Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wamasai Morogoro watembezewa kipigo.

Na Jackson Monela,

Morogoro.

 

Katika hali isiyo ya kawaida, wamasai wanaoishi na kufanya biashara katika manispaa ya Morogoro wamejikuta katika wakati mgumu mara baada ya kuvamiwa na kuanza kupigwa kutokana na kuuawa kwa mmoja wao katika mgogoro wa ardhi uliojitokeza kwenye bonde la Mgongolwa wilayani Mvomero mkoani humo.

 

Kupigwa kwa wamasai hao kumetekelezwa katika maeneo tofauti tofauti yakiwemo ya Nanenane, Msamvu Mtawala na mjini kati hali iliyowafanya wamasai hao kukimbilia vituo vya...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ARSENAL FC WATEMBEZEWA KIPIGO NA TOTTENHAM CHA BAO 2 - 1

Wachezaji wa timu ya Tottenham wakishangilia baada ya kufunga bao la pili dakika ya 86.
Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger (kushoto) akisalimiana na Kocha wa Tottenham, Mauricio Pochettino.…

 

11 years ago

Vijimambo

Jeshi la polisi lawashushia kipigo wafuasi wa Chadema Morogoro.


askari polisi kuzingira barabara na maeneo kadhaa ya jiji hilo baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutangaza kuendelea na maandamano hayo licha ya kuzuiwa na polisi.

Hata hivyo, maandamano hayo yaliyopangwa kupinga kuendelea kwa Bunge Maalumu la Katiba, mjini Dodoma, hayakufanyika.

Chadema jana ilitangaza kufanyika kwa maandamano katika mikoa ya Arusha, Iringa na Morogoro ambapo Jumatatu yangefanyika mikoa ya Manyara, Kilimanjaro, Mbeya , Mwanza , Musoma na Tanga.

Baadhi ya...

 

10 years ago

Habarileo

Wamasai waridhia kuacha ukeketaji

Mokombo Olaiboni SimeliVIONGOZI wakuu wa jamii ya Kimasai wa Afrika Mashariki wameridhia kuachana na mila potofu zilizopitwa na wakati ikiwemo vitendo vya ukeketaji kwa wasichana wa jamii ya Kimasai ambavyo vimekuwa vikiwaathiri wasichana hao kwa kiasi kikubwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

TZ yakana mpango wa kuwatimua wamasai

Tanzania imekanusha vikali taarifa kuwa ina mpango wa kuwaondoa wamasai wapatao 40,000 katika eneo lao la urithi ifikapo mwishoni mwa mwaka huu.

 

9 years ago

Habarileo

Wamasai wamfurahia Rais mpya

WAZEE wa kimila wa jamii ya kifugaji ya kabila la Kimasai maarufu kwa jina la Laigwanani wa wilayani Longido mkoani Arusha, wamesema wanajisikia furaha kubwa kumwona Dk John Magufuli akiapishwa kuwa Rais wa Tanzania kwani wana imani matatizo ya wafugaji yatapatiwa ufumbuzi kwa kuwa rais ni mfugaji.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wamasai wataka uwekezaji kusitishwa Ngorongoro

 

DSC_0200

Kiongozi wa mila tarafa ya Ngorongoro, Augustino Pakai Olonyokei akizungumza na Meneja uendeshaji wa mtandao wa habari wa modewjiblog, Zainul Mzige aliyefika eneo hilo kwa ajili ya kuangalia miradi mbalimbali inayoendeshwa kusaidia jamii ya wafugaji wa kimasai hivi karibuni.

Na Mwandishi wetu, Ngorongoro

KIONGOZI wa mila tarafa ya Ngorongoro Augustino Pakai Olonyokei ameitaka serikali kusimamisha uwekezaji katika Mamlaka ya Ngorongoro ili kupunguza shinikizo la raslimali katika eneo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wamasai wageukia ususi kujikimu kimaisha

Ni jambo la kawaida kuwaona wamaasai wakichunga ngomb'e zao katika milima na mabonde. Lakini hali hii inabadilika kwa kasi kubwa

 

10 years ago

Michuzi

NYALANDU: HATUNA MPANGO WA KUWAONDOA WAMASAI LOLIONDO

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu, amesema habari zinazodai kuwa Serikali inataka kuwaondoa wakazi wa zaidi ya 40,000 katika eneo la Loliondo, Ngorongoro mkoani Arusha  hazina ukweli wowote.
Novemba mwaka huu, gazeti The Guardian la nchini Uingereza, liliandika habari kuwa serikali ina mpango wa kuwafukuza Wamasai wanaoishi eneo hilo.
Gazeti hilo lilidai kuwa, lengo ni kuwapatia eneo lenye kilometa za mraba 1,500, kampuni ya OBC ya Falme za Kiarabu.
Akizungumza na wananchi wa...

 

10 years ago

Habarileo

Nyalandu: Taarifa za kufukuza Wamasai Loliondo ni uzushi

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro NyalanduSERIKALI imesema haina mpango, haifikirii na wala haijaidhinisha kuwafukuza Wamasai zaidi ya 40,000 walioko katika eneo la Loliondo mkoani Arusha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani