal Aaron Ramsey lilitosha kuisaidia Arsenal kupunguza mwanya uliopo kati yake na Chelsea.

 

11 years ago

GPL

ARSENAL YAKUTANA NA KIPIGO KILALI

Vinara wa Ligi Kuu ya England, Arsenal wamekutana na kipigo kikali kutoka kwa Manchester City cha mabao 6-3 katika mechi iliyochezwa leo kwenye Uwanja wa Etihad jijini Manchester. Kutokana na kipigo hicho Man City imefikisha pointi 32 wakati Arsenal imebaki kileleni ikiwa na pointi 35. Mabao ya Man City yamefungwa na Sergio Agüero katika dakika ya 14, Álvaro Negredo (39), Fernandinho (50 na 88) na David Silva (66).Theo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani